mkabasia
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 2,814
- 2,376
Habarini za asubuhi wapendwa.Jamani inasikitisha izi habari za vitendo vya kinyanyasaji wanazofanyiwa wanawake wa mkoa wa Mara.Naombeni wanajumuia wote wa mkoa huo mjaribu ata kufanya kongamano la kupinga ivo vitendo popote mlipo.Jana tu nmesikia kwenye taarifa ya hbr uko butiama jinsi mwanamke alivobakwa na kunyongwa shambani kwake.Hili ni la pili au zaidi ndani ya mwezi.