Window phone vidole kufa ganzi na maumivu?

Masuonline

Senior Member
Jun 4, 2013
190
14
Habari ndugu zangu,poleni na shughuri za hapa na pale za kila siku katika maisha. Ndugu zangu mi ninashida moja ninayoipata ninapokua naitumia simu yangu,simu yenyewe ni Lumia 430 window 10 mobile Os build 14385. Tatizo nilalopata ni vidole kuuma na kupata ngazi ninapoitumia screen yake,hata nikibadiri mkono bado tena na huo mkono nahisi maumivu na tatizo hilo limeanza hivi karibuni kupata maumivu. Ila kwa upande wa smartphone zingine nikitumia sipati maumivu yoyote kwa hiyo nilikuwa naomba msaada jamani hapa jukwaani kwetu ambapo ndipo kimbilio letu sote,ahsante sana ndugu zangu.
 

Attachments

  • wp_ss_20160715_0001.png
    wp_ss_20160715_0001.png
    15.7 KB · Views: 43
  • wp_ss_20160715_0003.png
    wp_ss_20160715_0003.png
    31.8 KB · Views: 39
Nenda hospital kapime kisukari kwanza. kama matokeo yakitoka negative tujulishe mkuu.
 
Habari ndugu zangu,poleni na shughuri za hapa na pale za kila siku katika maisha. Ndugu zangu mi ninashida moja ninayoipata ninapokua naitumia simu yangu,simu yenyewe ni Lumia 430 window 10 mobile Os build 14385. Tatizo nilalopata ni vidole kuuma na kupata ngazi ninapoitumia screen yake,hata nikibadiri mkono bado tena na huo mkono nahisi maumivu na tatizo hilo limeanza hivi karibuni kupata maumivu. Ila kwa upande wa smartphone zingine nikitumia sipati maumivu yoyote kwa hiyo nilikuwa naomba msaada jamani hapa jukwaani kwetu ambapo ndipo kimbilio letu sote,ahsante sana ndugu zangu.

kiuhalisia hakuna uhusiano wowote kati ya tatizo lako na Capacitive touch yoyote. touch screen ya windows phone haina tofauti na touch za simu zingine. so Tatizo lako ni la kisaikolojia zaidi.

EMPTY YOUR MINDS FIRST, kabla ya kwenda hospitali
 
kiuhalisia hakuna uhusiano wowote kati ya tatizo lako na Capacitive touch yoyote. touch screen ya windows phone haina tofauti na touch za simu zingine. so Tatizo lako ni la kisaikolojia zaidi.

EMPTY YOUR MINDS FIRST, kabla ya kwenda hospitali
Nashukuru ndugu yangu kwa maoni yako
 
Napenda kutoa feedback kwa tatizo lililokuwa likinipata kuwa limekwisha baada ya kuamua Ku Rollback to Window 8,nadhani zilikuwa ni Bugs za window 10. Ahsante sana
 

Attachments

  • wp_ss_20160715_0004.png
    wp_ss_20160715_0004.png
    35 KB · Views: 36
  • wp_ss_20160715_0001.png
    wp_ss_20160715_0001.png
    19.7 KB · Views: 31
Hii kitu hata mimi ilishawahi kunitokea wakati natumia simu ya Lumia 520 kwa sasa sina hilo tatizo baada ya kuanza kitumia aina nyingine. Ngoja nifanye uchunguzi zaidi.
 
jaribu kwenda setting halafu touch kama touch sensitivity ipo high badili iwe normal
 
Kwanini unahisi unapata tatizo ktk kitu fulani na kina mbadala wake kuepuka tatizo halafu uendelee kukitumia? Tumia akili hiyo iliyokuongoza kuja huku kuuliza ufanye nini ilihali unajua chakufanya kupata suluhu ya tatizo lako kujiongeza.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom