Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,064
- 2,301
Wana JF nawaombeni kuelewa fasihi iliyotumika kwenye wimbo huu. "Mfanyakazi kaiba kuku jikoni kwa mfalme. Wenzake wakamsakama. Akaona heri ajisalimishe kwa mfalme na kuomba msamaha. Akasamehewa. Wafanyakazi wenzie walipoendelea kumsakama akawambia kama mfalme keshasamehe nini tena". Swali hivi kuku na mfalme ni akina nani?