BadoNipo
Senior Member
- Jul 4, 2008
- 170
- 28
Ndugu wanabodi,
Waziri Sofia Simba anashika wadhifa mkubwa sana kwenye serikali ya awamu ya nne, kwani wizara yake ndio kioo cha viongozi wote yaani Utawala bora. Wizara hii ndio inayongalia mienendo na maadili ya viongozi wote wa umma. Inakemea ukiukwaji wote wa haki za watumishi wa umma.
Je Sofia Simba anastahili tena kuiongoza wizara hii???????
Je kupigana hadharani na kiongozi mwenzako ni maadili ya uongozi????
Je kujichukulia sheria mkononi ni utawala boraa??????
Kutoa kauli chafu mbele ya hadhara tena kumtukana mtu aliyekuzidi umri ndio maadili ya mwanamke wa kitanzania?????????
Kutokupeleka malalamiko yako kwenye mamlaka husika kabla ya kujichukulia sheria mkononi ndio maadili ya utawala bora?????
Hayo pamoja na mengine mengi uliyoyafanya HUSTAHILI TENA KUWA KIONGOZI WA HIYO WIZARA WALA UONGOZI WOWOTE WA UMMA
Bi Sofia Simba JIUUUZULU, JUIZULU JIUZULU
SIoni sababu ya kumtaka Sofia Simba kujiuzulu. msipende kuangalia upande mmoja kwani huyo Mama Kahama ni mkorofi sana na anapenda vimaneno neno. Nia yake ni kumchafua tu mwenzake ili yeye aonekane mtu mzuri.
We kama umetumwa na mama Kahama basi pole yako.