Wito Kwa wana JamiiForums kuhusu ukosoaji wa Rais Magufuli

Dah mtu mweusi kwa kweli atabaki kuwa mtu mweusi tu hata matendo yake, itakuja baba atabaka mtoto afy kisa ni baba mtaona sawa tu kisa ni baba , RAISI akikosea aelezwe direct kakosea tena bila kupindisha hiyo ndiyo demokrasia sio kuleta upuuzi eti tutumie njia gani sijui ya kusema kakosea huo utakuwa unafiki, pia Viongozi wakiafrika wakipata madaraka wanajifanya kama vile half god yani jeuri, kibuli, dharau, roho mbaya vinajaa kichwani, wengine hawamchukii RAISI lakini hawapendezwi na baadhi ya kauli zake na maamuzi yake na mwisho hakuna mtu asiyekosolewa kiongozi anayekosolewa afu anapandisha hasira na jazba na kuanza kukamata watu hakika uyo hapaswi kua kiongozi hata wa kijiji maana kiongozi lazima uwe mvumilivu mwenye busara na hekima
 
Wanabodi,
Huu ni wito tuu kwa wana jf kuhusu ukosoaji wa Rais Magufuli, ufanyike constructively kwa nia njema ya kujenga na sio kubomoa tuu, yaani tufanye "a constructive criticism" kama kuna mahali amekosea, au amefanya ndivyo sivyo, tupaseme kwa lugha ya heshima na staha, kisha tuweke na ushauri wa the right thing to do, hivyo ukosoaji huu utakuwa unamsaidia rais wetu na kuisaidia nchi yetu.

Nakiri kupandisha uzi huu kutokana na mchango wa mwana jf huyu

Rais wa nchi ni kama baba wa familia, anahitaji kuheshimiwa.

Hata akikosea anakosolewa kwa heshima fulani.

Hata akidanganya haitwi muongo.

Hata akichelewa kwenye shughuli haambiwi kachelewa maana mkubwa hachelewi bali anakuwa hajafika.

Simaanishi Magufuli ni malaika au hawezi kufanya makosa, Magufuli naye ni binaadamu tuu kama binaadamu wengine na siku zote binaadamu ni viumbe dhaifu, hivyo Magufuli naye ana madhaifu yake ikiwemo kupenda misifa, kuropoka na kufanya maamuzi ya papara na kukurupuka ila kwa vile ndie kiongozi wetu Mkuu, kuna mambo ambayo hatupaswi kuyasema hata kama ni kweli, ikiwemo kumuita rais ni muongo hata kama ni kweli sometimes ni muongo hatupaswi kusema rais ni muongo bali rais alikuwa ana joke au anatania tuu.

Mfano rais alipozungumzia Kufyatua watoto atasomesha bure. Tamko hili lilikwenda kinyume cha uzazi wa mpango, hapa rais aliropoka lakini haiwezi kusemwa rais karopoka, maana hata mimi nilishitushwa na tamko lile ( Rais Kusitisha Uzazi wa Mpango Kwa"Fyatueni Watoto wa Kutosha",Ni Yake au ni ya Wale Wazee wa..?!.)
bali Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu aliibuka na kulitolea ufafanuzi tamko like kuwa lilikuwa sii kweli bali ni utani tuu akiwatania watani zake Wazaramo.

Mfano kwenye hoja ya udikiteta, ni kweli Magufuli ni dikiteta na hivyo ndivyo alivyo, na sio kwamba anajifanyisha, ila Tanzania hapa tulipo fikia, tulihitaji dikiteta na Mungu ametupatia Magufuli, badala ya kushukuru ndio kwanza tunalaumu.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Watu walipoitwa Vila.za, hatukunyamaza, tulitoa ushauri humu.
Wito kwa Baba Jesca: Watendee Haki Kina Jesca Wote Ili Nao Wapate Bahati Kama Jesca!.

Hata alipozungumzia mishahara ya peponi, pia tulitoa ushauri humu
Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote

Hata majumbani mwetu baba ambaye ni Mkuu na kichwa cha nyumba, kuna mara kibao anakosea hasa sisi mababa wa Kiafrika kutokana na mambo ya kiasili ya Uafrika wetu, na pia sio malaika hivyo ana madhaifu mengi tuu ambayo wamama huyajua huyaona, huyavumilia lakini hawayasemi hadharani.

Kuna namna ya ukosoaji wa heshima wenye lengo la kujenga, a constructive criticism ambao hufanywa in good faith na kuna ukoasoaji wa udhalilishaji ambao hufanywa in bad faith, ridiculously kumdhalilisha, kumjengea chuki, achukiwe, kumshushia hadhi na heshima etc ambayo japo is the truth but the motive behind is ill motive.

Simaanishi sasa ndio wote kazi yetu iwe ni kumuimbia nyimbo za sifa na mapambio, no tumkosoe kwa heshima na kwa nia njema kabisa kwa lengo la kumrekebisha na kumsaidia na sio kumdhalilisha.

Tanzania ni yetu sote, sio Tanzania ya Magufuli pekee, we all have a role to play and a responsibility of duty of care kujenga na sio kubomoa.

Kuna watu katika kumbonda Magufuli, kila siku kazi yao ni kumbomoa tuu na kumsifia Nyerere, yaani kumtumia Nyerere as a reference, ila ukimwangalia Magufuli kwa jicho la karibu, huyu jamaa yuko kama Nyerere kwa karibu kila kitu
Magufuli Kama Nyerere:Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, Ni Kazi Tuu, Ila Pia,Sio Kama Nyerere!.

Katika kujenga nchi the motive iwe ni kujenga kila kitu ikiwemo kujenga watu akiwemo rais anahitaji kuendelea kujengwa na sio kubomolewa tuu.

Japo nafahamu katika kujenga, kuna sehemu itakubidi ubomoe ndipo ujenge, ubomoaji huo hufanyika kwa makini sana ili usibomoe kusiko husika na kila ubomoaji huo ukifanyika hufuatiwa na ujenzi papo kwa papo! .

Nitapenda kuiona jf ya hivyo, wale waashi mahiri wa jf ambao kazi yao ni kubomoa tuu, wapewe jukumu la kujenga pia sio kila siku wao ni kubomoa tuu, mwisho watapewa sifa ya kuitwa wabomoaji tuu ili hali tuna wajenzi imara na mahiri humu tena waliopitia kozi za uanagenzi kwa wale mahiri kabisa.

Wana jf tuwe wakweli kumhusu Magufuli toka ndani ya nafsi zetu sio kwa kuvaa miwani yenye kuona mabaya tuu, mapungufu tuu na makosa pekee, bali kama kuna mema pia tuyaone, kama kuna mazuri pia tuyaangazie na kuyasema as encouragement kwa rais wetu mpendwa Mhe Dr John Pombe Joseph Magufuli.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Ingekuwa hivyo wala kusingekuwa na haya maswala ya kulinda uhuru wa maoni!Privace ya taarifa za mtu hulindwa kwa lengo moja,kulinda wale wenye maoni ya kipuuzi,kijinga,mihemko nk!
 
Paskali umenena vema ila umekosea kwani umeiweka hii katika makundi yasiyo sawa.
Hujaxungumzia heshima hii kuwa inapaswa kupewa viongozi wote na ikibidi hata wanajamvi wenyewe kwa wenyewe.
Mfano Mbowe, yeye ni mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani na wafuasi wengi. Lakini tunachokiona hapa sio ukosoaji bali matusi.
Mara huyo ni DJ tuu, mpiga dili na kauza chama, kilazza form four failure na hata wengine kumuita makengeza. Unadhani hao kama hawakemewi nini yatakuwa majibu yawapenzi wa Mbowe wanaoona kiongozi wao halindiwi heshima? Kwa nini tuna lazimisha heshima ya upande mmoja tuu?
Mie naona huu ni mpambano dhidi ya wenyeviti wa vyama pinzani kwa washabiki wao. Klla mtu alinde kauli kwa mwenyekiti wa chama kingine ili wa kwake naye aheshimiwe.
Vinginevyo mtawakamata watu wengi na hiyo sio afya ya demokrasia zaidi ya kujenga chuki na visasi

