Mromboo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,928
- 6,467
Hawatakuelewa. Tatizo hawajui kuna mfungwa na mtuhumiwa.Rais hana mamlaka ya kumsamehe mtuhumiwa.
Hawatakuelewa. Tatizo hawajui kuna mfungwa na mtuhumiwa.Rais hana mamlaka ya kumsamehe mtuhumiwa.
Hivi kile kibabu kilicholeta laki tano kwa house girl was rutabanzibwa kulikuwa na mhemko was kisiasa? Hebu wacheni mambo ya kijingaKwa wadau wa sharia na haki za binadamu ni wazi sasa kwamba AFTER 3 YEARS hakuna kesi iliyoanza kuskilizwa kikamilifu.
Maana yake ni hii:
Paskali hayo yawekwe maanani anything can happen.
- Hapakuwepo kesi in the first place
- DPP na prosecutors wake hawawezi kazi kwani after three years wameshindwa kuuthitishia mahakama na umma kama kuna kesi ya kujibu(ku buildup case)
- Watu wamewekw ndani kwa mihemuko ya kisiasa
- Hili zoezi la kuwaomba watu wakiri makossa ili wasamehewe halijakaa kisheria sana
- Watuhumiwa wanaweza na ni haki yao kudai Fidia kisheria kwa kuwekwa ndani bila sababu ya kimsingi.
Hujajibu hoja muhimu hasa kwa nini after 3years prosecutors hawajaweza ku build up case.Hivi kile kibabu kilicholeta laki tano kwa house girl was rutabanzibwa kulikuwa na mhemko was kisiasa? Hebu wacheni mambo ya kijinga
Wanabodi,
Hili ni bandiko la wito na ushauri kwa DPP, Japo ni Ushauri wa Rais Magufuli , Kuwasamehe, Wahujumu Uchumi Watakao Kiri Makosa Yao, Kutubu na Kuahidi Kurudisha, Namuomba DDP, P'se Tumia Nolle Kufuta Kesi Zao, Makubaliano Yawe Siri Ili Wapokelewe na Jamii Kama Watu Wema.
Tanzania inafuata mfumo wa utoaji haki wa nchi za Jumuiya ya Madola ambao kanuni yake ni "Innocent until proven guilty by the court of competent jurisdiction".
Kwa mujibu wa kanuni hii, watuhumiwa wote wa ufisadi, uhujumu uchumi na utakatishaji fedha, they are all innocent until proven guilty, and the burden of proof lies with the prosecution, kwa vile kesi hizi zimechukua muda mrefu bila uchunguzi kukamilika, hadi rais Magufuli ameingia huruma na kuingilia kati kwa kutoa msamaha kwa watuhumiwa wa ufisadi, uhujumu uchumi na utakatishaji fedha, watakao kiri makosa yao, kutubu na kuahidi kurudisha, ili kununua uhuru wao.
Kwa vile rais Magufuli ametoa msamaha huu genuinely kuwaonea huruma wanavyoteseka, hivyo to save the face of incompetence ya prosecution, na lengo la rais Magufuli, licha ya kuguswa na mateso yao, pia amewasamehe ili warudi kuungana na familia zao, na kuendelea na shughuli zao za ujenzi wa taifa.
Hakuomba kukiri huku kusiwafanye kuwa guilty kwa sababu hii pia ni some form ya cohesion and undue influence ya rais kusamehe, na wao kulazimishwa kukiri na kulipa ili kuununua uhuru wao, nakuomba utumie zile power zako za Nolle Prosequi
kuwafutia kesi zao ili huku uraiani tuwapokee kama watu wema, innocent victims na sio kama wahalifu mafisadi, na wahujumu uchumi, waliokiri, hivyo kuendelea na shughuli zao kwa amani kama raia wema.
Hivyo hayo makubaliano yafanywe ni siri kati ya ofisi yako na watuhumiwa, sisi huku mitaani tuwapokee kama raia wema waliopata matatizo ya tuhuma za uhujumu wa uchumi ila wamefutiwa kesi zao na DPP.
