Wingi wa mvua hizi za vuli wakulima wa mbogamboga kazi tunayo

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Mvua kila kona, mvua isiyokatika, usiku na mchana inagonga tu aisee.

Tushamwaga mbegu , tunalea vitaru na kuna plots tumehamishia nyanya mashambani ila kwa hizi mvua duu kazi ipo.

Dawa kila siku. Mvua inapukutisha maua ya nyanya...miche kitaruni inapata ugonjwa wa kiuno, inakatika katikati...

Kazi ipo.
 
Poleni sana ila jitaidi mambo ya kumwagilia uwe unayaacha ifikapo mwez wa 9 mwishoni
 
Pole Mkuu Endelea kupambana usikate tamaa
Ungeotesha mahindi ya kuchoma December upige pesa
Mkuu mshauri mzee baba a cancel manunuzi ndege zaidi ajenge miundombinu umwagiliaji.Tuvune maji ya ziada. Kisha masoko mkakati viwanda ndani na nje. Tutapunguza tatizo la ajira na wazururaji mijini kwa asilimia kubwa. Multiplier effect yake kubwa sana kwa viwanda- uhakika malighafi nyakati zote, ajira na bidhaa kusafirisha ktk miundombinu,kodi nk
 
Mvua kila kona, mvua isiyokatika, usiku na mchana inagonga tu aisee.

Tushamwaga mbegu , tunalea vitaru na kuna plots tumehamishia nyanya mashambani ila kwa hizi mvua duu kazi ipo.

Dawa kila siku. Mvua inapukutisha maua ya nyanya...miche kitaruni inapata ugonjwa wa kiuno, inakatika katikati...

Kazi ipo.
Store keeper wa mvua mbinguni kajisahau amefungua koki yupo bar anagida ugimbi huku tunataabika
 
Mvua kila kona, mvua isiyokatika, usiku na mchana inagonga tu aisee.

Tushamwaga mbegu , tunalea vitaru na kuna plots tumehamishia nyanya mashambani ila kwa hizi mvua duu kazi ipo.

Dawa kila siku. Mvua inapukutisha maua ya nyanya...miche kitaruni inapata ugonjwa wa kiuno, inakatika katikati...

Kazi ipo.
Mimi zimeniharibia nyanya mashina 9000. Majani yamepukutika yote na nyanya zimekataa kunenepa. Sidhani km nitapata hata tenga 200.
 
Vipi huko uliko,bei zikoje
Nyanya ni kama betting. Mwezi wa 9 tenga moja ilikua elf 4 saizi elfu 25. Huko mnalalamika mvua mtu atapambana atatumia gharama kubwa akijjua wakati wa mavuno watakua wamebaki wachache wapambanaji huku kwetu hakuna mvua na saiz watu wamelima Nyanya kwa fujo wanakuja kukutana Na ninyi sokon soko linaharibika
 
Back
Top Bottom