Mzee Salim,
Labda kwanza nianze na utambulisho mfupi -
Mimi ni mmoja wa vijana wa kitanzania ambao tulikutana nawe kwenye moja ya hotels kule Cairo na kufanya mazungumzo ya kina nawe kuhusu siasa za Tanzania (miaka kadhaa iliyopita).
Pili - moja kwa moja kwenye ujumbe -
Naomba ubadili mtizamo wako kuhusu siasa za Tanzania na ufanye kile cha maana (do the right thing) - uombe kupewa uraisi wa Tanzania kwa kupitia chama cha mapinduzi mwakani (2010).
Ni hayo tu kwa leo.
Asante
Labda kwanza nianze na utambulisho mfupi -
Mimi ni mmoja wa vijana wa kitanzania ambao tulikutana nawe kwenye moja ya hotels kule Cairo na kufanya mazungumzo ya kina nawe kuhusu siasa za Tanzania (miaka kadhaa iliyopita).
Pili - moja kwa moja kwenye ujumbe -
Naomba ubadili mtizamo wako kuhusu siasa za Tanzania na ufanye kile cha maana (do the right thing) - uombe kupewa uraisi wa Tanzania kwa kupitia chama cha mapinduzi mwakani (2010).
Ni hayo tu kwa leo.
Asante