KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Heshima mbele
Mkuu ulianzisha topic ya uchakachuaji hauwezekani tz,nikapata shock mpaka ikafikia hatua ya kukuuliza lini ulikua mara yako ya mwisho kupiga kura tz au kusimamia uchaguzi.
Ivi ungekua miongoni mwa ule msitu wa wananchi wa Mwanza, afu ukawashawishi kwa confidence kabisa kama ulivyokua unatetea hoja, wakakusikiliza,wakaenda kulala na kusikiliza matokeo kwenye vyombo vya habari leo hii.
Je matokeo yangekua kama yalivyotangazwa?
Wakati mwingine mawazo yangu yananiambia labda ulipewa takrima(sorry kama nimekukwaza), lakini akili yangu inaniambia HAPANA,they cant afford you,,you are too expensive.
Mkuu ulianzisha topic ya uchakachuaji hauwezekani tz,nikapata shock mpaka ikafikia hatua ya kukuuliza lini ulikua mara yako ya mwisho kupiga kura tz au kusimamia uchaguzi.
Ivi ungekua miongoni mwa ule msitu wa wananchi wa Mwanza, afu ukawashawishi kwa confidence kabisa kama ulivyokua unatetea hoja, wakakusikiliza,wakaenda kulala na kusikiliza matokeo kwenye vyombo vya habari leo hii.
Je matokeo yangekua kama yalivyotangazwa?
Wakati mwingine mawazo yangu yananiambia labda ulipewa takrima(sorry kama nimekukwaza), lakini akili yangu inaniambia HAPANA,they cant afford you,,you are too expensive.