Polisi ni dollaHamjawahi kuwaza njia mbadala zaidi ya kutumia Dola.
Tukiondoa police hamna namna ya kupambna kisiasa.
uhuru wa kutoa maoni na hayo ni maoni yake tu si maoni ya wote so sioni kosa hapo.√Soma hapo chini alichokisema
Kwamba
Rais Samia Suluhu kwa Sasa Hawazii Matatizo Ya Watanzania bali anawazia Uchaguzi Tu.
Kwamba
Ndani Ya Miezi 6 Wana Uhakika wa Kupata Tume Huru Ya Uchaguzi Bila Kuomba omba kwa CCM
Kwamba
Ifikapo 2025 CCM Itaondoka Madarakani Watake Wasitake
Kauli zote hizo tatu Ni tata zilizojaa kashfa na uchochezi
Nashauri Vyombo vya dola vichukue hatua stahiki mara moja
Tunasimama na Mama Samia
Tutamtetea Mama Samia
Tutamlinda Mama Samia
KaziIendelee.
√Soma hapo chini alichokisema
Kwamba
Rais Samia Suluhu kwa Sasa Hawazii Matatizo Ya Watanzania bali anawazia Uchaguzi Tu.
Kwamba
Ndani Ya Miezi 6 Wana Uhakika wa Kupata Tume Huru Ya Uchaguzi Bila Kuomba omba kwa CCM
Kwamba
Ifikapo 2025 CCM Itaondoka Madarakani Watake Wasitake
Kauli zote hizo tatu Ni tata zilizojaa kashfa na uchochezi
Nashauri Vyombo vya dola vichukue hatua stahiki mara moja
Tunasimama na Mama Samia
Tutamtetea Mama Samia
Tutamlinda Mama Samia
KaziIendelee.
Koroboi.√Soma hapo chini alichokisema
Kwamba
Rais Samia Suluhu kwa Sasa Hawazii Matatizo Ya Watanzania bali anawazia Uchaguzi Tu.
Kwamba
Ndani Ya Miezi 6 Wana Uhakika wa Kupata Tume Huru Ya Uchaguzi Bila Kuomba omba kwa CCM
Kwamba
Ifikapo 2025 CCM Itaondoka Madarakani Watake Wasitake
Kauli zote hizo tatu Ni tata zilizojaa kashfa na uchochezi
Nashauri Vyombo vya dola vichukue hatua stahiki mara moja
Tunasimama na Mama Samia
Tutamtetea Mama Samia
Tutamlinda Mama Samia
KaziIendelee.
Wewe ni mpimbavu kama walivo wapumbavu wenzako. Unataka kila kinachosemwa na watu lazima kikupendeze wewe??? Mgombea alipokuwa kwenye kampeno akasema hata kama wapiga kura wasipochagua chama flani lazima kitaunda serikali hapakiwepo watu wenue akili??? Idiot√Soma hapo chini alichokisema
Kwamba
Rais Samia Suluhu kwa Sasa Hawazii Matatizo Ya Watanzania bali anawazia Uchaguzi Tu.
Kwamba
Ndani Ya Miezi 6 Wana Uhakika wa Kupata Tume Huru Ya Uchaguzi Bila Kuomba omba kwa CCM
Kwamba
Ifikapo 2025 CCM Itaondoka Madarakani Watake Wasitake
Kauli zote hizo tatu Ni tata zilizojaa kashfa na uchochezi
Nashauri Vyombo vya dola vichukue hatua stahiki mara moja
Tunasimama na Mama Samia
Tutamtetea Mama Samia
Tutamlinda Mama Samia
KaziIendelee.
Huo ndio ukweli aliousema James√Soma hapo chini alichokisema
Kwamba
Rais Samia Suluhu kwa Sasa Hawazii Matatizo Ya Watanzania bali anawazia Uchaguzi Tu.
Kwamba
Ndani Ya Miezi 6 Wana Uhakika wa Kupata Tume Huru Ya Uchaguzi Bila Kuomba omba kwa CCM
Kwamba
Ifikapo 2025 CCM Itaondoka Madarakani Watake Wasitake
Kauli zote hizo tatu Ni tata zilizojaa kashfa na uchochezi
Nashauri Vyombo vya dola vichukue hatua stahiki mara moja
Tunasimama na Mama Samia
Tutamtetea Mama Samia
Tutamlinda Mama Samia
KaziIendelee.
Ni kweli hatutashangaa sana, maana sisiemu hawawezi kujibu hoja za wananchi, wanatumia polisi na wasiojulikana.Kwakuwa chichiemu walishashindwa siasa za hoja, na badala yake wapo kwenye siasa za dola, SII jambo la kushangaa nae kesho tukasikia ni gaidi na mhujumuh uchumi🏋️.
Achukuliwe hatua kwa kauli hizi za kisiasa.....!!?√Soma hapo chini alichokisema
Kwamba
Rais Samia Suluhu kwa Sasa Hawazii Matatizo Ya Watanzania bali anawazia Uchaguzi Tu.
Kwamba
Ndani Ya Miezi 6 Wana Uhakika wa Kupata Tume Huru Ya Uchaguzi Bila Kuomba omba kwa CCM
Kwamba
Ifikapo 2025 CCM Itaondoka Madarakani Watake Wasitake
Kauli zote hizo tatu Ni tata zilizojaa kashfa na uchochezi
Nashauri Vyombo vya dola vichukue hatua stahiki mara moja
Tunasimama na Mama Samia
Tutamtetea Mama Samia
Tutamlinda Mama Samia
KaziIendelee.
Inawezekana wote wamegeuka malaika hivyo hawataki kurekebishwa.Achukuliwe hatua kwa kauli hizi za kisiasa.....!!?
una akili sawa sawa kweli ww