Ukimuondoa rais wa JMT kwa kuwa ndio the most powerful man, kwenye uendeshaji wa mashauri ya jinai, DPP ndio the most powerful kumpita hata rais, kama alivyo CAG kwenye kuwasilisha Ripoti ya CAG Bungeni, CAG ana powers zaidi ya rais.
Kwa msiofahamu powers za DPP, tembelea hapa.
DPP atumie madaraka yake kisheria ipasavyo, asisubiri maelekezo ya wanasiasa ili afanye kazi
...kwa hiyo ni bora wateuliwa kama hawa wawe wanapitishwa na chombo/taasisi fulani hivi baada ya kupendekezwa na Rais, na si kuteuliwa tu. Huenda.Tatizo hatujui kama kuna utashi au nia ya kweli kushughulikia mambo fulani fulani.www.jamiiforums.com
Nimalizie kwa kumpongeza rais wetu Magufuli kwa huruma yake kwa Watanzania wanaoteseka magerezan kwa kusubiria kutendewa haki, justice delayed is justice denied.
Paskali
Cape Town
RSA.
We msaghano kweli, Nana kakwambia kesi Ina muda was kukoma? Hujawahi sikia kesi Zina miaka 20 mahakamani? Na wangehukumiwa haraka simngesema Kuna shinikizo? Wacha wanasheria wajiridhishe watende haki Kama hawajaiba diwaache kutubu kesi ziendeleeHujajibu hoja muhimu hasa kwa nini after 3years prosecutors hawajaweza ku build up case.
Uwe kama great thinker , usiwe kama kigoli alieekezwa kukeketwa.
Siwezi bishana jitu jinga.We msaghano kweli, Nana kakwambia kesi Ina muda was kukoma? Hujawahi sikia kesi Zina miaka 20 mahakamani? Na wangehukumiwa haraka simngesema Kuna shinikizo? Wacha wanasheria wajiridhishe watende haki Kama hawajaiba diwaache kutubu kesi ziendelee
“When a doctor does go wrong he is the first of criminals.” ― Arthur Conan DoyleMkuu hiyo nolle yako nadhani ndiyo itatumika lakini ujue kwamba wakutumia nolle kesho akaja Rais na DPP mwingine wanaweza kutafuta ushahidi dhidi yao na wakiupata wanawaburuza mahakamani tena!
Wanabodi,
Hili ni bandiko la wito na ushauri kwa DPP, Japo ni Ushauri wa Rais Magufuli , Kuwasamehe, Wahujumu Uchumi Watakao Kiri Makosa Yao, Kutubu na Kuahidi Kurudisha, Namuomba DDP, P'se Tumia Nolle Kufuta Kesi Zao, Makubaliano Yawe Siri Ili Wapokelewe na Jamii Kama Watu Wema.
Tanzania inafuata mfumo wa utoaji haki wa nchi za Jumuiya ya Madola ambao kanuni yake ni "Innocent until proven guilty by the court of competent jurisdiction".
Kwa mujibu wa kanuni hii, watuhumiwa wote wa ufisadi, uhujumu uchumi na utakatishaji fedha, they are all innocent until proven guilty, and the burden of proof lies with the prosecution, kwa vile kesi hizi zimechukua muda mrefu bila uchunguzi kukamilika, hadi rais Magufuli ameingia huruma na kuingilia kati kwa kutoa msamaha kwa watuhumiwa wa ufisadi, uhujumu uchumi na utakatishaji fedha, watakao kiri makosa yao, kutubu na kuahidi kurudisha, ili kununua uhuru wao.
Kwa vile rais Magufuli ametoa msamaha huu genuinely kuwaonea huruma wanavyoteseka, hivyo to save the face of incompetence ya prosecution, na lengo la rais Magufuli, licha ya kuguswa na mateso yao, pia amewasamehe ili warudi kuungana na familia zao, na kuendelea na shughuli zao za ujenzi wa taifa.