Heshima upande mmoja, Double standard... Hii ni moja ya tatizo kubwa sana kwetu waafrika, kwenye familia zetu, kwenye jamii zetu na mpaka kwenye serikali zetu... Kupenda kutukuzana na kutukuzwa ni jambo la kwaida sana kwenye maisha yetu waafrika... na ndio maana unaona mtu anakuwa na audacity ya kusema eti mtu flani hata akiwa muongo, hastaili kuitwa muongo, bali anastahili bado kutukuzwa na kusifiwa kwasababu yeye ni binadamu wa class nyingine kabisa ukilinganisha na nyie wengine...

...alafu huyu mleta mada akikosolewa sana anasema watu hawajamuelewa hoja yake, aki-insinuate kwamba andiko lake ni 'satirical' na kwamba watu hawaelewi... Mie naona kama vile anajifichaga nyuma ya satire... Post zake mara nyingi zinawa-comfuse watu... ili satire iwe successful ni lazima uweze communicate na audince wako kwamba hili andiko ni satirical... Najiuliza kama hoja zake ni satirical kwanini basi mara nyingi watu wanashindwa kuzi-distinguish from reality... Inawezekana reality iliyoko kwenye hoja zake ndio ujumbe anao-intend kutuma...
 
0a09c12bd20243ddcdfc3532f1ee8c82.jpg
 
Pascal Mayala sasa njoo na thread yakutuasa tuache kutoa maoni yetu kabisa JF. Maana maoni ya mtu JF ni kama dondoo inayojadiriwa. Kwa sasa mimi sieleweki ni maoni gani yatamuudhi rais au kumfurahisha. Mbaya zaidi maoni yetu yanaposababisha mtoa huduma wetu Mexine Melo kubeba dhambi zetu bila hata ya yeye kuchangia kwenye maoni hayo; inalazimika mtu ujisikie vibaya kumponza mtu mwema.

Nashauri rais aagize maoni gani yatolewe na yepi yasitolewe ili wengine wasioafikiana naye wasichangie kabisa. Yeye si mtoto mdogo anayetaka au anaetegemea kuvizia maoni ya watu.
 
Wanabodi,
Huu ni wito tuu kwa wana jf kuhusu ukosoaji wa Rais Magufuli, ufanyike constructively kwa nia njema ya kujenga na sio kubomoa tuu, yaani tufanye "a constructive criticism" kama kuna mahali amekosea, au amefanya ndivyo sivyo, tupaseme kwa lugha ya heshima na staha, kisha tuweke na ushauri wa the right thing to do, hivyo ukosoaji huu utakuwa unamsaidia rais wetu na kuisaidia nchi yetu.

Nakiri kupandisha uzi huu kutokana na mchango wa mwana jf huyu

Rais wa nchi ni kama baba wa familia, anahitaji kuheshimiwa.

Hata akikosea anakosolewa kwa heshima fulani.

Hata akidanganya haitwi muongo.

Hata akichelewa kwenye shughuli haambiwi kachelewa maana mkubwa hachelewi bali anakuwa hajafika.

Simaanishi Magufuli ni malaika au hawezi kufanya makosa, Magufuli naye ni binaadamu tuu kama binaadamu wengine na siku zote binaadamu ni viumbe dhaifu, hivyo Magufuli naye ana madhaifu yake ikiwemo kupenda misifa, kuropoka na kufanya maamuzi ya papara na kukurupuka ila kwa vile ndie kiongozi wetu Mkuu, kuna mambo ambayo hatupaswi kuyasema hata kama ni kweli, ikiwemo kumuita rais ni muongo hata kama ni kweli sometimes ni muongo hatupaswi kusema rais ni muongo bali rais alikuwa ana joke au anatania tuu.

