CHADEMA kuweni na shukrani, punguzeni kulalamika, shukuruni kwa yote. Ile kesi mbaya! Shukuruni mahakama, Mashinji, CCM, Magufuli na Watanzania

Wanabodi,

Hukumu ya Mahakama ya Kisutu dhidi ya viongozi wa Chadema imeibua mengi, yakiwemo mabaya miongoni mwake ni waliofyatua risasi kumuua Aquiline hawakushitakiwa, wajashitakiwa walioandamana huku wameshikana mikono kuonyesha solidarity, wakahukumiwa vifungo vya jela na hapo hapo kupewa option ya kuinunua haki ya uhuru wao kwa fedha TZS milioni 350, hivyo Tanzania ya leo, justice is for sale, ukiwa na fedha inainunua haki yako, unaununua uhuru wako, unaepuka kifungo cha jela, ukiwa ni kapuku mwenzangu na mimi, unaozea Segerea.

Hukumu ile kucheleweshwa na kusomwa jioni baada ya kuisha kwa muda wa saa za kazi ili viongozi hao, angalau waonje jela, na kufanyiwa udhalilishaji wa hali ya juu baada tuu ya kutua gereza la Segerea, wengi wa watu wanaijadili hukumu hiyo kwa ubaya na kuusahau wema.

Wengi wanailaani tuu hukumu ile bila ya kuangazia mema na mazuri ya hukumu ile, kama ilivyo enzi za Masiya, kati ya wale watumishi wake thenashara, kulikuwa na Yuda wawili. Kulikuwa na Yuda Iskariote na Yuda Tadei. Kutokana na usaliti wa Yuda Iskariote, likitajwa tuu jina la Yuda watu wanalihusisha na usaliti, hivyo mazuri yote ya Yuda Tadei, yalifunikwa na mabaya ya Yuda Eskarioti, vivyo hivyo hii kesi ya viongozi wa Chadema ilikuwa ni kesi mbaya, hukumu ile na yatokanayo pia ina mazuri yake yaliyofunikwa na mabaya, hivyo hili ni bandiko la kutoa wito kwa Chadema, wawe na shukrani kwa yote, mazuri na mabaya, kuna majanga mengine yanakuja kama majanga kumbe ni neema, blessing in disguise.

Sisi Wakristu tumefundishwa kuwa na shukrani kwa yote. Hivyo katika kesi na matokeo yake, licha ya mabaya yote yanayopaswa kulaaniniwa, pia kuna makubwa, mazuri ya kuonekanika ambayo Chadema kama ni watu wa shukrani, wanapaswa kushukuru kwa hayo, na ukiwa na shukrani kwa madogo, unabarikiwa kwa kupatiwa makubwa.

Hivyo ndungu zangu wa Chadema, rafiki zangu, jamaa zangu na machalii wangu,
Chadema, kuweni ni watu wa shukrani. Shukuruni kwa yote,
Shukuruni kwa makubwa,
Shukuruni kwa madogo,
Shukurini kwa mema,
Shukuruni kwa mabaya,
Shukuruni hata na kwa mateso mliyoyaoata gerezani kama Paulo na Sila,
Shukurini hata kwa mateso yote vyama vya upinzani wa kweli vinayoyapitia Tanzania, kwa sababu yote ni mapito tuu, maana hata Masiya, ni kwa kupigwa kwake, kwa kuteswa kwake sisi tuliponywa, hivyo inawezekana kabisa kwenu wana Chadema, ni kwa kuteswa kwenu, upinzani utaponywa. Ni kwa kuteswa kwenu Tanzania itaponywa, kuweni na shukrani kwa madogo ili mjaaliwe makubwa.

Ile kesi yenu ni kesi mbaya kwasababu ni kesi ya kubambikizwa. Risasi wafyatue wengine, kuua waue wengine, lakini kushitakiwa washitakiwe wengine, huku ni kubambikiza kesi.

Kesi yoyote ya kubambikizwa lazima inakuwa na nia mbaya hivyo ile kesi ilikuwa ni kesi mbaya!, hivyo Chadema ishukuruni mahakama, mshukuruni Mashinji, ishukuruni CCM kuwasaidia kulipa baadhi ya faini, mshukuruni JPM kuwasaidia kuwalipia baadhi ya watu wenu, na mwisho washukuruni Watanzania waliosimama bega kwa bega na nyinyi tangu mwanzo wa kesi hadi mwisho na kuwaokoa kwa michango yao ya hali na mali, sala, machozi, jasho na damu, semeni asante, shukuruni kwa yote.

Kwa wale wavivu wa kusoma makala ndefu, ishieni hapa, sisi wazama deep tutaendelea, kwanini Chadema iishukuru Mahakama, Mashinji, CCM, JPM na Watanzania...
  1. Chadema wawashukuru Watanzania wote kwa kuungana nao, kuwachangia, hiyo pia imewasaidia kuwapa kipimo cha Chadema inakubalika vipi kwa Watanzania, hivyo what Chadema needs now is getting organised and how to utilise the approval rate they enjoy now to its advantage running up to 2020 general election. Siku zote Chadema imekuwa ikiamimi adui yao mkubwa anayewakosesha kuingia ikulu ni CCM kwa kusaidiwa na vyombo vyake vya dola kuanzia serikali, NEC, polisi, na nguvu za dola, mimi siku zote nawawaambia adui yao mkubwa anayewakosesha kuingia ikulu, sio wale wapiga kura milioni 6 wa CCM na zile kura milioni 2 za NEC, adui mkubwa wa Chadema ni wale wapiga kura milioni 20 ambao hawajajiandikisha, na wale milioni 12 waliojiandikisha lakini hawakujitokeza kupiga kura. Hivyo sasa Chadema should invest in people, mass mobilization na sio kila siku kutwa kucha kulalamika tuu inaonewa na CCM.
  2. Chadema iwashukuru Maalim Seif, Mbatia, Zitto na wapinzani wengine waliosimama nao na kuwaunga mkono, kesi hii na hukumu hii japo ilidhamiriwa kuleta majanga kwa Chadema, imekuwa the other way round, it's a blessing in disguise kwa kutengeneza solidarity mpya kuireplace UKAWA, Chadema ikubali kushirikiana kuunda umoja wenye nguvu, Chadema yenyewe peke yake haiwezi, they have to sort out their differences and work together agains a common enemey kwa kuutumia uzoefu wa UKAWA 2015 kutorudia makosa kwa wapinzani kupigana vita vya panzi kugombea majimbo huku kunguru amesimama pembeni mwisho wa siku walimfaidisha kunguru.
  3. Chadema iishukuru sana hii kesi, na hii hukumu, imeweza kuwapa picha ya nani ni nani, ndani ya Chadema, sasa angalau wanajua ndani ya msafara wao wa mamba nani ni ma kenge wanaosubiri tuu Bunge livunjwe, wakaripoti upande wapili.
  4. Last but not least, Chadema waushukuru huu mtandao wa Jamiiforums na mitandao mingine and never to underestimate the powers of social media, hivyo wanapaswa kutushukuru hata watu kama sisi ambao we don't spare the rod and spoil the child kwa kutembezea kichapo bila huruma, ushauri kama huuungetoka kwa consultant wangelipa fedha nyingi, Chadema isiwachukie watu kama sisi tunao ikosoa, unaweza kukuta sisi tunao ikosoa Chadema humu mitandaoni, tunaisaidia kuliko wale wanao isifu.
Hitimisho.
Chadema inapokesea usiojisikie wazito kuomba samahani, mnapokumbana na jambo lolote liwe zuri au baya, shukuruni tuu Mungu kwa yote na semeni asante kwa kila kitu. Mtu akikupiga shavu la kushoto, mgeuzie na la kuume, mtu akikunyanganya kofia yako au koti, mvulie na kanzu yako, mnayetende hayo yote ili anayewapigania msiwe ni nyinyi ndio mnaojipigania, bali myaweze yote katika YEYE.

