Window laptops Vs Macbook laptops

sam wilfred

Member
Nov 23, 2014
10
9
Uchaguzi wa laptop nzuri ni miungoni swala moja wapo muhimu sana hususani kwa graphics designers pamoja na sounds producers bila kuwasahau watu wa maswala ya IT.

Sasa kama graphics designer nimekuwa na wakati mgumu hususani katika uchaguzi wa laptops nzuri kwa maswala ya designing kati ya window laptops na Macbook laptops ni zipi zina uwezo zaidi na ni nzuri zaidi kwa maswala ya designing.

Toa mtazamo wako unahisi ni laptop zipi ni bora kwenye maswala haya ya designing kati ya window na macbook...
 
Nenda Mac Kama una hela za ziada orherwise unapata laptop yenye specs Kali kwa windows kwa Bei nusu ya Mac.

Nimeona MacBook pro mpya imetoka inatumia DDR3 mwaka 2019, Ina Quad core tu, storage 128GB ssd, bila dedicated GPU kwa dola 1300 ambayo ni Kama milioni 3.

Imagine milioni 3 kwenye windows unapata processor Kali yenye core 6 na thread 12, ram za kisasa DDR4, GPU kubwa kuanzia Nvidia 1060 kuendelea, SSD angalau 512GB na ukitaka HDD utapata ma terabyte ya kutosha.
 
Uzuri wa PC hauko kwenye Brand Bali unachotaka kufanya, sema software yako nzito kabisa unayotaka kutumia then tutaangalia requirement zake na kuchagua specs kutokana na requirements.
Issues nzima za designing, editing pamoja na graphics na mostly huwa natumia Adobe Master collection na kazi zangu nyingi natumia adobe illustrator, adobe photoshop, Adobe premier pro, pamoja na adobe after effect.
 
Issues nzima za designing, editing pamoja na graphics na mostly huwa natumia Adobe Master collection na kazi zangu nyingi natumia adobe illustrator, adobe photoshop, Adobe premier pro, pamoja na adobe after effect.
At minimum kwa budget Ndogo Kama unafanya serious Editing utahitaji laptop ya Ryzen 5 ambazo zinapatikana as low as dola 400 ambayo ni Kama milioni 1 hivi.

Zipo model za Lenovo, HP na Dell


 
Dha kuna iyo moja ya dell inaitwa ALIENWAVE M15 - M17 hizi ni kwaajili ya magemu lakin spc zake ni hatari , Saiv sina tu mihamala lkn lazima nije nichukue M17 kwa ajili ya mambo yangu
 
Issues nzima za designing, editing pamoja na graphics na mostly huwa natumia Adobe Master collection na kazi zangu nyingi natumia adobe illustrator, adobe photoshop, Adobe premier pro, pamoja na adobe after effect.
Kama una Budget nzuri kuanzia dola 800 unapata laptop za i7 8750 ambazo Zina nguvu kushinda desktop yoyote ile ya i7 7th gen kishuka (mainstream). Na utapata GPU decent Kama Nvidia gtx 1050 ti
 
Dha kuna iyo moja ya dell inaitwa ALIENWAVE M15 - M17 hizi ni kwaajili ya magemu lakin spc zake ni hatari , Saiv sina tu mihamala lkn lazima nije nichukue M17 kwa ajili ya mambo yangu
Alienware zipo vizuri ila nazo kuwa makini nyingi ni overpriced.
 
Kama una pesa nenda Macbook Pro hutajutia, nina laptop moja inayotumia platform ya window: HP ENVY CORE i7-7500U, 16gb ram ssd na nyingine inatumia MacBook Pro: 8gb ram, kwenye perfomance MacBook is always above. changamoto iko kwenye space, MacBook yenye storage ya 512 SSD ni gharama sana
 
Kama una pesa nenda Macbook Pro hutajutia, nina laptop moja inayotumia platform ya window: HP ENVY CORE i7-7500U, 16gb ram ssd na nyingine inatumia MacBook Pro: 8gb ram, kwenye perfomance MacBook is always above. changamoto iko kwenye space, MacBook yenye storage ya 512 SSD ni gharama sana
Mkuu i7 7500u sio processor nzuri kwa watu ambao wapo serious na Video editing, inapitwa Hadi na i3 kwenye series za proffesional.
 
