MfanyakaziHewa
Senior Member
- May 21, 2016
- 148
- 375
Pasco kwenye ubora wake.
Mpaka hapo ulipoishia hata wale wanaosoma makala fupi watakuelewa, ngoja tusubiri utakachoendeleza.
Katika siasa za 'check & balance' wadau wanafuatilia 'kifo' cha upinzani maana sasa imefika 2020 tayari.
Umeandika Mambo muhimu Sana hapa !! 👊👊👊Siku zote Chadema imekuwa ikiamimi adui yao mkubwa anayewakosesha kuingia ikulu ni CCM kwa kusaidiwa na vyombo vyake vya dola kuanzia serikali, NEC, polisi, na nguvu za dola, mimi siku zote nawawaambia adui yao mkubwa anayewakosesha kuingia ikulu, sio wale wapiga kura milioni 6 wa CCM na zile kura milioni 2 za NEC, adui mkubwa wa Chadema ni wale wapiga kura milioni 20 ambao hawajajiandikisha, na wale milioni 12 waliojiandikisha lakini hawakujitokeza kupiga kura. Hivyo sasa Chadema should invest in people, mass mobilization na sio kila siku kutwa kucha kulalamika tuu inaonewa na CCM.
Umeandika Mambo muhimu Sana hapa !! 👊👊👊Siku zote Chadema imekuwa ikiamimi adui yao mkubwa anayewakosesha kuingia ikulu ni CCM kwa kusaidiwa na vyombo vyake vya dola kuanzia serikali, NEC, polisi, na nguvu za dola, mimi siku zote nawawaambia adui yao mkubwa anayewakosesha kuingia ikulu, sio wale wapiga kura milioni 6 wa CCM na zile kura milioni 2 za NEC, adui mkubwa wa Chadema ni wale wapiga kura milioni 20 ambao hawajajiandikisha, na wale milioni 12 waliojiandikisha lakini hawakujitokeza kupiga kura. Hivyo sasa Chadema should invest in people, mass mobilization na sio kila siku kutwa kucha kulalamika tuu inaonewa na CCM.