Hakuomba kukiri huku kusiwafanye kuwa guilty kwa sababu hii pia ni some form ya cohesion and undue influence ya rais kusamehe, na wao kulazimishwa kukiri na kulipa ili kuununua uhuru wao, nakuomba utumie zile power zako za Nolle Prosequi
kuwafutia kesi zao ili huku uraiani tuwapokee kama watu wema, innocent victims na sio kama wahalifu mafisadi, na wahujumu uchumi, waliokiri, hivyo kuendelea na shughuli zao kwa amani kama raia wema.
Hivyo hayo makubaliano yafanywe ni siri kati ya ofisi yako na watuhumiwa, sisi huku mitaani tuwapokee kama raia wema waliopata matatizo ya tuhuma za uhujumu wa uchumi ila wamefutiwa kesi zao na DPP.
Ukimuondoa rais wa JMT kwa kuwa ndio the most powerful man, kwenye uendeshaji wa mashauri ya jinai, DPP ndio the most powerful kumpita hata rais, kama alivyo CAG kwenye kuwasilisha Ripoti ya CAG Bungeni, CAG ana powers zaidi ya rais.
Kwa msiofahamu powers za DPP, tembelea hapa.
DPP atumie madaraka yake kisheria ipasavyo, asisubiri maelekezo ya wanasiasa ili afanye kazi
...kwa hiyo ni bora wateuliwa kama hawa wawe wanapitishwa na chombo/taasisi fulani hivi baada ya kupendekezwa na Rais, na si kuteuliwa tu. Huenda.Tatizo hatujui kama kuna utashi au nia ya kweli kushughulikia mambo fulani fulani.www.jamiiforums.com
Nimalizie kwa kumpongeza rais wetu Magufuli kwa huruma yake kwa Watanzania wanaoteseka magerezan kwa kusubiria kutendewa haki, justice delayed is justice denied.
Paskali
Cape Town
RSA.
Dhuluma na ukatili.Lakini akitumia nolle maana yake shauri hilo linawesa kurudishwa mahakamani pale nia ya ku prosecute inaporudi kwa kweli hiki kitu walichokileta wakina magufuli hakipo duniani
Wakikiri na kuomba msamaha watapata wapi nguvu za kudai fidia kwa kutumia malicious prosecution? Halafu hakuna mahakama iliyowaona kwamba hawana hatia bali wao walikubali ushauri na kuamua kukiri na kuomba msamaha.Kwa wadau wa sharia na haki za binadamu ni wazi sasa kwamba AFTER 3 YEARS hakuna kesi iliyoanza kuskilizwa kikamilifu.
Maana yake ni hii:
Paskali hayo yawekwe maanani anything can happen.
- Hapakuwepo kesi in the first place
- DPP na prosecutors wake hawawezi kazi kwani after three years wameshindwa kuuthitishia mahakama na umma kama kuna kesi ya kujibu(ku buildup case)
- Watu wamewekw ndani kwa mihemuko ya kisiasa
- Hili zoezi la kuwaomba watu wakiri makossa ili wasamehewe halijakaa kisheria sana
- Watuhumiwa wanaweza na ni haki yao kudai Fidia kisheria kwa kuwekwa ndani bila sababu ya kimsingi.
With great respect to your industrial proposition, you are waging war against the position of Law in our jurisdiction, for the simple reasons that:-Wanabodi,
Hili ni bandiko la wito na ushauri kwa DPP, Japo ni Ushauri wa Rais Magufuli , Kuwasamehe, Wahujumu Uchumi Watakao Kiri Makosa Yao, Kutubu na Kuahidi Kurudisha, Namuomba DDP, P'se Tumia Nolle Kufuta Kesi Zao, Makubaliano Yawe Siri Ili Wapokelewe na Jamii Kama Watu Wema.
Tanzania inafuata mfumo wa utoaji haki wa nchi za Jumuiya ya Madola ambao kanuni yake ni "Innocent until proven guilty by the court of competent jurisdiction".