Mfano rais alipozungumzia Kufyatua watoto atasomesha bure. Tamko hili lilikwenda kinyume cha uzazi wa mpango, hapa rais aliropoka lakini haiwezi kusemwa rais karopoka, maana hata mimi nilishitushwa na tamko lile ( Rais Kusitisha Uzazi wa Mpango Kwa"Fyatueni Watoto wa Kutosha",Ni Yake au ni ya Wale Wazee wa..?!.)
bali Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu aliibuka na kulitolea ufafanuzi tamko like kuwa lilikuwa sii kweli bali ni utani tuu akiwatania watani zake Wazaramo.

Mfano kwenye hoja ya udikiteta, ni kweli Magufuli ni dikiteta na hivyo ndivyo alivyo, na sio kwamba anajifanyisha, ila Tanzania hapa tulipo fikia, tulihitaji dikiteta na Mungu ametupatia Magufuli, badala ya kushukuru ndio kwanza tunalaumu.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Watu walipoitwa Vila.za, hatukunyamaza, tulitoa ushauri humu.
Wito kwa Baba Jesca: Watendee Haki Kina Jesca Wote Ili Nao Wapate Bahati Kama Jesca!.

Hata alipozungumzia mishahara ya peponi, pia tulitoa ushauri humu
Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote

Hata majumbani mwetu baba ambaye ni Mkuu na kichwa cha nyumba, kuna mara kibao anakosea hasa sisi mababa wa Kiafrika kutokana na mambo ya kiasili ya Uafrika wetu, na pia sio malaika hivyo ana madhaifu mengi tuu ambayo wamama huyajua huyaona, huyavumilia lakini hawayasemi hadharani.

Kuna namna ya ukosoaji wa heshima wenye lengo la kujenga, a constructive criticism ambao hufanywa in good faith na kuna ukoasoaji wa udhalilishaji ambao hufanywa in bad faith, ridiculously kumdhalilisha, kumjengea chuki, achukiwe, kumshushia hadhi na heshima etc ambayo japo is the truth but the motive behind is ill motive.

Simaanishi sasa ndio wote kazi yetu iwe ni kumuimbia nyimbo za sifa na mapambio, no tumkosoe kwa heshima na kwa nia njema kabisa kwa lengo la kumrekebisha na kumsaidia na sio kumdhalilisha.

Tanzania ni yetu sote, sio Tanzania ya Magufuli pekee, we all have a role to play and a responsibility of duty of care kujenga na sio kubomoa.

Kuna watu katika kumbonda Magufuli, kila siku kazi yao ni kumbomoa tuu na kumsifia Nyerere, yaani kumtumia Nyerere as a reference, ila ukimwangalia Magufuli kwa jicho la karibu, huyu jamaa yuko kama Nyerere kwa karibu kila kitu
Magufuli Kama Nyerere:Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, Ni Kazi Tuu, Ila Pia,Sio Kama Nyerere!.

Katika kujenga nchi the motive iwe ni kujenga kila kitu ikiwemo kujenga watu akiwemo rais anahitaji kuendelea kujengwa na sio kubomolewa tuu.

Japo nafahamu katika kujenga, kuna sehemu itakubidi ubomoe ndipo ujenge, ubomoaji huo hufanyika kwa makini sana ili usibomoe kusiko husika na kila ubomoaji huo ukifanyika hufuatiwa na ujenzi papo kwa papo! .

Nitapenda kuiona jf ya hivyo, wale waashi mahiri wa jf ambao kazi yao ni kubomoa tuu, wapewe jukumu la kujenga pia sio kila siku wao ni kubomoa tuu, mwisho watapewa sifa ya kuitwa wabomoaji tuu ili hali tuna wajenzi imara na mahiri humu tena waliopitia kozi za uanagenzi kwa wale mahiri kabisa.

