Pazi na Jogoo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 331
- 494
Kuna mwama falsafa aliwahi kusema "Wazo bora ni lile unaloshindwa kulisema hadharani/wazi"
Naomba na mie niseme kwamba Technology si taaluma yangu ingawa kwa siku kadhaa nimekuwa nawaza juu ya jambo hili na sasa nataka kuliweka wazi ili wataalamu waone kama inawezekana.
Kwa kawaia tuna tumia power cable za umeme ambazo zina waya, wengine wanita Extensheni, ambazo zinachomekwa kwenye switch ukutani kisha ndipo unapata kuwasha Tv, Radio, Fridge, na vingine.
Sasa kwa kipindi hiki technology imekuwa sana, nikawaza kwamba kama saiv tuna LUKU, Dawasa nao nasikia maji unalipia kama luku unit ulizolipa zikiisha na maji hakuna pamoja na mambo mengine mbalimbal.
Sasa nikawaza kwamba wataalamu wetu kwenye vyuo vya ufundi kama DIT au Veta na shirika kama SIDO hawawezi kutengeneza au kuzalisha power cable ambazo ni wireless yaani inakuwa cable peke yake ambayo inakuwa na kitu kama Bloototh hivi ambayo hii pia inakuwa kwenye switch ukutani inamaana ukiweka inakuwa connected moja kwa moja kusafirisha umeme na tayari kwa matumizi,
Kuliko kuwana cables nyingi ambazo wakati mwingine zinapelekea kusababisha hutilafu ya umeme na kuleta madhara nyumbani.
Naomba na mie niseme kwamba Technology si taaluma yangu ingawa kwa siku kadhaa nimekuwa nawaza juu ya jambo hili na sasa nataka kuliweka wazi ili wataalamu waone kama inawezekana.
Kwa kawaia tuna tumia power cable za umeme ambazo zina waya, wengine wanita Extensheni, ambazo zinachomekwa kwenye switch ukutani kisha ndipo unapata kuwasha Tv, Radio, Fridge, na vingine.
Sasa kwa kipindi hiki technology imekuwa sana, nikawaza kwamba kama saiv tuna LUKU, Dawasa nao nasikia maji unalipia kama luku unit ulizolipa zikiisha na maji hakuna pamoja na mambo mengine mbalimbal.
Sasa nikawaza kwamba wataalamu wetu kwenye vyuo vya ufundi kama DIT au Veta na shirika kama SIDO hawawezi kutengeneza au kuzalisha power cable ambazo ni wireless yaani inakuwa cable peke yake ambayo inakuwa na kitu kama Bloototh hivi ambayo hii pia inakuwa kwenye switch ukutani inamaana ukiweka inakuwa connected moja kwa moja kusafirisha umeme na tayari kwa matumizi,
Kuliko kuwana cables nyingi ambazo wakati mwingine zinapelekea kusababisha hutilafu ya umeme na kuleta madhara nyumbani.