Nawatakia Jumamosi Njema,
Kwa wale Wakiristu, kesho nendeni Kanisani mkatoe shukrani zenu kwa Mungu aliyewezesha haya yote.

Paskali
Hili la Mashinji limewaweka pagumu sana watesi wa Cdm,na limechangia kupunguza majanga Cdm,ukichangnya na Msigwa tumeokoa milioni kama 80 hivi
 
Pascal Mayalla, post: 34656402, member: 17813"]
Hukumu ya Mahakama ya Kisutu dhidi ya viongozi wa Chadema imeibua mengi, yakiwemo mabaya miongoni mwake ni waliofyatua risasi kumuua Aquiline hawakushitakiwa, wajashitakiwa walioandamana huku wameshikana mikono kuonyesha solidarity, wakahukumiwa vifungo vya jela na hapo hapo kupewa option ya kuinunua haki ya uhuru wao kwa fedha TZS milioni 350, hivyo Tanzania ya leo, justice is for sale, ukiwa na fedha inainunua haki yako, unaununua uhuru wako, unaepuka kifungo cha jela, ukiwa ni kapuku mwenzangu na mimi, unaozea Segerea.
Tunathamini pesa kuliko UTU wetu na Sheria.
Utu wetu ni kutenda na kutendewa haki. Sheria zetu zipo katika kusimamia utu wetu. Tumechagua dinari
Hukumu ile kucheleweshwa na kusomwa jioni baada ya kuisha kwa muda wa saa za kazi ili viongozi hao, angalau waonje jela, na kufanyiwa udhalilishaji wa hali ya juu baada tuu ya kutua gereza la Segerea, wengi wa watu wanaijadili hukumu hiyo kwa ubaya na kuusahau wema.
Kielelezo cha kupotea kwa nguvu za mhimili wa sheria (Mahakama).
Kuna kila shaka, ima mahakama imeguezwa tawi la chama , au haijiwezi kama taasisi chini ya yule mzee uliyetuaminisha GPA yake ni ya kipekee. Wananchi wanapopoteza imani na utaoaji wa haki, ni hatari kubwa sana katika jamii.
Ile kesi yenu ni kesi mbaya kwasababu ni kesi ya kubambikizwa.
Risasi wafyatue wengine, kuua waue wengine, lakini kushitakiwa washitakiwe wengine, huku ni kubambikiza kesi.
Kesi yoyote ya kubambikizwa lazima inakuwa na nia mbaya hivyo ile kesi ilikuwa ni kesi mbaya!,
Hapa ndipo dunia inapoona udhaifu wa taasisi zetu.

Polisi, DPP na Mahakama wanaungana na Lumumba katika kusigina sheria.
Kwa hili dunia inatuona na tunadhalilika sana.

Kesi ilijulikana na Hakimu alijua hukumu ikiwa ni faini au kifungo. Kesi iliyochukua miezi na miezi isingekuwa na tatizo kusikilizwa kwa muda kwa kuzingatia haki za watuhumiwa.

Mahakama ikaamua kusaidia ''kuwaadhibu'' wahusika kwanza kisheria, pili kiukada na maagizo kutoka sijui ni juu, pembeni au ndani. Imetumika no doubt about that . Hili limedhalilisha sana mhimili huo na sijui CJ kama takwepa lawama

Rai yangu ni kwa CJ, nadhani ni wakati ajiuzulu. Mhimili wa mahakama umepoteza maana yake.

Tangu uhuru tumekuwa na CJ wengi tu, mhimili wa mahakama haukuwa kama ulivyo. Umeingiliwa na kuingilika.
Mahakama zetu zinatumika kama ''fimbo'' ya kutoa sheria. CJ anasikika akilalama kama sisi
 
Wanabodi,

Hukumu ya Mahakama ya Kisutu dhidi ya viongozi wa Chadema imeibua mengi, yakiwemo mabaya miongoni mwake ni waliofyatua risasi kumuua Aquiline hawakushitakiwa, wajashitakiwa walioandamana huku wameshikana mikono kuonyesha solidarity, wakahukumiwa vifungo vya jela na hapo hapo kupewa option ya kuinunua haki ya uhuru wao kwa fedha TZS milioni 350, hivyo Tanzania ya leo, justice is for sale, ukiwa na fedha inainunua haki yako, unaununua uhuru wako, unaepuka kifungo cha jela, ukiwa ni kapuku mwenzangu na mimi, unaozea Segerea.

Hukumu ile kucheleweshwa na kusomwa jioni baada ya kuisha kwa muda wa saa za kazi ili viongozi hao, angalau waonje jela, na kufanyiwa udhalilishaji wa hali ya juu baada tuu ya kutua gereza la Segerea, wengi wa watu wanaijadili hukumu hiyo kwa ubaya na kuusahau wema.

