Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Jamani nauiliza hivi hawa wabunge wa Zanzibar 50+ wa kuchaguliwa na 20+ viti maalumu making a total of 70+ kwenye bunge la jamuhuri lenye wabunge 329 mbona wengi sana na sioni impact yao? Wanakula ruzuku za bure nadhani mbali na kupunguza idadi ya mawaziri tungefikiria kupunguza idadi ya wabunge na hasa wa Zanzibar ambayo unakuta kwa kila watu elfu wana mbunge mmoja?