DAKA MTUMBA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,288
- 801
Tar 25 hiyooooo.Ebu tukapigeni kura kwa wingi siku hiyo ili tuyan'goe magambaz.
Lakini tukishapiga kura tujiongeze kidogo, tunao mawakala na tumewaamini wewe wawakilishi wetu kwenye kulinda kura zetu, ya nini sasa kubaki vituoni kulinda kura?
Hivi ukiuwawa kwa kulinda kura familia yako itaishi vipi?
Au ninyi wenzangu hamna familia?
Jamani hili ni wazo langu tu maana najua hatutaweza kuibiwa kura kiasi cha kutoweza kwenda ikulu.
Ahsanteni nyote!!!
Lakini tukishapiga kura tujiongeze kidogo, tunao mawakala na tumewaamini wewe wawakilishi wetu kwenye kulinda kura zetu, ya nini sasa kubaki vituoni kulinda kura?
Hivi ukiuwawa kwa kulinda kura familia yako itaishi vipi?
Au ninyi wenzangu hamna familia?
Jamani hili ni wazo langu tu maana najua hatutaweza kuibiwa kura kiasi cha kutoweza kwenda ikulu.
Ahsanteni nyote!!!