Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,127
- 6,764
Wanabodi
Watu wameisha zoea ukitolewa wito, then wito huo uwe umetolewa na kiongozi fulani, mtu ukiwa nobody, huwezi kutoa wito.
Mimi ni nobody, lakini hapa natoa wito kwa Watanzania wenzangu tukiwemo sisi wana Jf, kwanza hiyo Tarehe 28 October, tujitokeze kwa wingi, twende tukapige kura kuwachagua viongozi tunaowataka, na vyama tunavyo vitataka, ila chonde chonde, tusifanye makosa!, chagua chama cha ukweli chenye uwezo wa kuleta maendeleo ya kweli!.
Kwenye kupiga kura, ukichagua chama ambacho sicho, ambacho sio chama cha ushindi, unakuwa umepoteza kura yako!.
Tukapige kura lakini tusipoteze kura zetu!.
Paskali
Wenye kuelewa tumekuelewa.