USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,895
- 22,659
Leo nimemsikiliza mzee mmoja mstaafu kutoka Kitengo cha Kupambana na Ugaidi Tanzania.
Nimeshtuka sana pale aliponiambia kuwa ili mtu akamatwe kwa kosa la ugaidi lazima Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi atoe amri baada ya kujiridhisha na ushahidi wa mshukiwa.
Amenihakikishia kuwa trials za ugaidi si chini ya miaka 4 na mara nyingi huchukua muda zaidi na mshukiwa huweza kukaa ndani kwa kuogopa usalama wa nchi maana ugaidi ni mfumo.
Sasa nawashangaa CHADEMA badala ya kutafuta mrithi wa Mbowe wako bize na mabango wakati kule Afghanistan, Syria, Mozambique, Eritrea,Kenya na Nigeria hata Indonesia mtu akikamtwa kwa ugaidi ndio Basi tena.
Ni Bora CHADEMA kujielekeza kwenye kujenga chama badala ya kusubilia dodo chini ya mpera.
Kesi ya ugaidi sio kama kesi ya kuiba simu mitaani. Hapa Mbowe itachukua miaka kibao kutoka au kupewa dhamana.
Mashekhe wa uamsho wamekaa miaka 9 tena wao ni viogozi wa dini kwenye nchi yenye waislamu wengi na bado wamekaa. Mashekhe walitetewa na viongozi wa juu wa kitaifa na bado walikaa sana, tena Sana.
Kule USA Gwantanamo magaidi hadi leo wana miaka zaidi ya 25 wapo tu na kesi zao zipo kwenye trial, sasa ndo itakuwa Mbowe?
USSR
Nimeshtuka sana pale aliponiambia kuwa ili mtu akamatwe kwa kosa la ugaidi lazima Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi atoe amri baada ya kujiridhisha na ushahidi wa mshukiwa.
Amenihakikishia kuwa trials za ugaidi si chini ya miaka 4 na mara nyingi huchukua muda zaidi na mshukiwa huweza kukaa ndani kwa kuogopa usalama wa nchi maana ugaidi ni mfumo.
Sasa nawashangaa CHADEMA badala ya kutafuta mrithi wa Mbowe wako bize na mabango wakati kule Afghanistan, Syria, Mozambique, Eritrea,Kenya na Nigeria hata Indonesia mtu akikamtwa kwa ugaidi ndio Basi tena.
Ni Bora CHADEMA kujielekeza kwenye kujenga chama badala ya kusubilia dodo chini ya mpera.
Kesi ya ugaidi sio kama kesi ya kuiba simu mitaani. Hapa Mbowe itachukua miaka kibao kutoka au kupewa dhamana.
Mashekhe wa uamsho wamekaa miaka 9 tena wao ni viogozi wa dini kwenye nchi yenye waislamu wengi na bado wamekaa. Mashekhe walitetewa na viongozi wa juu wa kitaifa na bado walikaa sana, tena Sana.
Kule USA Gwantanamo magaidi hadi leo wana miaka zaidi ya 25 wapo tu na kesi zao zipo kwenye trial, sasa ndo itakuwa Mbowe?
USSR