Kama una Budget nzuri kuanzia dola 800 unapata laptop za i7 8750 ambazo Zina nguvu kushinda desktop yoyote ile ya i7 7th gen kishuka (mainstream). Na utapata GPU decent Kama Nvidia gtx 1050 ti

Kwa bajeti hiyo ama kushuka mpaka dola 500 nitapata desktop gani nzuri zaidi, hata kama itakuwa machine tupu kioo nitatumia hata tv.
 
Kwa bajeti hiyo ama kushuka mpaka dola 500 nitapata desktop gani nzuri zaidi, hata kama itakuwa machine tupu kioo nitatumia hata tv.
Issue ya desktop mkuu ngumu kununua vifaa nje maana ni vizito. Kama una mtu nje anayeweza kusaidia kufanya manunuzi na kukuletea tengeneza mwenyewe around Ryzen 5 3600, na rtx 1660 itakuja around hio budget, angalia zaidi hapa
Completed Builds Using AMD Ryzen 5 3600 3.6 GHz 6-Core Processor

Alternative kwa budget ndogo nunua machine used hapa Tanzania i7 na kuendelea then unai upgrade vitu kama ssd, gpu, ram etc. I7 used unazipata around laki 5 hivi.

Sema kuwa makini hakikisha power supply yake ni ya pin 24 na sio pin 8, kuna desktop zinatumia proprietary power supply ambazo ni ngumu kuzi upgrade.

Alternative nyengine ni kujilipua na capricon ila sikushauri unless umekosa option zote maana bei zake ni almost double ama triple msrp.
COOLER MASTER i7 PC - Capricorn Technologies
 
Issue ya desktop mkuu ngumu kununua vifaa nje maana ni vizito. Kama una mtu nje anayeweza kusaidia kufanya manunuzi na kukuletea tengeneza mwenyewe around Ryzen 5 3600, na rtx 1660 itakuja around hio budget, angalia zaidi hapa
Completed Builds Using AMD Ryzen 5 3600 3.6 GHz 6-Core Processor

Alternative kwa budget ndogo nunua machine used hapa Tanzania i7 na kuendelea then unai upgrade vitu kama ssd, gpu, ram etc. I7 used unazipata around laki 5 hivi.

Sema kuwa makini hakikisha power supply yake ni ya pin 24 na sio pin 8, kuna desktop zinatumia proprietary power supply ambazo ni ngumu kuzi upgrade.

Alternative nyengine ni kujilipua na capricon ila sikushauri unless umekosa option zote maana bei zake ni almost double ama triple msrp.
COOLER MASTER i7 PC - Capricorn Technologies
Nataka kutengeneza kitu kama hiki.

Nahitaji CPU yenye specification zipi?
Screenshot_20200404-171214_Instagram.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nataka kutengeneza kitu kama hiki.

Nahitaji CPU yenye specification zipi?View attachment 1408729

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mdau hapo juu alivyokuambia, Gpu ni muhimu zaidi, na Display port ni nzuri kushinda Hdmi linapokuja suala la monitor.

Port 1 ya display port ina uwezo wa kudrive monitor 4 za Full HD. Kuna monitor maalumu zenye dp in na out unaunganisha na waya wa dp monitor zote toka output moja ya desktop ama laptop.
daisy-chaining-displayport-how-to-1500.gif


Na njia hii sio lazima uwe na gpu kali kivile hasa kama software yako sio nzito unayotaka kuitumia kwenye multi monitor. Hata gpu za ndani za laptop zinaweza kamilisha hii kazi, laptop za kazi kama thinkpad utakuta badala ya Hdmi wanakuwekea port ya Mini dp.

Kama upo serious sana ndio utahitaji gpu highend kama hio Rtx 2080 na wengine wanaweka multi gpu, unakuta Gpu 2 zinawekwa pamoja, incase monitor zako ni high resolution kama 4k. Sema hapa jiandae milioni 10 zinaweza kuisha kimasihara tu.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom