Baada ya kamati ya kwanza ya Prof. Mruma kutoa taarifa iliyoashiria kuwa Acacia wanatupiga/ibia sana kwenye makinikia(mapanki), na kupelekea waziri, watumishi na bodi TMAA kutumbuliwa, natamani kamati ya pili ingalipewa hadidu rejea ya ziada kufuatilia pia taarifa za real deal/dhahabu safi (minofu) kujua usahihi wa data zinazokuwa declared nchini na zile za kule sokoni na kwenye reserves mbali mbali ambako minofu hiyo hupelekwa! Tusije kujikuta tunakimbizana na mapanki tu wakati wenyewe wanajinoma na minofu yetu!
Katika vita hii natamani Raisi abaki Magufuli ila natamani Spika angekuwa Lissu! Wangetunishiana misuli na kupimana ubavu, lakini mwisho wa siku ingejulikana mzalendo wa kweli nani, na hakuna mhusika wa ubadhirifu hata mmoja angebaki salama!
Just wishful thinking!!!
Katika vita hii natamani Raisi abaki Magufuli ila natamani Spika angekuwa Lissu! Wangetunishiana misuli na kupimana ubavu, lakini mwisho wa siku ingejulikana mzalendo wa kweli nani, na hakuna mhusika wa ubadhirifu hata mmoja angebaki salama!
Just wishful thinking!!!