Wito kwa vijana wenzangu: 2020 tuchague kijana mwenzetu

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
bara letu la afrika limekuwa na kasumba ya kuongozwa na marais wazee ambao mara nyingi wamekuwa wakiingia na kubakia madarakani kwa hila. nyuma yao ni kundi kubwa la vijana wasio na ajira na elimu wakiwashangilia na kuwapgia kura.

marais hawa wazee wamekuwa wakizisigina Katiba za nchi makusudi kwa maslahi yao binafsi lakini cha ajabu washangiliaji wakubwa wa michezo hii ya wanasiasa wazee ni sisi vijana.

marais hawa wazee wamekuwa wakijitungia visheria vya ajabu kama sheria ya fao la kujitoa na hatimae tunaoumia ni sisi vijana ambao wengine ajira zetu hazina garantii lakini tunawashangilia na wanasaini sheria za namna hii kutuumiza sisi.

tufanye hivi...

2020 tuachane na kasumba ya kuwashabikia na kuwapigia kura hawa wazee awe wa chadema, act wazalendo, cuf au ccm. tupige kura kwa mgombea urais kijana mwenzetu hawa wazee jamani hawana jipya.

na hii iwe kwa ngazi zote: udiwani, ubunge na urais.

hivi kijana na akili zako 2020 unaenda kupanga foleni kumpigia kura ole sendeka?

2020 unaenda kupiga kura yako kwa ndugai lazima utakuwa na walakini.

chansela wa Austria ana umri wa miaka 32 tu. Emmanuel Macron wa Ufaransa sidhani kama kazidi miaka 40.

2020 mzee yoyote iwe nafasi ya udiwani, ubunge, urais piga chini.
 
  • Thanks
Reactions: OHA
Nafikiri tatizo sio ujana au uzee. Tatizo ni namna Gani tunaweza kujenga mifumo imara na kuhakikisha inatekeleza wajibu wake, mwanzo mwisho.
Macron mwenyewe unayemtaja, wafaransa hawana hamu naye na kinachowasaidia wenzetu ni mifumo mizuri ya kulinda haki za raia.
Hawa unaowatazama kama wazee, hawakuzaliwa na Hali hiyo. Kilichowasaidia ni udhaifu wa mifumo yetu.
Mtazame kabila wa Drc na mambo anayefanya, ni Mzee wa kusema?
Hata hapa kwetu tuna mifano ya hao unaowaita vijana lakini hawafai hata ubalozi wa nyumba kumi.
Prof shivji aliwahi kusema kuna vijana wanabongo za ajabu( mbovu) kuliko za wazee.
 
  • Thanks
Reactions: OHA
Vijana tutachagua mtetezi halisi wa matatizo yetu, tena mwenye trend hiyo siyo atakayekurupuka ndani ya usiku mmoja tu kujifanya anatetea vijana. Haijalishi awe CCM, CHAUMMA, ACT au CHADEMA, Mzee au Kijana.

- Vijana tunataka:

- FAO LA KUJITOA

- AJIRA.

- MAZINGIRA BORA YA BIASHARA ( START UPS ), kama msamaha wa kodi, affordable operational fees, Technological trends, msaada wa kisheria etc

- Taaluma/Elimu bila mipaka

- Mikopo nafuu ( Ya Kielimu na Biashara ). Hatutaki mikopo fake ya kulazimishana kuwa kwenye vikundi.

- Masoko ya bidhaa za kilimo na pembejeo za gharama nafuu.

- Tunataka uwanja huru wa mitandao kibiashara. Tunataka uhuru wa BLOGGING, YouTube n.k. Sheria mbovu zote zinazozuia kijana kupiga hatua hatuzitaki.

- Vijana tunaoimba HATUITAKI BASATA iwe iendeshwe na watu makini wenye nia ya kukuza vijana kisanii na kiuchumi na siyo hii BASATA-MAHAKAMA-POLISI.

- Vijana tunataka PASSPORT ( HATI ZA KUSAFIRIA ) bila masharti koko. Ni HAKI YETU.
Yaani VISA tusumbuliwe, na HATI pia?
 
sikubaliani na wewe na napinga kijana kuwa rais kwa sababu watalewa , wataizoea ofisi, watagoma kuondoka, watafanya unajisi ofisini na mambo mengine mengi yasiyofaa, watajawa na kibri na majivuno, hekima vijana wengi hawana. 2020 ni Magufuli mwanzo mwisho
 
bara letu la afrika limekuwa na kasumba ya kuongozwa na marais wazee ambao mara nyingi wamekuwa wakiingia na kubakia madarakani kwa hila. nyuma yao ni kundi kubwa la vijana wasio na ajira na elimu wakiwashangilia na kuwapgia kura.

marais hawa wazee wamekuwa wakizisigina Katiba za nchi makusudi kwa maslahi yao binafsi lakini cha ajabu washangiliaji wakubwa wa michezo hii ya wanasiasa wazee ni sisi vijana.

marais hawa wazee wamekuwa wakijitungia visheria vya ajabu kama sheria ya fao la kujitoa na hatimae tunaoumia ni sisi vijana ambao wengine ajira zetu hazina garantii lakini tunawashangilia na wanasaini sheria za namna hii kutuumiza sisi.

tufanye hivi...

2020 tuachane na kasumba ya kuwashabikia na kuwapigia kura hawa wazee awe wa chadema, act wazalendo, cuf au ccm. tupige kura kwa mgombea urais kijana mwenzetu hawa wazee jamani hawana jipya.

na hii iwe kwa ngazi zote: udiwani, ubunge na urais.

hivi kijana na akili zako 2020 unaenda kupanga foleni kumpigia kura ole sendeka?