Wengi wanailaani tuu hukumu ile bila ya kuangazia mema na mazuri ya hukumu ile, kama ilivyo enzi za Masiya, kati ya wale watumishi wake thenashara, kulikuwa na Yuda wawili. Kulikuwa na Yuda Iskariote na Yuda Tadei. Kutokana na usaliti wa Yuda Iskariote, likitajwa tuu jina la Yuda watu wanalihusisha na usaliti, hivyo mazuri yote ya Yuda Tadei, yalifunikwa na mabaya ya Yuda Eskarioti, vivyo hivyo hii kesi ya viongozi wa Chadema ilikuwa ni kesi mbaya, hukumu ile na yatokanayo pia ina mazuri yake yaliyofunikwa na mabaya, hivyo hili ni bandiko la kutoa wito kwa Chadema, wawe na shukrani kwa yote, mazuri na mabaya, kuna majanga mengine yanakuja kama majanga kumbe ni neema, blessing in disguise.

Sisi Wakristu tumefundishwa kuwa na shukrani kwa yote. Hivyo katika kesi na matokeo yake, licha ya mabaya yote yanayopaswa kulaaniniwa, pia kuna makubwa, mazuri ya kuonekanika ambayo Chadema kama ni watu wa shukrani, wanapaswa kushukuru kwa hayo, na ukiwa na shukrani kwa madogo, unabarikiwa kwa kupatiwa makubwa.

Hivyo ndungu zangu wa Chadema, rafiki zangu, jamaa zangu na machalii wangu,
Chadema, kuweni ni watu wa shukrani. Shukuruni kwa yote,
Shukuruni kwa makubwa,
Shukuruni kwa madogo,
Shukurini kwa mema,
Shukuruni kwa mabaya,
Shukuruni hata na kwa mateso mliyoyaoata gerezani kama Paulo na Sila,
Shukurini hata kwa mateso yote vyama vya upinzani wa kweli vinayoyapitia Tanzania, kwa sababu yote ni mapito tuu, maana hata Masiya, ni kwa kupigwa kwake, kwa kuteswa kwake sisi tuliponywa, hivyo inawezekana kabisa kwenu wana Chadema, ni kwa kuteswa kwenu, upinzani utaponywa. Ni kwa kuteswa kwenu Tanzania itaponywa, kuweni na shukrani kwa madogo ili mjaaliwe makubwa.

Ile kesi yenu ni kesi mbaya kwasababu ni kesi ya kubambikizwa. Risasi wafyatue wengine, kuua waue wengine, lakini kushitakiwa washitakiwe wengine, huku ni kubambikiza kesi.

Kesi yoyote ya kubambikizwa lazima inakuwa na nia mbaya hivyo ile kesi ilikuwa ni kesi mbaya!, hivyo Chadema ishukuruni mahakama, mshukuruni Mashinji, ishukuruni CCM kuwasaidia kulipa baadhi ya faini, mshukuruni JPM kuwasaidia kuwalipia baadhi ya watu wenu, na mwisho washukuruni Watanzania waliosimama bega kwa bega na nyinyi tangu mwanzo wa kesi hadi mwisho na kuwaokoa kwa michango yao ya hali na mali, sala, machozi, jasho na damu, semeni asante, shukuruni kwa yote.

Kwa wale wavivu wa kusoma makala ndefu, ishieni hapa, sisi wazama deep tutaendelea, kwanini Chadema iishukuru Mahakama, Mashinji, CCM, JPM na Watanzania...
  1. Chadema wawashukuru Watanzania wote kwa kuungana nao, kuwachangia, hiyo pia imewasaidia kuwapa kipimo cha Chadema inakubalika vipi kwa Watanzania, hivyo what Chadema needs now is getting organised and how to utilise the approval rate they enjoy now to its advantage running up to 2020 general election. Siku zote Chadema imekuwa ikiamimi adui yao mkubwa anayewakosesha kuingia ikulu ni CCM kwa kusaidiwa na vyombo vyake vya dola kuanzia serikali, NEC, polisi, na nguvu za dola, mimi siku zote nawawaambia adui yao mkubwa anayewakosesha kuingia ikulu, sio wale wapiga kura milioni 6 wa CCM na zile kura milioni 2 za NEC, adui mkubwa wa Chadema ni wale wapiga kura milioni 20 ambao hawajajiandikisha, na wale milioni 12 waliojiandikisha lakini hawakujitokeza kupiga kura. Hivyo sasa Chadema should invest in people, mass mobilization na sio kila siku kutwa kucha kulalamika tuu inaonewa na CCM.
  2. Chadema iwashukuru Maalim Seif, Mbatia, Zitto na wapinzani wengine waliosimama nao na kuwaunga mkono, kesi hii na hukumu hii japo ilidhamiriwa kuleta majanga kwa Chadema, imekuwa the other way round, it's a blessing in disguise kwa kutengeneza solidarity mpya kuireplace UKAWA, Chadema ikubali kushirikiana kuunda umoja wenye nguvu, Chadema yenyewe peke yake haiwezi, they have to sort out their differences and work together agains a common enemey kwa kuutumia uzoefu wa UKAWA 2015 kutorudia makosa kwa wapinzani kupigana vita vya panzi kugombea majimbo huku kunguru amesimama pembeni mwisho wa siku walimfaidisha kunguru.
  3. Chadema iishukuru sana hii kesi, na hii hukumu, imeweza kuwapa picha ya nani ni nani, ndani ya Chadema, sasa angalau wanajua ndani ya msafara wao wa mamba nani ni ma kenge wanaosubiri tuu Bunge livunjwe, wakaripoti upande wapili.
  4. Last but not least, Chadema waushukuru huu mtandao wa Jamiiforums na mitandao mingine and never to underestimate the powers of social media, hivyo wanapaswa kutushukuru hata watu kama sisi ambao we don't spare the rod and spoil the child kwa kutembezea kichapo bila huruma, ushauri kama huuungetoka kwa consultant wangelipa fedha nyingi, Chadema isiwachukie watu kama sisi tunao ikosoa, unaweza kukuta sisi tunao ikosoa Chadema humu mitandaoni, tunaisaidia kuliko wale wanao isifu.
Hitimisho.
Chadema inapokesea usiojisikie wazito kuomba samahani, mnapokumbana na jambo lolote liwe zuri au baya, shukuruni tuu Mungu kwa yote na semeni asante kwa kila kitu. Mtu akikupiga shavu la kushoto, mgeuzie na la kuume, mtu akikunyanganya kofia yako au koti, mvulie na kanzu yako, mnayetende hayo yote ili anayewapigania msiwe ni nyinyi ndio mnaojipigania, bali myaweze yote katika YEYE.