Wana jf tuwe wakweli kumhusu Magufuli toka ndani ya nafsi zetu sio kwa kuvaa miwani yenye kuona mabaya tuu, mapungufu tuu na makosa pekee, bali kama kuna mema pia tuyaone, kama kuna mazuri pia tuyaangazie na kuyasema as encouragement kwa rais wetu mpendwa Mhe Dr John Pombe Joseph Magufuli.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Paskali ninakubaliana nawe kwenye hili pia na tatizo la wengi wetu tunajisahau aidha kwa maksudi au kwa kufuata mkumbo. Ninakumbuka kisa kimoja miaka mingi iliyopita ambapo ambapo moja ya mjomba wangu ambaye alikuwa mnywaji mzuri wa gongo na mvivu wa kula aliuguwa malaria na ikabidi alazwe hospitali.
kati ya waliomtembelea [mim nikiwemo] kulikuwa na kaka yake ambaye alimsema mbele za watu kwamba udhaifu wake unaotokana na pombe hiyo ndiyo uliyomfikisha hapo. Yule mgonjwa hakusita naye mbele za watu alimtukana kaka yake matusi ya nguoni. Baada ya watu wote kutoka [tulikuwa tunaelewana sana] tukibaki wawili tu nikamuuliza mjomba kuhusu unywaji huo. Mimi ingawa nilikuwa ni mdogo lakini alinijibu vizuri tu kwa kuniambia uwezo wa kunua konyagi hana na yeye bila kupata stimu haweza lala. Kuanzia hapo nikamuahidi kumnunulia konyagi kwa masharti ya kuacha gongo naye alikubali. Mjomba wangu yule tulikuwa tunaelewana sana na hata wazee walikuwa hawaelewi kwa nini.
Kwa ufupi ninachojaribu kusema hapa ni kwamba staha huzaa staha.
 
Namshauri Raisi aendelee kufanya kazi yake kama anavyotakiwa aache kulalamikia mitandao. Hawezi kushindana na mitandao atapoteza muda wake bure. Akumbuke kua hii kazi aliiomba kwa hiari sidhani kama alilazimishwa na mtu. Kuna watu wanaishi bila ya kufuatilia habari za mitandaoni zinazowakera. Akumbuke kua hakuchaguliwa na 100% ya watanzania kwahio asitegemee kusifiwa tu. Amekubali kuwa Raisi sio Mfalme akishindwa uvumilivu aachie ngazi aishi kwa amani. Akiheshimu wananchi wake bila kujali tofauti zao naamini ataheshimiwa na wengi. Kazi ya uongozi inakuja na mambo yake awe mvumilivu. Hii ni karne ya 21.
 
Pasco ndiye ameongoza kwa kumkosoa mpaka sasa na kama hujasoma Uzi wake horizontally bali umesoma vertically karejea na ya Jesca.

Mpaka sasa Pasco anaongoza ndipo wengine wanafuata kwa hoja tuambiane tulivyoelewa kilichosemwa au kilichotendwa kwa kadri tunavyoelewa au ilivvyo
 
Wanabodi,
Huu ni wito tuu kwa wana jf kuhusu ukosoaji wa Rais Magufuli, ufanyike constructively kwa nia njema ya kujenga na sio kubomoa tuu, yaani tufanye "a constructive criticism" kama kuna mahali amekosea, au amefanya ndivyo sivyo, tupaseme kwa lugha ya heshima na staha, kisha tuweke na ushauri wa the right thing to do, hivyo ukosoaji huu utakuwa unamsaidia rais wetu na kuisaidia nchi yetu.

Nakiri kupandisha uzi huu kutokana na mchango wa mwana jf huyu

Rais wa nchi ni kama baba wa familia, anahitaji kuheshimiwa.

Hata akikosea anakosolewa kwa heshima fulani.

Hata akidanganya haitwi muongo.

Hata akichelewa kwenye shughuli haambiwi kachelewa maana mkubwa hachelewi bali anakuwa hajafika.

