WINNERS AND LOSERS; THE AIRTEL SHARES SAGA
Na Mwamba wa Kaskazini
Leo nimeamua kuanza na kichwa cha habari kinachoonesha msisitizo wa jambo lenyewe
Nimerejea kutoka Quanzhou, China na kukutana na habari za Serikali yetu kufanikisha kurejesha haki ya Watanzania iliyoporwa kwa miaka 19 katika umiliki wa kampuni ya Airtel Tanzania.
Sakata hili ingawa si vyema kulitazama kwa mtindo wa nani kachukua ubingwa lakini yajuzu kulitazama kwa nia ya kujifunza katika siku zijazo hivyo si mbaya kuona nani ni nani:
*WALIOSHINDA*
*MSHINDI WA KWANZA:* Ni Watanzania wote ambao wanatamani kuiona Tanzania yenye neema lakini hawajui wanafikaje huko.
Serikali sasa imeanza kulipwa mabilioni na Airtel na yatawekezwa katika miradi ya wananchi ni ushindi kwao wa pointi tatu kuelekea Tanzania ya ndoto zao.
*MSHINDI WA PILI* Ni Dkt. John Pombe Magufuli...bila maono, uongozi na uthubutu wake majadiliano husika yasingefika panapopaswa kufika.
Hongera Mzee wa Chato, katika hili umeweka rekodi.
*MSHINDI WA TATU;* Hawa ni wataalamu wote waliokosa usingizi kusoma, kujenga hoja na kuziwasilisha ipasavyo na hatimaye tukapata pointi tatu.
*WALIOSHUKA DARAJA*
1. PINGAPINGA; Hawa ni wale wote kwa sasa wenye ugonjwa mpya nchini wa kupinga kila kitu. Wanakana hata historia yao.
2. Tundu Lissu: huyu bwege ni mwasisi wa kitu kinaotwa MIGA...eti Tanzania ilipoanza tu kudai chake kwa wawekezaji akakaa na mabeberu katika hoteli moja mara akasafirishwa kwenda nchi moja, wakamfunda aje na kitisho cha "mtashtakiwa MIGA" leo yeye ndio kawa MIGULUBWAJA
Kuna kisa siku moja nitakieleza hapa kwa kina cha *"TUNDULISU; KUTOKA MIGA HADI MIGULUBWAJA."*
Huyu na wenzake wengine hakika wameshuka daraja. Mkatusalimie na jipangeni upya huko mliko.
Niite Mwamba Mwamba, Mwamba, Mwamba wa Kaskazini.
Na Mwamba wa Kaskazini
Leo nimeamua kuanza na kichwa cha habari kinachoonesha msisitizo wa jambo lenyewe
Nimerejea kutoka Quanzhou, China na kukutana na habari za Serikali yetu kufanikisha kurejesha haki ya Watanzania iliyoporwa kwa miaka 19 katika umiliki wa kampuni ya Airtel Tanzania.
Sakata hili ingawa si vyema kulitazama kwa mtindo wa nani kachukua ubingwa lakini yajuzu kulitazama kwa nia ya kujifunza katika siku zijazo hivyo si mbaya kuona nani ni nani:
*WALIOSHINDA*
*MSHINDI WA KWANZA:* Ni Watanzania wote ambao wanatamani kuiona Tanzania yenye neema lakini hawajui wanafikaje huko.
Serikali sasa imeanza kulipwa mabilioni na Airtel na yatawekezwa katika miradi ya wananchi ni ushindi kwao wa pointi tatu kuelekea Tanzania ya ndoto zao.
*MSHINDI WA PILI* Ni Dkt. John Pombe Magufuli...bila maono, uongozi na uthubutu wake majadiliano husika yasingefika panapopaswa kufika.
Hongera Mzee wa Chato, katika hili umeweka rekodi.
*MSHINDI WA TATU;* Hawa ni wataalamu wote waliokosa usingizi kusoma, kujenga hoja na kuziwasilisha ipasavyo na hatimaye tukapata pointi tatu.
*WALIOSHUKA DARAJA*
1. PINGAPINGA; Hawa ni wale wote kwa sasa wenye ugonjwa mpya nchini wa kupinga kila kitu. Wanakana hata historia yao.
2. Tundu Lissu: huyu bwege ni mwasisi wa kitu kinaotwa MIGA...eti Tanzania ilipoanza tu kudai chake kwa wawekezaji akakaa na mabeberu katika hoteli moja mara akasafirishwa kwenda nchi moja, wakamfunda aje na kitisho cha "mtashtakiwa MIGA" leo yeye ndio kawa MIGULUBWAJA
Kuna kisa siku moja nitakieleza hapa kwa kina cha *"TUNDULISU; KUTOKA MIGA HADI MIGULUBWAJA."*
Huyu na wenzake wengine hakika wameshuka daraja. Mkatusalimie na jipangeni upya huko mliko.
Niite Mwamba Mwamba, Mwamba, Mwamba wa Kaskazini.