MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,427
Ndugu zangu,
Kumekuwa na tabia ya kuweka picha za marehemu tena zingine zilizoharibika kutokana na ajali kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vingine vya habari.Binafsi nitoe wito wa kuacha tabia hii ambayo pengine hata sisi tulio hai tusingependa kufanyiwa.
Nimeona nitoe wito huu baada ya kuona picha za Marehemu Sharo milionea kwenye blog moja.Sio kitu kizuri kufanya vile tena bila ridhaa hata ya ndugu.
Tuungane kupinga hili maana pengine sheria zetu zina mapungufu juu ya swala hili.Mwisho naomba wamiliki wa hizo blog watoe picha hizo mara moja kwa heshima ya Marehemu.
Kumekuwa na tabia ya kuweka picha za marehemu tena zingine zilizoharibika kutokana na ajali kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vingine vya habari.Binafsi nitoe wito wa kuacha tabia hii ambayo pengine hata sisi tulio hai tusingependa kufanyiwa.
Nimeona nitoe wito huu baada ya kuona picha za Marehemu Sharo milionea kwenye blog moja.Sio kitu kizuri kufanya vile tena bila ridhaa hata ya ndugu.
Tuungane kupinga hili maana pengine sheria zetu zina mapungufu juu ya swala hili.Mwisho naomba wamiliki wa hizo blog watoe picha hizo mara moja kwa heshima ya Marehemu.