Simaanishi Magufuli ni malaika au hawezi kufanya makosa, Magufuli naye ni binaadamu tuu kama binaadamu wengine na siku zote binaadamu ni viumbe dhaifu, hivyo Magufuli naye ana madhaifu yake ikiwemo kupenda misifa, kuropoka na kufanya maamuzi ya papara na kukurupuka ila kwa vile ndie kiongozi wetu Mkuu, kuna mambo ambayo hatupaswi kuyasema hata kama ni kweli, ikiwemo kumuita rais ni muongo hata kama ni kweli sometimes ni muongo hatupaswi kusema rais ni muongo bali rais alikuwa ana joke au anatania tuu.

Mfano rais alipozungumzia Kufyatua watoto atasomesha bure. Tamko hili lilikwenda kinyume cha uzazi wa mpango, hapa rais aliropoka lakini haiwezi kusemwa rais karopoka, maana hata mimi nilishitushwa na tamko lile ( Rais Kusitisha Uzazi wa Mpango Kwa"Fyatueni Watoto wa Kutosha",Ni Yake au ni ya Wale Wazee wa..?!.)
bali Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu aliibuka na kulitolea ufafanuzi tamko like kuwa lilikuwa sii kweli bali ni utani tuu akiwatania watani zake Wazaramo.

Mfano kwenye hoja ya udikiteta, ni kweli Magufuli ni dikiteta na hivyo ndivyo alivyo, na sio kwamba anajifanyisha, ila Tanzania hapa tulipo fikia, tulihitaji dikiteta na Mungu ametupatia Magufuli, badala ya kushukuru ndio kwanza tunalaumu.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Watu walipoitwa Vila.za, hatukunyamaza, tulitoa ushauri humu.
Wito kwa Baba Jesca: Watendee Haki Kina Jesca Wote Ili Nao Wapate Bahati Kama Jesca!.

Hata alipozungumzia mishahara ya peponi, pia tulitoa ushauri humu
Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote

Hata majumbani mwetu baba ambaye ni Mkuu na kichwa cha nyumba, kuna mara kibao anakosea hasa sisi mababa wa Kiafrika kutokana na mambo ya kiasili ya Uafrika wetu, na pia sio malaika hivyo ana madhaifu mengi tuu ambayo wamama huyajua huyaona, huyavumilia lakini hawayasemi hadharani.

Kuna namna ya ukosoaji wa heshima wenye lengo la kujenga, a constructive criticism ambao hufanywa in good faith na kuna ukoasoaji wa udhalilishaji ambao hufanywa in bad faith, ridiculously kumdhalilisha, kumjengea chuki, achukiwe, kumshushia hadhi na heshima etc ambayo japo is the truth but the motive behind is ill motive.

Simaanishi sasa ndio wote kazi yetu iwe ni kumuimbia nyimbo za sifa na mapambio, no tumkosoe kwa heshima na kwa nia njema kabisa kwa lengo la kumrekebisha na kumsaidia na sio kumdhalilisha.

Tanzania ni yetu sote, sio Tanzania ya Magufuli pekee, we all have a role to play and a responsibility of duty of care kujenga na sio kubomoa.

Kuna watu katika kumbonda Magufuli, kila siku kazi yao ni kumbomoa tuu na kumsifia Nyerere, yaani kumtumia Nyerere as a reference, ila ukimwangalia Magufuli kwa jicho la karibu, huyu jamaa yuko kama Nyerere kwa karibu kila kitu
Magufuli Kama Nyerere:Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, Ni Kazi Tuu, Ila Pia,Sio Kama Nyerere!.

Katika kujenga nchi the motive iwe ni kujenga kila kitu ikiwemo kujenga watu akiwemo rais anahitaji kuendelea kujengwa na sio kubomolewa tuu.

Japo nafahamu katika kujenga, kuna sehemu itakubidi ubomoe ndipo ujenge, ubomoaji huo hufanyika kwa makini sana ili usibomoe kusiko husika na kila ubomoaji huo ukifanyika hufuatiwa na ujenzi papo kwa papo! .

