mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Watu wanataka hela zao wajenge vibanda vya kuwasitiri wewe unaongelea mambo ya kuadhirika?Katika hili la kustaafu pamoja na kuwa wanasiasa wamelidandia na kulipotezea maana ila nadhani mfumo huu wa sasa wa kumlipa mstaafu kidogo kidogo ni mzuri sana!
Sabbu wengi walikuwa baada ya kumaliza pesa mkupuo ya kiinua mgongo walikuwa wanadharirika sana.! Unakuta yupo mtaani hana mbele wala Nyuma na umri umeshamtupa mkono.!
Hili la 25% huenda likasaidia kuwafanya bado waendelee kupata heshma kiasi kwenye jamii yao.
Kwanini hao wabunge wasingeanza wao kwa kupewa hio hela polepole instead wanapewa lumpsum?
Unajua watumishi wanakua mpk hayo mafao yao wanakua wameshayakopea?Unapompa hio 25% unataka afanyaje?