The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,247
Naona mmewaongeza Buku 7 siku za hivi karibuni humu jamvini kwa kasi ya kimbunga,....
Tatizo lao hawajui kujibu hoja,ni kuandika utumbo/Matusi na personal attacks tu...!
Mkuu Nape Nnauye,kuna haja ya kuajiri vijana wenye atleast shahada moja ya PSPA,Sheria etc...waje wajadili hoja humu ndani.....watasaidia kuwashawishi waTZ kukiamini chama chetu...!
Hawa Vilaza wenu wanashusha hadhi ya jamvi tu hapa....hawajui kujenga hoja zaidi ya matusi...
Tafadhali Mr.Nnauye,tuletee watu wenye uelewa kidogo......!
Tatizo lao hawajui kujibu hoja,ni kuandika utumbo/Matusi na personal attacks tu...!
Mkuu Nape Nnauye,kuna haja ya kuajiri vijana wenye atleast shahada moja ya PSPA,Sheria etc...waje wajadili hoja humu ndani.....watasaidia kuwashawishi waTZ kukiamini chama chetu...!
Hawa Vilaza wenu wanashusha hadhi ya jamvi tu hapa....hawajui kujenga hoja zaidi ya matusi...
Tafadhali Mr.Nnauye,tuletee watu wenye uelewa kidogo......!