Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,676
- 11,110
Toka awamu ya sita kuingia madarakani sote tumesguhudia mfumujo wa bei kwa bidhaa mbali mbali huku serikali imekaa kimya.
Vilianzaa kupanda bei vifaa vya ujenzi sasa zimepanda bidhaa muhimu kwa matumizi ya kawaida kwa kisubgizio cha vita vya Ukraine na Urusi.
Bila hata kuwa na haya kiongozi mkuu wa nchi anathubutu kusema hadharani kuwa lazima vitu vipande bei;kwa kauli hii kwa nchi za wengine wenye kujielewa ilikuwa inatosha kuanzisha maandamano ya kuiondoa serikali madarakani kwa njia ya maandamano.
Kwakuwa serikali imeamua kuwabeba wafanyabiashara na dhani sasa ni Wakati wetu wakulima na sisi Kupandisha Bei za mazao yetu ukizingatia sababu tunazo.
Ifike mahali wakulima tugome kuuza mazao kwa bei isiyo na tija kwetu; ASIETAKA ASILE AU AKALIME MWENYEWE.
Vilianzaa kupanda bei vifaa vya ujenzi sasa zimepanda bidhaa muhimu kwa matumizi ya kawaida kwa kisubgizio cha vita vya Ukraine na Urusi.
Bila hata kuwa na haya kiongozi mkuu wa nchi anathubutu kusema hadharani kuwa lazima vitu vipande bei;kwa kauli hii kwa nchi za wengine wenye kujielewa ilikuwa inatosha kuanzisha maandamano ya kuiondoa serikali madarakani kwa njia ya maandamano.
Kwakuwa serikali imeamua kuwabeba wafanyabiashara na dhani sasa ni Wakati wetu wakulima na sisi Kupandisha Bei za mazao yetu ukizingatia sababu tunazo.
Ifike mahali wakulima tugome kuuza mazao kwa bei isiyo na tija kwetu; ASIETAKA ASILE AU AKALIME MWENYEWE.