Nawatakia Jumamosi Njema,
Kwa wale Wakiristu, kesho nendeni Kanisani mkatoe shukrani zenu kwa Mungu aliyewezesha haya yote.

Paskali
Nimekuelewa kiongozi. ..
 
Pascal Mayalla

Soma hapa, Hakimu ameacha kazi ya kuhoji Aqulina aliuawa vipi na nani yupo bize kufafanua nani kamlipia Msigwa

Mahakama yamaliza utata Mchungaji Msigwa kulipiwa faini na

Chief Justice , tendea haki jamii na Taifa! Jiuzulu maana mhimili unazidi kupoteza maana.

CJ ajiuzulu! Mahakama imegeuka kijiwe cha siasa, tawi la chama

Tangu Uhuru, Mahakama haijafikia kiwango cha leo. CJ tafadhali litendee Taifa haki, jiuzulu

Hakimu anatoa ufafanunuzi wa siasa za vyama! Hii ni aibu kwa Mahakama chini ya CJ

Watanzania, tatizo si CCM, wao wanapata wanachotaka.

Tatizo ni CJ, mhimili wa kutoa haki unegezwa kuwa kijiwe cha ushabiki wa kisiasa akitazama bila neno

Mahakimu wakiwa wasemaji hatuhui ni wa chama au serikali, CJ pengine anajua .

CJ ni aibu , Jiuzulu . Litendee haki Taifa. Haya yanayotokea ni aibu unayobeba!

Jiuzulu CJ , lipe Taifa nafasi ya kupona
 
jd41,
Miaka kadhaa nyuma Kuna jamaa yangu alikuwa na kesi ya mauaji. Kiuhalisia HAKUUA lakini ushahidi wote ulikuwa unapoint kwake kuwa yeye ndiye muuaji. Ilibidi mwanasheria wake apambane kweli kweli kuitoa kesi kwenye murder hadi manslaughter

Jamaa alishukuru sana
Sijazumgumzia upande wa mwanasheria wa CDM, nimezungumzia upande wa DPP.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Hukumu ya Mahakama ya Kisutu dhidi ya viongozi wa Chadema imeibua mengi, yakiwemo mabaya miongoni mwake ni waliofyatua risasi kumuua Aquiline hawakushitakiwa, wajashitakiwa walioandamana huku wameshikana mikono kuonyesha solidarity, wakahukumiwa vifungo vya jela na hapo hapo kupewa option ya kuinunua haki ya uhuru wao kwa fedha TZS milioni 350, hivyo Tanzania ya leo, justice is for sale, ukiwa na fedha inainunua haki yako, unaununua uhuru wako, unaepuka kifungo cha jela, ukiwa ni kapuku mwenzangu na mimi, unaozea Segerea.

Hukumu ile kucheleweshwa na kusomwa jioni baada ya kuisha kwa muda wa saa za kazi ili viongozi hao, angalau waonje jela, na kufanyiwa udhalilishaji wa hali ya juu baada tuu ya kutua gereza la Segerea, wengi wa watu wanaijadili hukumu hiyo kwa ubaya na kuusahau wema.

Wengi wanailaani tuu hukumu ile bila ya kuangazia mema na mazuri ya hukumu ile, kama ilivyo enzi za Masiya, kati ya wale watumishi wake thenashara, kulikuwa na Yuda wawili. Kulikuwa na Yuda Iskariote na Yuda Tadei. Kutokana na usaliti wa Yuda Iskariote, likitajwa tuu jina la Yuda watu wanalihusisha na usaliti, hivyo mazuri yote ya Yuda Tadei, yalifunikwa na mabaya ya Yuda Eskarioti, vivyo hivyo hii kesi ya viongozi wa Chadema ilikuwa ni kesi mbaya, hukumu ile na yatokanayo pia ina mazuri yake yaliyofunikwa na mabaya, hivyo hili ni bandiko la kutoa wito kwa Chadema, wawe na shukrani kwa yote, mazuri na mabaya, kuna majanga mengine yanakuja kama majanga kumbe ni neema, blessing in disguise.

Sisi Wakristu tumefundishwa kuwa na shukrani kwa yote. Hivyo katika kesi na matokeo yake, licha ya mabaya yote yanayopaswa kulaaniniwa, pia kuna makubwa, mazuri ya kuonekanika ambayo Chadema kama ni watu wa shukrani, wanapaswa kushukuru kwa hayo, na ukiwa na shukrani kwa madogo, unabarikiwa kwa kupatiwa makubwa.

Hivyo ndungu zangu wa Chadema, rafiki zangu, jamaa zangu na machalii wangu,
Chadema, kuweni ni watu wa shukrani. Shukuruni kwa yote,
Shukuruni kwa makubwa,
Shukuruni kwa madogo,
Shukurini kwa mema,
Shukuruni kwa mabaya,
Shukuruni hata na kwa mateso mliyoyaoata gerezani kama Paulo na Sila,
Shukurini hata kwa mateso yote vyama vya upinzani wa kweli vinayoyapitia Tanzania, kwa sababu yote ni mapito tuu, maana hata Masiya, ni kwa kupigwa kwake, kwa kuteswa kwake sisi tuliponywa, hivyo inawezekana kabisa kwenu wana Chadema, ni kwa kuteswa kwenu, upinzani utaponywa. Ni kwa kuteswa kwenu Tanzania itaponywa, kuweni na shukrani kwa madogo ili mjaaliwe makubwa.

Ile kesi yenu ni kesi mbaya kwasababu ni kesi ya kubambikizwa. Risasi wafyatue wengine, kuua waue wengine, lakini kushitakiwa washitakiwe wengine, huku ni kubambikiza kesi.

Kesi yoyote ya kubambikizwa lazima inakuwa na nia mbaya hivyo ile kesi ilikuwa ni kesi mbaya!, hivyo Chadema ishukuruni mahakama, mshukuruni Mashinji, ishukuruni CCM kuwasaidia kulipa baadhi ya faini, mshukuruni JPM kuwasaidia kuwalipia baadhi ya watu wenu, na mwisho washukuruni Watanzania waliosimama bega kwa bega na nyinyi tangu mwanzo wa kesi hadi mwisho na kuwaokoa kwa michango yao ya hali na mali, sala, machozi, jasho na damu, semeni asante, shukuruni kwa yote.

