Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,945
- 22,096
Neno la uzima 2010
nawajua walio wangu..haya ni maneno kutoka kwa bwana yesu
je wewe uko wapi ...wapendwa katika bwana nawapongeza wote mlioshiriki katika mijadala mbali mbali jamvini kwa wale waliouziwa...na pdidy huu ndio muda wa kusamehe walioniuzi nimewasamehe kwa jina la bwana yesu na mod akiwa shaidi...
Nawapongeza mods wote kwa kazi nzuri wanayoifanya mungu awajalie waone tena 2011
mwisho kwa niaba ya pdidy familia na wafanyakazi wote wa didy fishering centre nawatakia xmass na mwaka mpya mwema
mungu awabariki ukawe mwaka wa mafanikio wakati tukimkumba yesu kuzaliwa kwake
nawajua walio wangu..haya ni maneno kutoka kwa bwana yesu
je wewe uko wapi ...wapendwa katika bwana nawapongeza wote mlioshiriki katika mijadala mbali mbali jamvini kwa wale waliouziwa...na pdidy huu ndio muda wa kusamehe walioniuzi nimewasamehe kwa jina la bwana yesu na mod akiwa shaidi...
Nawapongeza mods wote kwa kazi nzuri wanayoifanya mungu awajalie waone tena 2011
mwisho kwa niaba ya pdidy familia na wafanyakazi wote wa didy fishering centre nawatakia xmass na mwaka mpya mwema
mungu awabariki ukawe mwaka wa mafanikio wakati tukimkumba yesu kuzaliwa kwake