Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
Tunapokataa tamaduni za kigeni tusiishie kwenye mavazi yasiyo na heshima na ushoga. Ifike kipindi tuanze kutumia majina yetu yenye asili ya Afrika na kuachana na majina ya ku import. Wazazi tulio wengi tumeacha utamaduni wa kuita watoto zetu majina yenye asili ya Afrika.
Zamani ilikuwa kasheshe umzae mtoto asipewe jina lenye asili ya kiafrika ... Siku hizi tumeenda mbali tunatumia majina tunayoyaona kwenye movie na series za nje.
1.Nolan
2. Stich
3. Ian
4. Ivy Augus
5. Alsina
6. Trump
7. Michael Scolfield
8. Vladmiracovic
9. Salah
10. Torah
Badala ya majina yetu ya asili kama vile.
1.Mwarekwa
2. Ngamaka
3. Njobelo
4. Mlekwa
5. Kokubanza
6. Chausiku
7. Sikudhani
8. Togolani
9. Themdidi
10. Ngudua
11. Nangumbi na kadhalika.
Ebu wazazi wa leo tuungane kuyaenzi majina yetu ya asili.
Mimi binafsi nimeshaenda kuapa mahakamani na kubadili jina langu la ubatizo (James Alberto) na sasa nitakuwa nikiitwa Mfadule Mwakupenda.
Zamani ilikuwa kasheshe umzae mtoto asipewe jina lenye asili ya kiafrika ... Siku hizi tumeenda mbali tunatumia majina tunayoyaona kwenye movie na series za nje.
1.Nolan
2. Stich
3. Ian
4. Ivy Augus
5. Alsina
6. Trump
7. Michael Scolfield
8. Vladmiracovic
9. Salah
10. Torah
Badala ya majina yetu ya asili kama vile.
1.Mwarekwa
2. Ngamaka
3. Njobelo
4. Mlekwa
5. Kokubanza
6. Chausiku
7. Sikudhani
8. Togolani
9. Themdidi
10. Ngudua
11. Nangumbi na kadhalika.
Ebu wazazi wa leo tuungane kuyaenzi majina yetu ya asili.
Mimi binafsi nimeshaenda kuapa mahakamani na kubadili jina langu la ubatizo (James Alberto) na sasa nitakuwa nikiitwa Mfadule Mwakupenda.