Wito kwa vijana wote na wazee wanaojitambua juu ya kuipata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.

Naomba kutaja orodha ya mabaya ktk katiba iliyopo:
1. Kukosa ushiriki wakati wa kuandika
2. Uchache na ufinyu wa haki za binadamu
3. Ubovu wa tume ya uchaguzi
4. Uchaguzi wa rais kutokuhojiwa na mahakama
5. Kujataliwa kwa mgombea guru
6. Kukosekana dira na dhima ya taifa
7. Kupuuza haki ya kumiliki ardhi
8.Katiba kutokumtambua Mungu
9. Kulimbikiza madaraka kwa raise
10.Utata kuhusu muungano
11. Kukosekana kikomo cha muda wa uwaziri na ubunge
12.Kutopambanua mfumo na mwelekeo wa uchumi wa taifa
13. Kuunganisha serikali na binge , ni.

Namba 2&8 fafanua, Habari ya Mungu ni imani ya mmoja mmoja kuna wasioamini na wanatambika hawa nao haki yao itapatikanaje?
 
Ndugu yangu.kudai katiba mpya yenye tume huru sio rahisi kuipata.Ili kipata tume huru inatubidi tuwe na roho ngumu.tukubali kujitoa mhanga tusiogope mateso.tusiogope kufa.Ina bidi viongozi wote waupinzani wasio wanafki pamoha na wananchi wanaojitambua tuwe mstari wa mbele kujitoa muhanga.HAKI HAIJI KIRAHISI,haki inapiganiwa.Wakati mwingine inabidi kumwagike damu ili haki ipatikane.
 
ALIPODAI KATIBA MPYA SIO KIPAUMBELE CHAKE NINGEKUA KARIBU YAKE NINGEMTANDIKA NGUMI SHENZY KABISA. HAIWEZEKANI NCHI AIFANYE NI YA BIBI YAKE.
 
Katiba mpya sio kitu cha kusubilia kama mvua...lazm tupige sauti nchi nzima....tujipange kwa makongamano na mijadala ya kijamii...kuelimisha jamii kwanini katiba mpya...na pia uelewa wa watu wengi juu ya katiba utasaidia kupata katiba mpya yenye maoni ya wananchi.....napita......
 
Katiba mpya sio kitu cha kusubilia kama mvua...lazm tupige sauti nchi nzima....tujipange kwa makongamano na mijadala ya kijamii...kuelimisha jamii kwanini katiba mpya...na pia uelewa wa watu wengi juu ya katiba utasaidia kupata katiba mpya yenye maoni ya wananchi.....napita......
Ni kweli mshikamano kwa vijana ndo itakuwa chachu ya mabadiliko na kamwe tusitegemee muujiza wa kupata katiba mpya na tume huru ya uchagu pasipo kuwepo watu wa kujitoa muhanga kwa hili. Si masihala kuwa tunataka hivyo vitu na kama ni kuuliwa kama wale waliotupwa MTO ruvu basi waandae wauaji na Nina uhakika wanao.
 
Back
Top Bottom