Kwa wale wavivu wa kusoma makala ndefu, ishieni hapa, sisi wazama deep tutaendelea, kwanini Chadema iishukuru Mahakama, Mashinji, CCM, JPM na Watanzania...
  1. Chadema wawashukuru Watanzania wote kwa kuungana nao, kuwachangia, hiyo pia imewasaidia kuwapa kipimo cha Chadema inakubalika vipi kwa Watanzania, hivyo what Chadema needs now is getting organised and how to utilise the approval rate they enjoy now to its advantage running up to 2020 general election. Siku zote Chadema imekuwa ikiamimi adui yao mkubwa anayewakosesha kuingia ikulu ni CCM kwa kusaidiwa na vyombo vyake vya dola kuanzia serikali, NEC, polisi, na nguvu za dola, mimi siku zote nawawaambia adui yao mkubwa anayewakosesha kuingia ikulu, sio wale wapiga kura milioni 6 wa CCM na zile kura milioni 2 za NEC, adui mkubwa wa Chadema ni wale wapiga kura milioni 20 ambao hawajajiandikisha, na wale milioni 12 waliojiandikisha lakini hawakujitokeza kupiga kura. Hivyo sasa Chadema should invest in people, mass mobilization na sio kila siku kutwa kucha kulalamika tuu inaonewa na CCM.
  2. Chadema iwashukuru Maalim Seif, Mbatia, Zitto na wapinzani wengine waliosimama nao na kuwaunga mkono, kesi hii na hukumu hii japo ilidhamiriwa kuleta majanga kwa Chadema, imekuwa the other way round, it's a blessing in disguise kwa kutengeneza solidarity mpya kuireplace UKAWA, Chadema ikubali kushirikiana kuunda umoja wenye nguvu, Chadema yenyewe peke yake haiwezi, they have to sort out their differences and work together agains a common enemey kwa kuutumia uzoefu wa UKAWA 2015 kutorudia makosa kwa wapinzani kupigana vita vya panzi kugombea majimbo huku kunguru amesimama pembeni mwisho wa siku walimfaidisha kunguru.
  3. Chadema iishukuru sana hii kesi, na hii hukumu, imeweza kuwapa picha ya nani ni nani, ndani ya Chadema, sasa angalau wanajua ndani ya msafara wao wa mamba nani ni ma kenge wanaosubiri tuu Bunge livunjwe, wakaripoti upande wapili.
  4. Last but not least, Chadema waushukuru huu mtandao wa Jamiiforums na mitandao mingine and never to underestimate the powers of social media, hivyo wanapaswa kutushukuru hata watu kama sisi ambao we don't spare the rod and spoil the child kwa kutembezea kichapo bila huruma, ushauri kama huuungetoka kwa consultant wangelipa fedha nyingi, Chadema isiwachukie watu kama sisi tunao ikosoa, unaweza kukuta sisi tunao ikosoa Chadema humu mitandaoni, tunaisaidia kuliko wale wanao isifu.
Hitimisho.
Chadema inapokesea usiojisikie wazito kuomba samahani, mnapokumbana na jambo lolote liwe zuri au baya, shukuruni tuu Mungu kwa yote na semeni asante kwa kila kitu. Mtu akikupiga shavu la kushoto, mgeuzie na la kuume, mtu akikunyanganya kofia yako au koti, mvulie na kanzu yako, mnayetende hayo yote ili anayewapigania msiwe ni nyinyi ndio mnaojipigania, bali myaweze yote katika YEYE.

Nawatakia Jumamosi Njema,
Kwa wale Wakiristu, kesho nendeni Kanisani mkatoe shukrani zenu kwa Mungu aliyewezesha haya yote.

Paskali
Hivi Paskali jaribu tu kufikiria kidogo kwamba Haka ka-utamaduni cha silika ya ukatili wa vyonbo vya dola kametoka wapi na kapo kwa misingi ua utendaji wake? Hicho tu kutoka kwangu.
 
Washukuru kwa yote kwasababu walichangiwa kulipa faini wakatoka, je wangefungwa ungekuja na huu uzi?!

Au ungesema pia japo ile kesi ya kubambikiwa ilikuwa mbaya, lakini kifungo cha miezi mitano ni michache sana!.

Ushahidi wa Mashinji ungekuwa vipi strong wakati umeshakiri kesi ilikuwa ya kubambikia? kwamba Mashinji angeongea nini cha kuwabana viongozi wa Chadema waonekane na hatia wakati kesi ilikuwa ya uongo?

DDP hakukosea kumuacha Mashinji, usipotoshe, timing ya Mashinji kuunga mkono juhudi ndiyo iliyowabana, walimnunua Mashinji bila kukumbuka ana kesi mahakamani na ilikuwa imebaki kusikiliza hukumu tu, hivyo hapo wakulaumiwa ni CCM kwa uzembe wao, walitakiwa kujua hayo yote toka mwanzo, naona unalazimisha kutengeneza vitu ambavyo havipo.

Ningekuwa wewe ningelaani tabia ya kubambikia watu kesi kwa sababu inawapotezea muda na rasilimali zao, kwenda mahakamani kwa kitu chakutengeneza, wanaumizwa kwenye hukumu kulipa mapesa mengi kwa kitu hewa, badala ya kulazimisha kuwa neutral kwenye jambo lisilohitaji kuwa neutral.

Hata Mungu hapendi vuguvugu; bora uwe moto au baridi.



Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi kiongozi
 
Wanabodi,

Hukumu ya Mahakama ya Kisutu dhidi ya viongozi wa Chadema imeibua mengi, yakiwemo mabaya miongoni mwake ni waliofyatua risasi kumuua Aquiline hawakushitakiwa, wajashitakiwa walioandamana huku wameshikana mikono kuonyesha solidarity, wakahukumiwa vifungo vya jela na hapo hapo kupewa option ya kuinunua haki ya uhuru wao kwa fedha TZS milioni 350, hivyo Tanzania ya leo, justice is for sale, ukiwa na fedha inainunua haki yako, unaununua uhuru wako, unaepuka kifungo cha jela, ukiwa ni kapuku mwenzangu na mimi, unaozea Segerea.

Hukumu ile kucheleweshwa na kusomwa jioni baada ya kuisha kwa muda wa saa za kazi ili viongozi hao, angalau waonje jela, na kufanyiwa udhalilishaji wa hali ya juu baada tuu ya kutua gereza la Segerea, wengi wa watu wanaijadili hukumu hiyo kwa ubaya na kuusahau wema.