Nitapenda kuiona jf ya hivyo, wale waashi mahiri wa jf ambao kazi yao ni kubomoa tuu, wapewe jukumu la kujenga pia sio kila siku wao ni kubomoa tuu, mwisho watapewa sifa ya kuitwa wabomoaji tuu ili hali tuna wajenzi imara na mahiri humu tena waliopitia kozi za uanagenzi kwa wale mahiri kabisa.

Wana jf tuwe wakweli kumhusu Magufuli toka ndani ya nafsi zetu sio kwa kuvaa miwani yenye kuona mabaya tuu, mapungufu tuu na makosa pekee, bali kama kuna mema pia tuyaone, kama kuna mazuri pia tuyaangazie na kuyasema as encouragement kwa rais wetu mpendwa Mhe Dr John Pombe Joseph Magufuli.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
kwahiyo kuanzia Leo tuwe tunaimba kuwa jpm anaongea kingeleza kizuri kuliko watangulizi wake wore! Acheni unafiki hakuna kijiko kikubwa bali spade
 
Tatizo ni TATIZO liliopo.....Mjinga kujifanya JUHA kwenye kundi la wajuzi.... WEWE UNATARAJIA NINI....!!? Hekima ni ZAWADI toka kwa RABBI....
 
Heshima upande mmoja, Double standard... Hii ni moja ya tatizo kubwa sana kwetu waafrika, kwenye familia zetu, kwenye jamii zetu na mpaka kwenye serikali zetu... Kupenda kutukuzana na kutukuzwa ni jambo la kwaida sana kwenye maisha yetu waafrika... na ndio maana unaona mtu anakuwa na audacity ya kusema eti mtu flani hata akiwa muongo, hastaili kuitwa muongo, bali anastahili bado kutukuzwa na kusifiwa kwasababu yeye ni binadamu wa class nyingine kabisa ukilinganisha na nyie wengine...
Mkuu Kai Skapeta, japo kila mtu mwenye kujua kusoma na kuandika, anaweza kusoma chochote, na kuandika chochote, tatizo linakuja katika uelewa, tunatofautiana sana uwezo wa uelewa hivyo mtu unaweza kusoma usielewe au ukaandika usieleweke.

Lengo la uzi huu ni kuhusu kumkosoa rais wa nchi, Mkuu wa Serikali na Amiri jeshi Mkuu, akosolewe constructively kwa heshima na unyenyekevu, kuwa kutumia lugha ya staha na sio machukizo. Sijazungumzia kutukuzwa kwa sababu anayetukuzwa ni Mungu pekee
Nimeeleza vizuri kabisa kuwa rais wetu ni binadamu na sio Malaika.Sijazungumzia kusifiwa tuu, nimesema kwenye makosa, akosolewe, ila kwenye mazuri asifiwe na kupongezwa.

Paskali
 
Mkuu Kai Skapeta, japo kila mtu mwenye kujua kusoma na kuandika, anaweza kusoma chochote, na kuandika chochote, tatizo linakuja katika uelewa, tunatofautiana sana uwezo wa uelewa hivyo mtu unaweza kusoma usielewe au ukaandika usieleweke.

Lengo la uzi huu ni kuhusu kumkosoa rais wa nchi, Mkuu wa Serikali na Amiri jeshi Mkuu, akosolewe constructively kwa heshima na unyenyekevu, kuwa kutumia lugha ya staha na sio machukizo. Sijazungumzia kutukuzwa kwa sababu anayetukuzwa ni Mungu pekee
Nimeeleza vizuri kabisa kuwa rais wetu ni binadamu na sio Malaika.Sijazungumzia kusifiwa tuu, nimesema kwenye makosa, akosolewe, ila kwenye mazuri asifiwe na kupongezwa.

Paskali


Mkuu pasco, I kayscarpetta, nakusoma vizuri kabisa...

Kama umenisoma kwenye paragraph ya kwanza utagundua kuwa, i interpreted your post literrally... I knew very well that you literrally meant what you wrote. Thanks for comfirming.