Kwa mujibu wa kanuni hii, watuhumiwa wote wa ufisadi, uhujumu uchumi na utakatishaji fedha, they are all innocent until proven guilty, and the burden of proof lies with the prosecution, kwa vile kesi hizi zimechukua muda mrefu bila uchunguzi kukamilika, hadi rais Magufuli ameingia huruma na kuingilia kati kwa kutoa msamaha kwa watuhumiwa wa ufisadi, uhujumu uchumi na utakatishaji fedha, watakao kiri makosa yao, kutubu na kuahidi kurudisha, ili kununua uhuru wao.
Kwa vile rais Magufuli ametoa msamaha huu genuinely kuwaonea huruma wanavyoteseka, hivyo to save the face of incompetence ya prosecution, na lengo la rais Magufuli, licha ya kuguswa na mateso yao, pia amewasamehe ili warudi kuungana na familia zao, na kuendelea na shughuli zao za ujenzi wa taifa.
Hakuomba kukiri huku kusiwafanye kuwa guilty kwa sababu hii pia ni some form ya cohesion and undue influence ya rais kusamehe, na wao kulazimishwa kukiri na kulipa ili kuununua uhuru wao, nakuomba utumie zile power zako za Nolle Prosequi
kuwafutia kesi zao ili huku uraiani tuwapokee kama watu wema, innocent victims na sio kama wahalifu mafisadi, na wahujumu uchumi, waliokiri, hivyo kuendelea na shughuli zao kwa amani kama raia wema.
Hivyo hayo makubaliano yafanywe ni siri kati ya ofisi yako na watuhumiwa, sisi huku mitaani tuwapokee kama raia wema waliopata matatizo ya tuhuma za uhujumu wa uchumi ila wamefutiwa kesi zao na DPP.
Ukimuondoa rais wa JMT kwa kuwa ndio the most powerful man, kwenye uendeshaji wa mashauri ya jinai, DPP ndio the most powerful kumpita hata rais, kama alivyo CAG kwenye kuwasilisha Ripoti ya CAG Bungeni, CAG ana powers zaidi ya rais.
Kwa msiofahamu powers za DPP, tembelea hapa.
DPP atumie madaraka yake kisheria ipasavyo, asisubiri maelekezo ya wanasiasa ili afanye kazi
...kwa hiyo ni bora wateuliwa kama hawa wawe wanapitishwa na chombo/taasisi fulani hivi baada ya kupendekezwa na Rais, na si kuteuliwa tu. Huenda.Tatizo hatujui kama kuna utashi au nia ya kweli kushughulikia mambo fulani fulani.www.jamiiforums.com
Nimalizie kwa kumpongeza rais wetu Magufuli kwa huruma yake kwa Watanzania wanaoteseka magerezan kwa kusubiria kutendewa haki, justice delayed is justice denied.
Paskali
Cape Town
RSA.
Paskali, you are wrong.Wanabodi,
Hili ni bandiko la wito na ushauri kwa DPP, Japo ni Ushauri wa Rais Magufuli , Kuwasamehe, Wahujumu Uchumi Watakao Kiri Makosa Yao, Kutubu na Kuahidi Kurudisha, Namuomba DDP, P'se Tumia Nolle Kufuta Kesi Zao, Makubaliano Yawe Siri Ili Wapokelewe na Jamii Kama Watu Wema.
Tanzania inafuata mfumo wa utoaji haki wa nchi za Jumuiya ya Madola ambao kanuni yake ni "Innocent until proven guilty by the court of competent jurisdiction".
Kwa mujibu wa kanuni hii, watuhumiwa wote wa ufisadi, uhujumu uchumi na utakatishaji fedha, they are all innocent until proven guilty, and the burden of proof lies with the prosecution, kwa vile kesi hizi zimechukua muda mrefu bila uchunguzi kukamilika, hadi rais Magufuli ameingia huruma na kuingilia kati kwa kutoa msamaha kwa watuhumiwa wa ufisadi, uhujumu uchumi na utakatishaji fedha, watakao kiri makosa yao, kutubu na kuahidi kurudisha, ili kununua uhuru wao.