Wengi wanailaani tuu hukumu ile bila ya kuangazia mema na mazuri ya hukumu ile, kama ilivyo enzi za Masiya, kati ya wale watumishi wake thenashara, kulikuwa na Yuda wawili. Kulikuwa na Yuda Iskariote na Yuda Tadei. Kutokana na usaliti wa Yuda Iskariote, likitajwa tuu jina la Yuda watu wanalihusisha na usaliti, hivyo mazuri yote ya Yuda Tadei, yalifunikwa na mabaya ya Yuda Eskarioti, vivyo hivyo hii kesi ya viongozi wa Chadema ilikuwa ni kesi mbaya, hukumu ile na yatokanayo pia ina mazuri yake yaliyofunikwa na mabaya, hivyo hili ni bandiko la kutoa wito kwa Chadema, wawe na shukrani kwa yote, mazuri na mabaya, kuna majanga mengine yanakuja kama majanga kumbe ni neema, blessing in disguise.

Sisi Wakristu tumefundishwa kuwa na shukrani kwa yote. Hivyo katika kesi na matokeo yake, licha ya mabaya yote yanayopaswa kulaaniniwa, pia kuna makubwa, mazuri ya kuonekanika ambayo Chadema kama ni watu wa shukrani, wanapaswa kushukuru kwa hayo, na ukiwa na shukrani kwa madogo, unabarikiwa kwa kupatiwa makubwa.

Hivyo ndungu zangu wa Chadema, rafiki zangu, jamaa zangu na machalii wangu,
Chadema, kuweni ni watu wa shukrani. Shukuruni kwa yote,
Shukuruni kwa makubwa,
Shukuruni kwa madogo,
Shukurini kwa mema,
Shukuruni kwa mabaya,
Shukuruni hata na kwa mateso mliyoyaoata gerezani kama Paulo na Sila,
Shukurini hata kwa mateso yote vyama vya upinzani wa kweli vinayoyapitia Tanzania, kwa sababu yote ni mapito tuu, maana hata Masiya, ni kwa kupigwa kwake, kwa kuteswa kwake sisi tuliponywa, hivyo inawezekana kabisa kwenu wana Chadema, ni kwa kuteswa kwenu, upinzani utaponywa. Ni kwa kuteswa kwenu Tanzania itaponywa, kuweni na shukrani kwa madogo ili mjaaliwe makubwa.

Ile kesi yenu ni kesi mbaya kwasababu ni kesi ya kubambikizwa. Risasi wafyatue wengine, kuua waue wengine, lakini kushitakiwa washitakiwe wengine, huku ni kubambikiza kesi.

Kesi yoyote ya kubambikizwa lazima inakuwa na nia mbaya hivyo ile kesi ilikuwa ni kesi mbaya!, hivyo Chadema ishukuruni mahakama, mshukuruni Mashinji, ishukuruni CCM kuwasaidia kulipa baadhi ya faini, mshukuruni JPM kuwasaidia kuwalipia baadhi ya watu wenu, na mwisho washukuruni Watanzania waliosimama bega kwa bega na nyinyi tangu mwanzo wa kesi hadi mwisho na kuwaokoa kwa michango yao ya hali na mali, sala, machozi, jasho na damu, semeni asante, shukuruni kwa yote.

Kwa wale wavivu wa kusoma makala ndefu, ishieni hapa, sisi wazama deep tutaendelea, kwanini Chadema iishukuru Mahakama, Mashinji, CCM, JPM na Watanzania...
  1. Chadema wawashukuru Watanzania wote kwa kuungana nao, kuwachangia, hiyo pia imewasaidia kuwapa kipimo cha Chadema inakubalika vipi kwa Watanzania, hivyo what Chadema needs now is getting organised and how to utilise the approval rate they enjoy now to its advantage running up to 2020 general election. Siku zote Chadema imekuwa ikiamimi adui yao mkubwa anayewakosesha kuingia ikulu ni CCM kwa kusaidiwa na vyombo vyake vya dola kuanzia serikali, NEC, polisi, na nguvu za dola, mimi siku zote nawawaambia adui yao mkubwa anayewakosesha kuingia ikulu, sio wale wapiga kura milioni 6 wa CCM na zile kura milioni 2 za NEC, adui mkubwa wa Chadema ni wale wapiga kura milioni 20 ambao hawajajiandikisha, na wale milioni 12 waliojiandikisha lakini hawakujitokeza kupiga kura. Hivyo sasa Chadema should invest in people, mass mobilization na sio kila siku kutwa kucha kulalamika tuu inaonewa na CCM.
  2. Chadema iwashukuru Maalim Seif, Mbatia, Zitto na wapinzani wengine waliosimama nao na kuwaunga mkono, kesi hii na hukumu hii japo ilidhamiriwa kuleta majanga kwa Chadema, imekuwa the other way round, it's a blessing in disguise kwa kutengeneza solidarity mpya kuireplace UKAWA, Chadema ikubali kushirikiana kuunda umoja wenye nguvu, Chadema yenyewe peke yake haiwezi, they have to sort out their differences and work together agains a common enemey kwa kuutumia uzoefu wa UKAWA 2015 kutorudia makosa kwa wapinzani kupigana vita vya panzi kugombea majimbo huku kunguru amesimama pembeni mwisho wa siku walimfaidisha kunguru.
  3. Chadema iishukuru sana hii kesi, na hii hukumu, imeweza kuwapa picha ya nani ni nani, ndani ya Chadema, sasa angalau wanajua ndani ya msafara wao wa mamba nani ni ma kenge wanaosubiri tuu Bunge livunjwe, wakaripoti upande wapili.
  4. Last but not least, Chadema waushukuru huu mtandao wa Jamiiforums na mitandao mingine and never to underestimate the powers of social media, hivyo wanapaswa kutushukuru hata watu kama sisi ambao we don't spare the rod and spoil the child kwa kutembezea kichapo bila huruma, ushauri kama huuungetoka kwa consultant wangelipa fedha nyingi, Chadema isiwachukie watu kama sisi tunao ikosoa, unaweza kukuta sisi tunao ikosoa Chadema humu mitandaoni, tunaisaidia kuliko wale wanao isifu.
Hitimisho.
Chadema inapokesea usiojisikie wazito kuomba samahani, mnapokumbana na jambo lolote liwe zuri au baya, shukuruni tuu Mungu kwa yote na semeni asante kwa kila kitu. Mtu akikupiga shavu la kushoto, mgeuzie na la kuume, mtu akikunyanganya kofia yako au koti, mvulie na kanzu yako, mnayetende hayo yote ili anayewapigania msiwe ni nyinyi ndio mnaojipigania, bali myaweze yote katika YEYE.