Ok, kuhusu mada iliyoko kwenye post yako, well mkuu pasco, ukiangalia trend inayoendelea duniani sasa hivi ni kwamba, watu wengi duniani wamechoshwa na 'political Correctness'
PoIitical correctness ni pazia tu la kufunika issues na matatizo yaliyoko kwenye jamii zetu. Kuwa politically correct kila wakati hakutufanyi tutatue matatizo mazito tuliyonayo, bali inatusaidia tu, tusiwaudhi na kuwakwaza watu flani flani, huku tukikwepa na kuogopa ku-aknowledge na kuongelea matatizo tuliyonayo.

Kuwafundisha watu lugha na misamiati unayosema ni ya unyeyekevu sio suluhu mkuu... Ngoja nikuulize swali, unyenyekevu ni nini? Kama ukimpeleka binti yako wa miaka saba kumsalimu babu yake (ambaye ni baba yako) alafu babu akam-rape, utakwepa kutumia maneno kama mbakaji, muhalifu etc? Unaweza kutusaidia ni lugha gani ya unyenyekevu utakayotumia?

Mkuu, asilimia kubwa ya wachangiaji ambao ni wakosoaji hapa JF sio watu wanaotumia lugha ya matusi kabisa... Shida iliyopo ni kwamba viongozi wetu hawajazoea kabisa kuambiwa ukweli na kukusolewa na hawapendi kabisa kuambiwa ukweli, na mtu anapokuja hapa na kumwaga ukweli wenyewe kama ulivyo basi anaitwa muhalifu, kwasababu kwa hawa viongozi wetu, "UKWELI KWAO WANATAFSIRI KWAMBA NI MATUSI NA DHARAU"
 
Me siwaelewi kbs make vijana wamemaliza vyuo lkn hakuna ajra we huoni hilo ni tatzo so hayo majipu atayatumbua had lini tumia akili vijana wetu wanazd kuzaraulika tu kila kukicha.....
 
Kuna kitu chaitwa RIGHT WING ushawafuatilia? Kuhoji kukosoa na kudhalilisha ndo KAZI kubwa ya hawa jamaa. Sijawahi kuona wala kusoma sehemu yeyote wanamsifu Obama, wao ni kuponda tu, hata Trump Si right wing? Kukosolewa na kusemwa ndio kioo, chapa KAZI utapimwa KWA juhudi na sio kuzima wapiga kelele, utawapa umaarufu na Huruma na kuwajenga bila kujua( kupiga chura teke).
Hapa tutaongea lakini mwisho wa yote jibu ni katiba mpya watawala wanadhani katiba iliyopo ni nzuri kwasababu inawapa madaraka mengi na nguvu. katiba ikiwa nzuri inamsaidia hata Rais kutawala vizuri na kilaini hakuna msongo wa mawazo :kuhusu kushauli serikali hii haishauriki tumesema humu hali ya uchumi siyo nzuri tumeambiwa wapiga DILI sasa hivi wamejificha waliokuwa wakisema hali ya uchumi ni nzuri nawamambia hii hali bado ni cha mtoto kwasababu serikali hailipi madeni ya ndani hakuwezi kukawa na mzunguko wa pesa hapa ni pamoja na vipaumbele nchi haiwezi kuendeshwa km familia unaongoza nchi kwa katiba
 
Magufuli si malaika ! ni binadamu kama wengine ! Anawaza,analala,anakula nk kama wengine tu ! Cha msingi tujaribu kumsoma kiongozi wetu kuwa nini ilikuwa dhamira yake kwenye jambo fulani ! Rais anaweza akawa na dhamira fulani njema juu ya jambo fulani lkn akateleza tu ktk namna kuliwasilisha kwa wahusika,Rais ni binadamu kama wengine tu jamani,Cha msingi ni sisi kujiongeza kwa kumuelewa rais wetu anataka nini na nini dhamira yake juu ya jambo fulani tutaishi kwa amani sana.
Pasco ni malaika.Yeye ndie kila kitu.
 
Back
Top Bottom