Kwa vile rais Magufuli ametoa msamaha huu genuinely kuwaonea huruma wanavyoteseka, hivyo to save the face of incompetence ya prosecution, na lengo la rais Magufuli, licha ya kuguswa na mateso yao, pia amewasamehe ili warudi kuungana na familia zao, na kuendelea na shughuli zao za ujenzi wa taifa.
Hakuomba kukiri huku kusiwafanye kuwa guilty kwa sababu hii pia ni some form ya cohesion and undue influence ya rais kusamehe, na wao kulazimishwa kukiri na kulipa ili kuununua uhuru wao, nakuomba utumie zile power zako za Nolle Prosequi
kuwafutia kesi zao ili huku uraiani tuwapokee kama watu wema, innocent victims na sio kama wahalifu mafisadi, na wahujumu uchumi, waliokiri, hivyo kuendelea na shughuli zao kwa amani kama raia wema.
Hivyo hayo makubaliano yafanywe ni siri kati ya ofisi yako na watuhumiwa, sisi huku mitaani tuwapokee kama raia wema waliopata matatizo ya tuhuma za uhujumu wa uchumi ila wamefutiwa kesi zao na DPP.
Ukimuondoa rais wa JMT kwa kuwa ndio the most powerful man, kwenye uendeshaji wa mashauri ya jinai, DPP ndio the most powerful kumpita hata rais, kama alivyo CAG kwenye kuwasilisha Ripoti ya CAG Bungeni, CAG ana powers zaidi ya rais.
Kwa msiofahamu powers za DPP, tembelea hapa.
DPP atumie madaraka yake kisheria ipasavyo, asisubiri maelekezo ya wanasiasa ili afanye kazi
...kwa hiyo ni bora wateuliwa kama hawa wawe wanapitishwa na chombo/taasisi fulani hivi baada ya kupendekezwa na Rais, na si kuteuliwa tu. Huenda.Tatizo hatujui kama kuna utashi au nia ya kweli kushughulikia mambo fulani fulani.www.jamiiforums.com
Nimalizie kwa kumpongeza rais wetu Magufuli kwa huruma yake kwa Watanzania wanaoteseka magerezan kwa kusubiria kutendewa haki, justice delayed is justice denied.
Paskali
Cape Town
RSA.
Pakali,Wanabodi,
Hili ni bandiko la wito na ushauri kwa DPP, Japo ni Ushauri wa Rais Magufuli , Kuwasamehe, Wahujumu Uchumi Watakao Kiri Makosa Yao, Kutubu na Kuahidi Kurudisha, Namuomba DDP, P'se Tumia Nolle Kufuta Kesi Zao, Makubaliano Yawe Siri Ili Wapokelewe na Jamii Kama Watu Wema.
Tanzania inafuata mfumo wa utoaji haki wa nchi za Jumuiya ya Madola ambao kanuni yake ni "Innocent until proven guilty by the court of competent jurisdiction".
Kwa mujibu wa kanuni hii, watuhumiwa wote wa ufisadi, uhujumu uchumi na utakatishaji fedha, they are all innocent until proven guilty, and the burden of proof lies with the prosecution, kwa vile kesi hizi zimechukua muda mrefu bila uchunguzi kukamilika, hadi rais Magufuli ameingia huruma na kuingilia kati kwa kutoa msamaha kwa watuhumiwa wa ufisadi, uhujumu uchumi na utakatishaji fedha, watakao kiri makosa yao, kutubu na kuahidi kurudisha, ili kununua uhuru wao.
Kwa vile rais Magufuli ametoa msamaha huu genuinely kuwaonea huruma wanavyoteseka, hivyo to save the face of incompetence ya prosecution, na lengo la rais Magufuli, licha ya kuguswa na mateso yao, pia amewasamehe ili warudi kuungana na familia zao, na kuendelea na shughuli zao za ujenzi wa taifa.
