Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,582
Wanabodi,
Kwanza naomba kuchukua fursa hii kuungana na Wana JF wenzangu kupeana pole kwa kilichomkuta Mkuu Max.
Alipokamatwa nilikwenda kumuona pale central na kuzungumza nae kwa kina.
Kwa sasa niko ziarani kutembelea Central Corridor, next week nitarejea na kuunganisha nguvu zetu kwa pamoja na tusiishie kwenye keyboards tuu, bali tujipapase mifukoni hata ikibidi kupunguza kasma ya matanuzi ya mwisho wa mwaka, na tupunguze tunyooshe mikono kuungana na uongozi wa JF kufanya kila litakalowezekana.
Tangu kukamatwa kwa Max, nimenote concentration kubwa na hasira za wengi ni tendo la kukamatwa na kuzuiliwa, ma deep thinkers hawajikiti sana kwenye tendo la kukamatwa bali kwenye the motive behind kukamatwa kwa Max. Baada ya kuyasikia mashitaka anayotuhumiwa nayo, nimejiridhisha pasi shaka kuwa Max sio target, target ni kui silence JF, and Max is just a means katika kutimiza lengo hilo, hivyo let's be very careful tusiwape sababu.
Hivyo natoa wito kwa wana JF wote, tupunguze hasira na kutoa maneno makali, let's be as calm as we can, pamoja na uchungu wote, pamoja na hasira zote, no matter how bad our situation is, please let us not to loose our temper, if we loose our temper, we can make it worse hadi kuihatarisha JF kufungwa.
What is happening to Max, it's an injury, please let's not add an insult to an injury, tutamponza zaidi Max na you never know...
Kila mwenye akili ameisha jua kinachoendelea, wala simaanishi tunyamaze kimya as if nothing has happened or the government is doing the right thing, no!, ninamaanisha tupunguze hasira na jazba katika kulipigania hili, tuwe watulivu tuiache karma itake it's cause ndio sheria pekee ya haki bin haki duniani, na hakuna binadamu mwenye uwezo wa kuizuia karma, let's keep calm, tuchangie kwa makini na utulivu kwa lugha ya staha, and sit and watch as karma takes its course in taking care of the situation.
Namalizia kwa kusisitiza huu ni wito tuu,
Namalizia kwa kusisitiza, huu ni wito tuu kwa wana JF, dont add an insult to an injury, JF asije akakasirika akaamua kuifunga kabisa JF!, Kuna kits kinaitwa karma kipo, kwa kadri Max anateseka kwa ajili ya JF, hivyo ndivyo JF itakavyo zidi kupaa, kukua, kuongezeka na kuimarika.
Maxi Pole Sana kwa mateso haya, ni kwa kuteswa kwako, sisi tutaponywa na JF itaendelea kusimama juu zaidi, bigger and stronger.
God Bless You,
God Bless JF,
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Rejea kwa wasio jua Karma ni nini, tembelea hapa
https://www.jamiiforums.com/threads...ili-hapa-duniani-unahukumiwa-kwa-matendo-yako.
Na hapa
https://www.jamiiforums.com/threads...i-serikali-haramu-hukumu-ya-karma-ii-juu-yake.
Kwanza naomba kuchukua fursa hii kuungana na Wana JF wenzangu kupeana pole kwa kilichomkuta Mkuu Max.
Alipokamatwa nilikwenda kumuona pale central na kuzungumza nae kwa kina.
Kwa sasa niko ziarani kutembelea Central Corridor, next week nitarejea na kuunganisha nguvu zetu kwa pamoja na tusiishie kwenye keyboards tuu, bali tujipapase mifukoni hata ikibidi kupunguza kasma ya matanuzi ya mwisho wa mwaka, na tupunguze tunyooshe mikono kuungana na uongozi wa JF kufanya kila litakalowezekana.
Tangu kukamatwa kwa Max, nimenote concentration kubwa na hasira za wengi ni tendo la kukamatwa na kuzuiliwa, ma deep thinkers hawajikiti sana kwenye tendo la kukamatwa bali kwenye the motive behind kukamatwa kwa Max. Baada ya kuyasikia mashitaka anayotuhumiwa nayo, nimejiridhisha pasi shaka kuwa Max sio target, target ni kui silence JF, and Max is just a means katika kutimiza lengo hilo, hivyo let's be very careful tusiwape sababu.
Hivyo natoa wito kwa wana JF wote, tupunguze hasira na kutoa maneno makali, let's be as calm as we can, pamoja na uchungu wote, pamoja na hasira zote, no matter how bad our situation is, please let us not to loose our temper, if we loose our temper, we can make it worse hadi kuihatarisha JF kufungwa.
What is happening to Max, it's an injury, please let's not add an insult to an injury, tutamponza zaidi Max na you never know...
Kila mwenye akili ameisha jua kinachoendelea, wala simaanishi tunyamaze kimya as if nothing has happened or the government is doing the right thing, no!, ninamaanisha tupunguze hasira na jazba katika kulipigania hili, tuwe watulivu tuiache karma itake it's cause ndio sheria pekee ya haki bin haki duniani, na hakuna binadamu mwenye uwezo wa kuizuia karma, let's keep calm, tuchangie kwa makini na utulivu kwa lugha ya staha, and sit and watch as karma takes its course in taking care of the situation.
Namalizia kwa kusisitiza huu ni wito tuu,
Namalizia kwa kusisitiza, huu ni wito tuu kwa wana JF, dont add an insult to an injury, JF asije akakasirika akaamua kuifunga kabisa JF!, Kuna kits kinaitwa karma kipo, kwa kadri Max anateseka kwa ajili ya JF, hivyo ndivyo JF itakavyo zidi kupaa, kukua, kuongezeka na kuimarika.
Maxi Pole Sana kwa mateso haya, ni kwa kuteswa kwako, sisi tutaponywa na JF itaendelea kusimama juu zaidi, bigger and stronger.
God Bless You,
God Bless JF,
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Rejea kwa wasio jua Karma ni nini, tembelea hapa
https://www.jamiiforums.com/threads...ili-hapa-duniani-unahukumiwa-kwa-matendo-yako.
Na hapa
https://www.jamiiforums.com/threads...i-serikali-haramu-hukumu-ya-karma-ii-juu-yake.