Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,992
- 31,695
Sisi tutapiga kelele lakini kwenda kwenye mchakato watateuana wao na hili ndo tatizo kubwaN
Ndo maana sijasema wanasiasa japokuwa naona ni wadau wakubwa lakini jambo la msingi ni kuwa kijana ndiye nguzo ya mabadiliko kamwe tusitegemee wazee kwa hili tushikamane haswaa!