Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,531
- 8,616
Nimefuatilia sakata la wabunge wa Chadema, na naona chama hicho kimefanya uamuzi wa busara, hasa kwa mamluki kama Antony Komu, David Silinde, na Joseph Selasini hawa walishatamka kwa kinywa kuwa wanahama chama kwa hiyo hakuna maswali.
Kwa busara nadhani ni vema wafikirie upya ombi la Wilfred Rwakatare la kuomba asikilizwe, ukizingatia anastaafu na mchango wake kama Mkuu wa Usalama na historia yake. Na ukizingatia pia chama hicho kimekua naye kwa shida na raha. Basi watimize ombi lake la kuomba asikilizwe kwanza; kuna makosa amefanya kama kutoa ile hotuba lakini kwakuwa anaenda kustaafu, atakuwa na muda wa kutafakari na kuwafaa kwenye baraza la wazee wa chama.
Hivyo basi, barua za kuwafukuza ni vema zikaandikwa kwa hao watatu Silinde, Komu na Selasini. Tena mtu kama Silinde ndio kabisa kaonesha upofu na kuvimbiwa kwa kiwango cha juu.
Natoa ushauri huu kama mzoefu kwenye baraza hili ambako tumeshiriki kushauri vyama vyote bila kuangalia itikadi zetu, iwe CCM au Chadema.
freeman
@jjmnyika
CHADEMA
Kwa busara nadhani ni vema wafikirie upya ombi la Wilfred Rwakatare la kuomba asikilizwe, ukizingatia anastaafu na mchango wake kama Mkuu wa Usalama na historia yake. Na ukizingatia pia chama hicho kimekua naye kwa shida na raha. Basi watimize ombi lake la kuomba asikilizwe kwanza; kuna makosa amefanya kama kutoa ile hotuba lakini kwakuwa anaenda kustaafu, atakuwa na muda wa kutafakari na kuwafaa kwenye baraza la wazee wa chama.
Hivyo basi, barua za kuwafukuza ni vema zikaandikwa kwa hao watatu Silinde, Komu na Selasini. Tena mtu kama Silinde ndio kabisa kaonesha upofu na kuvimbiwa kwa kiwango cha juu.
Natoa ushauri huu kama mzoefu kwenye baraza hili ambako tumeshiriki kushauri vyama vyote bila kuangalia itikadi zetu, iwe CCM au Chadema.
freeman
@jjmnyika
CHADEMA