Wakuu Nawasalimu.
Napenda kutoa wito maalumu kwa watanzania wote tuipende nchi yetu, tuviheshimu vyombo vyetu vyaulinzi na usalama huu ufa unaotengenezwa na wanasiasa wa kutaka tusiheshimu vyombo vyetu vya usalama wanatupeleka kubaya ,hivi vyombo vikitususia tutaumia sana kama watanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Napenda kutoa wito maalumu kwa watanzania wote tuipende nchi yetu, tuviheshimu vyombo vyetu vyaulinzi na usalama huu ufa unaotengenezwa na wanasiasa wa kutaka tusiheshimu vyombo vyetu vya usalama wanatupeleka kubaya ,hivi vyombo vikitususia tutaumia sana kama watanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app