Nawatakia Jumamosi Njema,
Kwa wale Wakiristu, kesho nendeni Kanisani mkatoe shukrani zenu kwa Mungu aliyewezesha haya yote.

Paskali
Asante sana Paschal Mayala kwa Makala yako ndefu, inayofikirisha na ambayo inahitaji uzamifu wa fikra kwa baadhi kuielewa.
Nakubaliana nawe unaposema CHADEMA wanapaswa kushukuru. Ni kweli wanapaswa kumshukuru Mungu kwa yaliyotokea. Watesi wao walikuwa na ajenda mbaya sana iliyowageukia wenyewe!
Kwa kifupi matukio kabla na baada ya Hukumu yameijenga CHADEMA zaidi kuliko kuibomoa!
Nilikuwa katika maeneo ambayo mtandao ni wa kupiga na kupokea simu tu, sikuweza kujua hatima ya kesi ile ingawa nilijua kwa mwenendo wa Serikali hii wangefungwa. Nilishtuliwa na watu wa kawaida mno kwa Mama lishe, vinyozi, wauza matunda na kahawa waliokuwa wakihangaika kusaidiwa namna ya kutuma hela za faini kuwalipia viongozi waliohukumiwa kufungwa 'kwa uonezi' huku wakiilaani Serikali kwa 'unyama' ule! Niliwasaidia, kisha nwenyewe nilituma nilichomudu!
Nilikaribia kububujikwa na machozi kumwona kijana Mchungaji wa mifugo ya jirani akituma buku ambalo ndiyo posho anayopewa kila siku mbali na kijimshahara chake cha mwezi cha laki moja!
Kwa kifupi kuuua Upinzani ni ndoto isiyowezekana, ni uendawazimu!
Upinzani umoja mioyoni, si katika bendera wala Ofisi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Criminal Case No.208/2016 iliyokuwa ikimkabili Tundu Lissu na wenzake watatu katika Mahakama ya Kisutu, imefutwa na DPP kwa mujibu wa Kifungu cha 91(1) cha Sheria ya Mwenendo ya Makosa ya Jinai. Watuhumiwa wote wako huru.
Unapotendewa jambo jema, ustaarabu ni kushukuru kwa yote hata kama ulionewa. Natoa wito kwa Tundu Lissu, amshukuru sana Mama Samia

Ila pia sitashangaa iwapo shukrani haitatolewa kwasababu baadhi ya wenzetu hawana shukrani.
P
 
Unapotendewa jambo jema, ustaarabu ni kushukuru kwa yote hata kama ulionewa. Natoa wito kwa Tundu Lissu, amshukuru sana Mama Samia

Ila pia sitashangaa iwapo shukrani haitatolewa kwasababu baadhi ya wenzetu hawana shukrani.
P
Dah!
Tumefika kuwa nchi ya kuomba na shukrani, yani kama mazuzu vile yani....
 
Unapotendewa jambo jema, ustaarabu ni kushukuru kwa yote hata kama ulionewa. Natoa wito kwa Tundu Lissu, amshukuru sana Mama Samia

Ila pia sitashangaa iwapo shukrani haitatolewa kwasababu baadhi ya wenzetu hawana shukrani.
P

Nadhani dhana hii ni ya kidini na unahitaji kujitoa ufahamu kuifanya shukuru kwa kila jambo! Ambacho wengi hufanya kama mbadala ni kunyamaza na “kumwachia Mungu”. Ni ngumu kumshukuru mtesi wako.

Sioni TL anatoaje shukrani kwa Mama Samia zaidi ya kumshukuru alipomtembelea hospital Nairobi! Ukichukulia kauli “Mimi na Rais Magufuli ni kitu kimoja” - kila kitu kinabadilika.

Hakuna haja ya kumshukuru mtesi wako. Huenda kunyamaza au kutolipa kisasi yana maana zaidi! Kama unazungumzia TL na mambo ambayo public inayafahamu - unamuomba afanya kitu kigumu sana kibinadamu. Kama unajua kitu specific - uko sahihi!
 
Acha kuandika ujinga. Chadema wameteseka sana nchi hii na bado wanateseka. Wewe nani nchi hii uwalazimishe Chadema washukuru usanii wa hii Serikali haramu? Wachumia tumbo bhanaaa!



Wanabodi,

Hukumu ya Mahakama ya Kisutu dhidi ya viongozi wa Chadema imeibua mengi, yakiwemo mabaya miongoni mwake ni waliofyatua risasi kumuua Aquiline hawakushitakiwa, wajashitakiwa walioandamana huku wameshikana mikono kuonyesha solidarity, wakahukumiwa vifungo vya jela na hapo hapo kupewa option ya kuinunua haki ya uhuru wao kwa fedha TZS milioni 350, hivyo Tanzania ya leo, justice is for sale, ukiwa na fedha inainunua haki yako, unaununua uhuru wako, unaepuka kifungo cha jela, ukiwa ni kapuku mwenzangu na mimi, unaozea Segerea.

Hukumu ile kucheleweshwa na kusomwa jioni baada ya kuisha kwa muda wa saa za kazi ili viongozi hao, angalau waonje jela, na kufanyiwa udhalilishaji wa hali ya juu baada tuu ya kutua gereza la Segerea, wengi wa watu wanaijadili hukumu hiyo kwa ubaya na kuusahau wema.

Wengi wanailaani tuu hukumu ile bila ya kuangazia mema na mazuri ya hukumu ile, kama ilivyo enzi za Masiya, kati ya wale watumishi wake thenashara, kulikuwa na Yuda wawili. Kulikuwa na Yuda Iskariote na Yuda Tadei. Kutokana na usaliti wa Yuda Iskariote, likitajwa tuu jina la Yuda watu wanalihusisha na usaliti, hivyo mazuri yote ya Yuda Tadei, yalifunikwa na mabaya ya Yuda Eskarioti, vivyo hivyo hii kesi ya viongozi wa Chadema ilikuwa ni kesi mbaya, hukumu ile na yatokanayo pia ina mazuri yake yaliyofunikwa na mabaya, hivyo hili ni bandiko la kutoa wito kwa Chadema, wawe na shukrani kwa yote, mazuri na mabaya, kuna majanga mengine yanakuja kama majanga kumbe ni neema, blessing in disguise.