2020 unaenda kupiga kura yako kwa ndugai lazima utakuwa na walakini.

chansela wa Austria ana umri wa miaka 32 tu. Emmanuel Macron wa Ufaransa sidhani kama kazidi miaka 40.

2020 mzee yoyote iwe nafasi ya udiwani, ubunge, urais piga chini.
Ujana na uzee uko kwenye akili ya mtu ndio maana wewe mleta mada ni mzee kuliko Reginald Mengi ijapokuwa una umri wa miaka 28 tu!
 
bara letu la afrika limekuwa na kasumba ya kuongozwa na marais wazee ambao mara nyingi wamekuwa wakiingia na kubakia madarakani kwa hila. nyuma yao ni kundi kubwa la vijana wasio na ajira na elimu wakiwashangilia na kuwapgia kura.

marais hawa wazee wamekuwa wakizisigina Katiba za nchi makusudi kwa maslahi yao binafsi lakini cha ajabu washangiliaji wakubwa wa michezo hii ya wanasiasa wazee ni sisi vijana.

marais hawa wazee wamekuwa wakijitungia visheria vya ajabu kama sheria ya fao la kujitoa na hatimae tunaoumia ni sisi vijana ambao wengine ajira zetu hazina garantii lakini tunawashangilia na wanasaini sheria za namna hii kutuumiza sisi.

tufanye hivi...

2020 tuachane na kasumba ya kuwashabikia na kuwapigia kura hawa wazee awe wa chadema, act wazalendo, cuf au ccm. tupige kura kwa mgombea urais kijana mwenzetu hawa wazee jamani hawana jipya.

na hii iwe kwa ngazi zote: udiwani, ubunge na urais.

hivi kijana na akili zako 2020 unaenda kupanga foleni kumpigia kura ole sendeka?

2020 unaenda kupiga kura yako kwa ndugai lazima utakuwa na walakini.

chansela wa Austria ana umri wa miaka 32 tu. Emmanuel Macron wa Ufaransa sidhani kama kazidi miaka 40.

2020 mzee yoyote iwe nafasi ya udiwani, ubunge, urais piga chini.
Unayohabari kuwa hata Dab ni kijana? kama uongozi bora wa ujana ni dzaini ile Mungu apishe mbali hiyo mauti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri tatizo sio ujana au uzee. Tatizo ni namna Gani tunaweza kujenga mifumo imara na kuhakikisha inatekeleza wajibu wake, mwanzo mwisho.
Macron mwenyewe unayemtaja, wafaransa hawana hamu naye na kinachowasaidia wenzetu ni mifumo mizuri ya kulinda haki za raia.
Hawa unaowatazama kama wazee, hawakuzaliwa na Hali hiyo. Kilichowasaidia ni udhaifu wa mifumo yetu.
Mtazame kabila wa Drc na mambo anayefanya, ni Mzee wa kusema?
Hata hapa kwetu tuna mifano ya hao unaowaita vijana lakini hawafai hata ubalozi wa nyumba kumi.
Prof shivji aliwahi kusema kuna vijana wanabongo za ajabu( mbovu) kuliko za wazee.
Hawa wazee pia ni kikwazo hiyo mifumo utaitengenezaje wazee hawataki wanataka wao ndio wawe mifumo
 
Tundu lissu anatufaa sana yaani mpaka waliamua kutaka kumuua mchana kweupee!!!..
Kutaka kumuua siyo tiketi ya kufaa kuwa rais wa nchi. Labda utuambie sababu za Lissu kutaka kuuawa ndo tuone kama hizo ndo sifa za mtu kuwa rais.
 
bara letu la afrika limekuwa na kasumba ya kuongozwa na marais wazee ambao mara nyingi wamekuwa wakiingia na kubakia madarakani kwa hila. nyuma yao ni kundi kubwa la vijana wasio na ajira na elimu wakiwashangilia na kuwapgia kura.

marais hawa wazee wamekuwa wakizisigina Katiba za nchi makusudi kwa maslahi yao binafsi lakini cha ajabu washangiliaji wakubwa wa michezo hii ya wanasiasa wazee ni sisi vijana.

marais hawa wazee wamekuwa wakijitungia visheria vya ajabu kama sheria ya fao la kujitoa na hatimae tunaoumia ni sisi vijana ambao wengine ajira zetu hazina garantii lakini tunawashangilia na wanasaini sheria za namna hii kutuumiza sisi.

tufanye hivi...

2020 tuachane na kasumba ya kuwashabikia na kuwapigia kura hawa wazee awe wa chadema, act wazalendo, cuf au ccm. tupige kura kwa mgombea urais kijana mwenzetu hawa wazee jamani hawana jipya.

na hii iwe kwa ngazi zote: udiwani, ubunge na urais.

hivi kijana na akili zako 2020 unaenda kupanga foleni kumpigia kura ole sendeka?

2020 unaenda kupiga kura yako kwa ndugai lazima utakuwa na walakini.

chansela wa Austria ana umri wa miaka 32 tu. Emmanuel Macron wa Ufaransa sidhani kama kazidi miaka 40.

2020 mzee yoyote iwe nafasi ya udiwani, ubunge, urais piga chini.
Angalia wale vijana waliteuliw juzi juzi kushika nyazif za ukuu wa mkoa, wilaya, ukatibu tawala na ukurugenzi. Tatizo siyo umri, tatizo ni roho mbaya, akili duni na mfumo wa kifsadi unawalinda marais hawa.
 
mi nafikiri badala ya kuzungumzia ujana au uzee tuwaangalie watu tunaowachagua kama wana vigezo kama wana vigezo ndio nitawapa kura yangu bila kujali ujana au uzee
 
Back
Top Bottom