Hakuomba kukiri huku kusiwafanye kuwa guilty kwa sababu hii pia ni some form ya cohesion and undue influence ya rais kusamehe, na wao kulazimishwa kukiri na kulipa ili kuununua uhuru wao, nakuomba utumie zile power zako za Nolle Prosequi
kuwafutia kesi zao ili huku uraiani tuwapokee kama watu wema, innocent victims na sio kama wahalifu mafisadi, na wahujumu uchumi, waliokiri, hivyo kuendelea na shughuli zao kwa amani kama raia wema.
Hivyo hayo makubaliano yafanywe ni siri kati ya ofisi yako na watuhumiwa, sisi huku mitaani tuwapokee kama raia wema waliopata matatizo ya tuhuma za uhujumu wa uchumi ila wamefutiwa kesi zao na DPP.
Ukimuondoa rais wa JMT kwa kuwa ndio the most powerful man, kwenye uendeshaji wa mashauri ya jinai, DPP ndio the most powerful kumpita hata rais, kama alivyo CAG kwenye kuwasilisha Ripoti ya CAG Bungeni, CAG ana powers zaidi ya rais.
Kwa msiofahamu powers za DPP, tembelea hapa.
DPP atumie madaraka yake kisheria ipasavyo, asisubiri maelekezo ya wanasiasa ili afanye kazi
...kwa hiyo ni bora wateuliwa kama hawa wawe wanapitishwa na chombo/taasisi fulani hivi baada ya kupendekezwa na Rais, na si kuteuliwa tu. Huenda.Tatizo hatujui kama kuna utashi au nia ya kweli kushughulikia mambo fulani fulani.www.jamiiforums.com
Nimalizie kwa kumpongeza rais wetu Magufuli kwa huruma yake kwa Watanzania wanaoteseka magerezan kwa kusubiria kutendewa haki, justice delayed is justice denied.
Paskali
Cape Town
RSA.
Point of correction.Pakali,
Wakati ninatafakari nini cha kusema kwenye hii hoja yako ebu pitia hii kidogo
Prosecutorial Discretion
As an elected or appointed official, the prosecutor is the most powerful official in the criminal justice system. Prosecutors exercise unfettered discretion, deciding who to charge with a crime, what charges to file, when to drop the charges, whether or not to plea bargain, and how to allocate prosecutorial resources. In jurisdictions where the death penalty is in force, the prosecutor literally decides who should live and who should die by virtue of the charging decision.
Criminal justice professors Joseph Senna and Larry Siegel propose the true measure of a prosecutor. In their view, a litmus test for the integrity of a prosecutor is how he or she answers the following question: “When you exercise discretion, are you more concerned with fairness, the likelihood of conviction, or political considerations?”
Prosecutors exercise the most discretion in three areas of decision making: the decision to file charges, the decision to dismiss charges, and plea bargaining.
Charging
Once an arrest is made, a prosecutor screens the case to determine if it should be prosecuted or dropped. The decision to prosecute is based on the following factors:
Dropping charges
- The sufficiency of the evidence linking the suspect to the offense.
- The seriousness of the offense.
- The size of the court's caseload.
- The need to conserve prosecutorial resources for more serious cases.
- The availability of alternatives to formal prosecution.
- The defendant's culpability (moral blameworthiness).
- The defendant's criminal record.
- The defendant's willingness to cooperate with the investigation or prosecution of others.
After a prosecutor files a charge, the prosecutor can reduce the charge in exchange for a guilty plea or enter a nolle prosequi (nol. pros.). A nolle prosequi is a formal statement by a prosecutor declaring that a case is discontinued. Reasons for entering a nol. pros. include:-
- insufficient evidence,
- inadmissible evidence,
- false accusations, and
- the trivial nature of some crimes.
Plea bargaining
Prosecutors also exercise discretion in negotiating pleas with defense counsel. A plea bargain is an agreement in which a prosecutor permits a defendant to plead guilty in exchange for a concession, such as reducing the charges or recommending a lenient sentence. There are advantages of plea bargaining to both the accused and the state. For the accused, it offers the possibilities of a reduced sentence and cheaper legal representation. For the government, it reduces the financial costs of prosecution, improves the efficiency of the courts by having fewer cases go to full trials, and allows the prosecution to devote its resources to the more serious cases.