Sisi Wakristu tumefundishwa kuwa na shukrani kwa yote. Hivyo katika kesi na matokeo yake, licha ya mabaya yote yanayopaswa kulaaniniwa, pia kuna makubwa, mazuri ya kuonekanika ambayo Chadema kama ni watu wa shukrani, wanapaswa kushukuru kwa hayo, na ukiwa na shukrani kwa madogo, unabarikiwa kwa kupatiwa makubwa.

Hivyo ndungu zangu wa Chadema, rafiki zangu, jamaa zangu na machalii wangu,
Chadema, kuweni ni watu wa shukrani. Shukuruni kwa yote,
Shukuruni kwa makubwa,
Shukuruni kwa madogo,
Shukurini kwa mema,
Shukuruni kwa mabaya,
Shukuruni hata na kwa mateso mliyoyaoata gerezani kama Paulo na Sila,
Shukurini hata kwa mateso yote vyama vya upinzani wa kweli vinayoyapitia Tanzania, kwa sababu yote ni mapito tuu, maana hata Masiya, ni kwa kupigwa kwake, kwa kuteswa kwake sisi tuliponywa, hivyo inawezekana kabisa kwenu wana Chadema, ni kwa kuteswa kwenu, upinzani utaponywa. Ni kwa kuteswa kwenu Tanzania itaponywa, kuweni na shukrani kwa madogo ili mjaaliwe makubwa.

Ile kesi yenu ni kesi mbaya kwasababu ni kesi ya kubambikizwa. Kwa opinion yangu, waliovuruga amani ni polisi. Chadema walikuwa wanaandamana kwa amani huku wameshikana mikono, matumizi ya risasi za moto ni ya nini kwa waandamanaji an armed?. Kuna rubber bullets, kwanini hazikutumika?. Risasi wafyatue wengine, kuua waue wengine, lakini kushitakiwa washitakiwe wengine, huku ni kubambikiza kesi.

Kesi yoyote ya kubambikizwa lazima inakuwa na nia mbaya hivyo ile kesi ilikuwa ni kesi mbaya!, hivyo Chadema ishukuruni mahakama, mshukuruni Mashinji, ishukuruni CCM kuwasaidia kulipa baadhi ya faini, mshukuruni JPM kuwasaidia kuwalipia baadhi ya watu wenu, na mwisho washukuruni Watanzania waliosimama bega kwa bega na nyinyi tangu mwanzo wa kesi hadi mwisho na kuwaokoa kwa michango yao ya hali na mali, sala, machozi, jasho na damu, semeni asante, shukuruni kwa yote.

Kwa wale wavivu wa kusoma makala ndefu, ishieni hapa, sisi wazama deep tutaendelea, kwanini Chadema iishukuru Mahakama, Mashinji, CCM, JPM na Watanzania...

  1. Chadema wawashukuru Watanzania wote kwa kuungana nao, kuwachangia, hiyo pia imewasaidia kuwapa kipimo cha Chadema inakubalika vipi kwa Watanzania, hivyo what Chadema needs now is getting organised and how to utilise the approval rate they enjoy now to its advantage running up to 2020 general election. Siku zote Chadema imekuwa ikiamimi adui yao mkubwa anayewakosesha kuingia ikulu ni CCM kwa kusaidiwa na vyombo vyake vya dola kuanzia serikali, NEC, polisi, na nguvu za dola, mimi siku zote nawawaambia adui yao mkubwa anayewakosesha kuingia ikulu, sio wale wapiga kura milioni 6 wa CCM na zile kura milioni 2 za NEC, adui mkubwa wa Chadema ni wale wapiga kura milioni 20 ambao hawajajiandikisha, na wale milioni 12 waliojiandikisha lakini hawakujitokeza kupiga kura. Hivyo sasa Chadema should invest in people, mass mobilization na sio kila siku kutwa kucha kulalamika tuu inaonewa na CCM.
  2. Chadema iwashukuru Maalim Seif, Mbatia, Zitto na wapinzani wengine waliosimama nao na kuwaunga mkono, kesi hii na hukumu hii japo ilidhamiriwa kuleta majanga kwa Chadema, imekuwa the other way round, it's a blessing in disguise kwa kutengeneza solidarity mpya kuireplace UKAWA, Chadema ikubali kushirikiana kuunda umoja wenye nguvu, Chadema yenyewe peke yake haiwezi, they have to sort out their differences and work together agains a common enemey kwa kuutumia uzoefu wa UKAWA 2015 kutorudia makosa kwa wapinzani kupigana vita vya panzi kugombea majimbo huku kunguru amesimama pembeni mwisho wa siku walimfaidisha kunguru.
  3. Chadema iishukuru sana hii kesi, na hii hukumu, imeweza kuwapa picha ya nani ni nani, ndani ya Chadema, sasa angalau wanajua ndani ya msafara wao wa mamba nani ni ma kenge wanaosubiri tuu Bunge livunjwe, wakaripoti upande wapili.
  4. Last but not least, Chadema waushukuru huu mtandao wa Jamiiforums na mitandao mingine and never to underestimate the powers of social media, hivyo wanapaswa kutushukuru hata watu kama sisi ambao we don't spare the rod and spoil the child kwa kutembezea kichapo bila huruma, ushauri kama huuungetoka kwa consultant wangelipa fedha nyingi, Chadema isiwachukie watu kama sisi tunao ikosoa, unaweza kukuta sisi tunao ikosoa Chadema humu mitandaoni, tunaisaidia kuliko wale wanao isifu.
Hitimisho.
Chadema inapokesea usiojisikie wazito kuomba samahani, mnapokumbana na jambo lolote liwe zuri au baya, shukuruni tuu Mungu kwa yote na semeni asante kwa kila kitu. Mtu akikupiga shavu la kushoto, mgeuzie na la kuume, mtu akikunyanganya kofia yako au koti, mvulie na kanzu yako, mnayetende hayo yote ili anayewapigania msiwe ni nyinyi ndio mnaojipigania, bali myaweze yote katika YEYE.

Nawatakia Jumamosi Njema,
Kwa wale Wakiristu, kesho nendeni Kanisani mkatoe shukrani zenu kwa Mungu aliyewezesha haya yote.

Paskali
 
Back
Top Bottom