Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,542
- 3,451
Miongoni mwa nyimbo za kampeni zitakazovuka mpaka ni wimbo wa Zuchu wenye kiitikio.." Jua lile literemke Mama"..wapinzani watetereke sana".Una mahadhi nzuri ya reggae, mahadhi inayochezeka na watu wote na rika zote. Hata kama hutaki kucheza unaweza kutingisha bega tu.
Geita hapa muda huu ni jua lile literemke Mama, Mchakamchaka hadi raha.
Geita hapa muda huu ni jua lile literemke Mama, Mchakamchaka hadi raha.