Wimbo wa ''Tazama Ramani'' ulitungwa na nani?

Amini nakwambia kwa jinsi inchi ilivyo ya ajabu hii huo wimbo tazama inchi mzuri na Tanzania Tanzania watunzi wake watakuwa hawajulikani na kama wapo basi wapo uko wanaishi maisha ya dhiki kupita maelezo Amini nakwambia
Hahah kwani mkuu ulitaka waishije?

Mkuu wa Majeshi mstaafu ndg. Sarakikya mwenyewe analalamika kulipwa pensheni ya elfu 50 kwa mwezi,je hao waimbaji watakua na hali gani?hahah
 
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa moyo wote
Nchi yangu Tanzania
Jina lako ni tamu sana
Nilalapo nakuota wewe
Niamkapo ni heri mama wee
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa moyo wote

Tanzania Tanzania
Ninapokwenda safarini
Kutazama maajabu Biashara nayo makazi
Sitaweza kusahau mimi mambo mema ya kwetu kabisa
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa moyo wote

Tanzani Tanzania
Watu wako ni wema sana
Nchi nyingi za kuota nuru yako hakuna tena
Na wageni wa kukimbilia ngome yako imara kweli wee
Tanzania Tanzania
Heri yako kwa mataifa

Tanzania Tanzania
Karibu wasio na kwao
Wenye shida na taabu
Hukimbizwa na walo wezi
Tanzania yawakaribisha
Tuungane kiume chema wee
Tanzania Tanzania
Mola awe na we daima.

Wow!! mpaka vinyweleo vimesimama, hakika huu wimbo ulistahili kua ni wimbo wa Taifa.
Ni mzuri kwa kweli abarikiwe mtunzi
 
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa moyo wote
Nchi yangu Tanzania
Jina lako ni tamu sana
Nilalapo nakuota wewe
Niamkapo ni heri mama wee
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa moyo wote

Tanzania Tanzania
Ninapokwenda safarini
Kutazama maajabu Biashara nayo makazi
Sitaweza kusahau mimi mambo mema ya kwetu kabisa
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa moyo wote

Tanzani Tanzania
Watu wako ni wema sana
Nchi nyingi za kuota nuru yako hakuna tena
Na wageni wa kukimbilia ngome yako imara kweli wee
Tanzania Tanzania
Heri yako kwa mataifa

Tanzania Tanzania
Karibu wasio na kwao
Wenye shida na taabu
Hukimbizwa na walo wezi
Tanzania yawakaribisha
Tuungane kiume chema wee
Tanzania Tanzania
Mola awe na we daima.

Wow!! mpaka vinyweleo vimesimama, hakika huu wimbo ulistahili kua ni wimbo wa Taifa.
Hatuwezi fanya campain ya kwenye mitandao ya kijamii wimbo huu ukaidhinishwa rasmi na Bunge kuwa wimbo wa Taifa..?
 
"Karibu wasio na kwao
Wenye shida na taabu
Hukimbizwa na walo wezi
Tanzania yawakaribisha" huu ubeti wa mwisho unaonesha ukarimu wa hali ya juu wa nchi yetu.
 
Hatuwezi fanya campain ya kwenye mitandao ya kijamii wimbo huu ukaidhinishwa rasmi na Bunge kuwa wimbo wa Taifa..?
Inawezekana tena sana lakini kama tu wote tutakua na muono mmoja... vijana siku hizi wapo busy na nyimbo za matusi wimbo tu wataifa asilimia 80 hawajui kuuimba, very sad lakini ndio uhalisia.
 
Inawezekana tena sana lakini kama tu wote tutakua na muono mmoja... vijana siku hizi wapo busy na nyimbo za matusi wimbo tu wataifa asilimia 80 hawajui kuuimba, very sad lakini ndio uhalisia.
Hahahaa kumekuwa na mjadala wa ubora wa Elimu humu mtandaoni watu wanasema private school wanatoa Elimu bora.kuliko shule za serikali.
Moja kati ya athari mbali (long term effect) za hizo shule binafsi ni hii ambapo sio rahisi kwa mwanafunzi anayehitima katika shule hizo kujua tunu za taifa kisawa sawa sabbu zipo kibiashara zaidi. Na sio kimalezi ambapo zamani tuliamini mtoto hulelewa na jamii.
Siku hizi wanasema mtoto hulelewa na wazazi hivyo haishangazi kuona mtoto ama kijana wa leo hajui tunu za Taifa lake..

Tukiendelea na speed hii ya elimu kisasa.!
Wapo watu watakao kuwa hawajui ngoma za asili za kwao, lugha yao ya asili, idadi ya hifadhi zetu za Taifa, mipaka rasmi ya Nchi yetu, na huenda hata wimbo wa Taifa wapo watakaoshindwa kuuimba.!
Haya mambo tulijifunza shule ya Msingi tulipolelewa sisi Watanzania.
 
Hahahaa kumekuwa na mjadala wa ubora wa Elimu humu mtandaoni watu wanasema private school wanatoa Elimu bora.kuliko shule za serikali.
Moja kati ya athari mbali (long term effect) za hizo shule binafsi ni hii ambapo sio rahisi kwa mwanafunzi anayehitima katika shule hizo kujua tunu za taifa kisawa sawa sabbu zipo kibiashara zaidi. Na sio kimalezi ambapo zamani tuliamini mtoto hulelewa na jamii.
Siku hizi wanasema mtoto hulelewa na wazazi hivyo haishangazi kuona mtoto ama kijana wa leo hajui tunu za Taifa lake..

Tukiendelea na speed hii ya elimu kisasa.!
Wapo watu watakao kuwa hawajui ngoma za asili za kwao, lugha yao ya asili, idadi ya hifadhi zetu za Taifa, mipaka rasmi ya Nchi yetu, na huenda hata wimbo wa Taifa wapo watakaoshindwa kuuimba.!
Haya mambo tulijifunza shule ya Msingi tulipolelewa sisi Watanzania.

Umeongea point kabisa, kuna siku mtu aliniacha hoi eti hajui kama Tanga kuna bahari na akauliza wanayo bahari kama ya Dar au wao wana bahari yao? ni zao la Green acres nilibaki mdomo wazi.

Hivyo vitu vya asili ndio kabisaaa sasa hivi ukionekana unafatilia sana asili yenu wanakuita mzee sijui una mambo ya kikoloni lol.
Hapo kwenye wimbo wa taifa walishashindwa kitaaambo.
 
Kuna wimbo wa Alaiki unaitwa Nakupenda Tanzania ka sikosei...
Kiitikio kinaanza misingi mizuri waliyo tupatia......... Natamani sana niujue kwangu mimi ndio the best
 
Mpaka tukija kushtuka kila kitu kimekwisha!
Hebu fikiri mtu anakwambia shule yetu inafundisha kwa mtaala wa Britain. Au shule yetu ina ushirikiano wa karibu na shule gani sijui toka uingereza.!
Unakimbilia kumpeleka mtoto huko unalipa mamilioni ya pesa! Amehitimu masomo unaanza kuhangaika kumtafutia kazi.!
Tanzania.
Aende akawatumikie wananchi mahali ambapo wanaishi kwa kutumia maji ya visima hawana barabara za lami. Hawana nyumba zenye viyoyozi, anaona kama ni vitu viwili tofauti mazingira aliyojifunzia shuleni na mazingira halisi ya maisha hayaendani.
Kule anatakiwa huenda afanye usafi mwenyewe apike mwenyewe.! Na nk.
Mambo ambayo huenda hakujifunza. Akiwa shuleni wala nyumbani..

Hawa ndio kutwa wanalalamika hakuna ajira na wanashinda kutukana kwenye mitandao ya kijamii.
Sabbu hakujua hasa ukweli wa mazingira yao na elimu yao haikuwasaidia kujitambua na kuyatambua maisha katika picha halisi.

Umeongea point kabisa, kuna siku mtu aliniacha hoi eti hajui kama Tanga kuna bahari na akauliza wanayo bahari kama ya Dar au wao wana bahari yao? ni zao la Green acres nilibaki mdomo wazi.

Hivyo vitu vya asili ndio kabisaaa sasa hivi ukionekana unafatilia sana asili yenu wanakuita mzee sijui una mambo ya kikoloni lol.
Hapo kwenye wimbo wa taifa walishashindwa kitaaambo.
 
Huo nadhani ni wimbo wa Taifa wa Zanzibar. Kuna maneno kama hayo wanao ufahamu nadhani watau tupia hapa.
Kuna wimbo wa Alaiki unaitwa Nakupenda Tanzania ka sikosei...
Kiitikio kinaanza misingi mizuri waliyo tupatia......... Natamani sana niujue kwangu mimi ndio the best
 
Nchi haithamini watu wenye vipaji kama hao mfano halisi ni yule babu aliechora nembo ya taifa
Tulimfahamu mara baada ya kuwa ombaomba pale buguruni na ITV kumsaidia matibabu na kwa bahati mbaya alifariki
 
Kuna Nchi (ardhi au pande la ardhi), kisha kuna Wana wa Nchi. Yaani Wananchi au wenye hiyo Nchi au wenye hicho kipande cha Ardhi, kama hivyo ndivyo tatizo haliko Kwenye Nchi tatizo liko kwa wana wa hiyo Nchi Je wanathamini Mchango wa wenza wao.? Yaani hao Wananchi wenzao waliotoa Mchango wa tofauti ama kutambulika katika Ardhi (Nchi) yao?

Je mimi na wewe kama Wana wa Nchi. (Ardhi)hii tuliyopo tuliyo ipa Jina Tanzania tumekuwa na Mchango gani juu yao? Tukianzia hapo ni rahisi wengine kuendelea kutokea pale tulipo ishia.
Tusitafute Mchawi tusaidiane kuthamini vyetu.
Mfano tukiuliza ni nani aliyetunga huo wimbo. Tutaletewa majibu..
Kisha swali la pili litakuwa Je yuko wapi??
Swali la tatu na la nne litategemea majibu
Ya awali.

Tatizo la waandishi wa habari siku hizi wanaandika udaku tu. Hakuna tena watu serious kwenye media.
Nchi haithamini watu wenye vipaji kama hao mfano halisi ni yule babu aliechora nembo ya taifa
Tulimfahamu mara baada ya kuwa ombaomba pale buguruni na ITV kumsaidia matibabu na kwa bahati mbaya alifariki
 
Mpaka tukija kushtuka kila kitu kimekwisha!
Hebu fikiri mtu anakwambia shule yetu inafundisha kwa mtaala wa Britain. Au shule yetu ina ushirikiano wa karibu na shule gani sijui toka uingereza.!
Unakimbilia kumpeleka mtoto huko unalipa mamilioni ya pesa! Amehitimu masomo unaanza kuhangaika kumtafutia kazi.!
Tanzania.
Aende akawatumikie wananchi mahali ambapo wanaishi kwa kutumia maji ya visima hawana barabara za lami. Hawana nyumba zenye viyoyozi, anaona kama ni vitu viwili tofauti mazingira aliyojifunzia shuleni na mazingira halisi ya maisha hayaendani.
Kule anatakiwa huenda afanye usafi mwenyewe apike mwenyewe.! Na nk.
Mambo ambayo huenda hakujifunza. Akiwa shuleni wala nyumbani..

Hawa ndio kutwa wanalalamika hakuna ajira na wanashinda kutukana kwenye mitandao ya kijamii.
Sabbu hakujua hasa ukweli wa mazingira yao na elimu yao haikuwasaidia kujitambua na kuyatambua maisha katika picha halisi.
Aise umenigusa sana Sana saaaaaaana!!!

Hakika unaona mbali ndg mwenyezi mungu akubariki sana najua ktk nqfasi uliopo utasaidia hili!!! Elimu ni kuelimika.... Hakika nmejikuta nabaki na mshangao tu!!! Kwani uliyayaandika ndyo ynatokea!!

Nmejarbu sana kuelimisha watu kwa kiasi chake kulingana na nafasi niipatayo wapo wanaoelewa ila majibu yao kwamba tunapinga shule hizo ila mara zote nmekuwa nkiwaambia kwmba hebu fikiria mtoto anaanza shule kindergarten private.. Anaingia primary... Secondary za private na kwa mahaba waliyonayo baadhi ya wazazi pasipokujua madhara yake mtt hapati hata mda wa kujichanganya na wqtoto wa st kayumba kwan anaspecial room ya msomi wake akifunga Shule anajifungia akitoka Tuition! ¡! Haya mungu anajalia mtoto anaenda chuo kikuu.... Tukumbuke ule mda wa likizo hata hapiki kwani kuna mfanya kazi wa ndani!!!! Na hata kama ni wa kiume hajui shida zozote koz kila kitu kipo sana Sana anafundwa kuendesha gari akiwa uwanjan. Anafundwa namna wazungu walivyonatamduni zao!!!! Huyu kijana hana na hawezi ata kushika jembe.... Mbaya Zaidi lugha ni ile ya malkia akiwa na wanafamilia..... Sasa binti huyu anaingia chuo kikuu hajui kuosha vyombo wala kupika!!! Bad mzazi na hata mtoto haoni madhara yake.... Miaka inasonga anaolewa mbaya zaidi na mhitim wa St kayumba toka mkoa Fulani.... Kazi anapangiwa kijijn.... Sasa hapa ndo ataanza kuona madhara yake!!!! Matokeo yake hawa wanatarajiwa ati Kuja kuongoza nchi wakat hawana ata chembe ya uzalendo na nchi zao


Ila ndo maisha..... Lakn mie kama ulivyosema hii syo nzuri..... Na madhara yake ni makubwa mno... Sjui watu wanchukia nn shule za kina Magufuli???? Mbona wao walikomaa na leo wako hapaaaa... Hebu tufatilie historia ya watu walofanikiwa na wenye udhubutu wa kusaidia utajikuta weng ni wale walopitia shiiiida!!!!

Niseme tu hongera umenipa funzo pia!!!
 
"Karibu wasio na kwao
Wenye shida na taabu
Hukimbizwa na walo wezi
Tanzania yawakaribisha" huu ubeti wa mwisho unaonesha ukarimu wa hali ya juu wa nchi yetu.
Huo ubeti kwa utawala huu ndo utasababisha wimbo usiwe wa Taifa. Hapo kwa uelewa wangu naona kwa taifa hili LA sasa ubinadamu haupo tena.
 
Ahsante Mkuu.!
Kwa mtazamo wangu ni ulimbukeni tu unaotusumbua lakini pia twaweza kuligawa jambo hili katika makundi mawili.

1: uchumi..1
Maskini akipata matako hulia mbwata nadhani ushawahi kuusikia huu msemo, watu wakipata vijisenti kidogo wanasahau waliko toka na kujiona wako daraja la tofauti na wenza wao. Wanataka kuwakoga
"Kipato huleta majivuno"

Hili linachochewa zaidi na wanawake.! Anataka ajione tofauti na wengine hivyo hawezi kubali mwanae aonekane ana hadhi duni ama anasoma shule ambayo yeye anaamini ni duni.

Uchumi: 2.
Ni mchezo wa Nchi za magharibi kutanua soko la bidhaa zao utamaduni wao na Elimu yao. Wanaamini tusipoyajua vema mazingira yetu tutakuwa katikati yaani hatuna Elimu ya Ulaya wala hatuna ya Afrika. Tutakuwa tunaelea sehemu fulani kielemu. Ambapo kwao itakuwa rahisi sana kutuelekeza nini cha kufanya kwa maslahi yao.! Sbbu kwa elimu yao watakuwa na ujuzi wa kujua vyetu zaidi wakati kwa elimu yao hatuwezi kujua vyetu zaidi.

Hivyo tunajikuta wageni na watalii katika ardhi yetu wenyewe.!

2: kijamii.

Hizi ni athari za mmomonyoko wa maadili na utandawazi pale ambapo wasomi wa leo wanaamini kila kitu cha ulaya ni bora kuliko cha Kwetu.! Kuna mtu ni mtu mzima kabisa anakwambia ukijua kuongea kiingereza basi wewe ni msomi utapata kazi kwa urahisi.
Na bila shaka kazi anayoizungumzia hapa ni kutunza mafaile ya wazungu zamani wakiitwa matarishi.
Huyu anasahau kuwa Nchi hii 90% wanazungumza kiswahili na akihitimu Elimu yake anatakiwa akawatumikie hao. katika fani yoyote, iwe Udaktari, unasheria au hata siasa.!

Jamii..2.
Maisha ya mitandao ya kijamii, instagram, facebook, na mengine yanawafanya wamama ambao ndio wanaokaa na watoto na waume zao kusombwa na wimbi la udanganyifu..
Lakini mwisho wa siku sote tutavuna tulicho panda.!

Unachopanda leo ndicho utakachovuna Kesho utake ama usitake poteza mamilion ya pesa kwa mwanao "in the name of Love "
Halafu msubiri katika maisha halisi kutambua thamani ya pesa yako.!
Aise umenigusa sana Sana saaaaaaana!!!

Hakika unaona mbali ndg mwenyezi mungu akubariki sana najua ktk nqfasi uliopo utasaidia hili!!! Elimu ni kuelimika.... Hakika nmejikuta nabaki na mshangao tu!!! Kwani uliyayaandika ndyo ynatokea!!

Nmejarbu sana kuelimisha watu kwa kiasi chake kulingana na nafasi niipatayo wapo wanaoelewa ila majibu yao kwamba tunapinga shule hizo ila mara zote nmekuwa nkiwaambia kwmba hebu fikiria mtoto anaanza shule kindergarten private.. Anaingia primary... Secondary za private na kwa mahaba waliyonayo baadhi ya wazazi pasipokujua madhara yake mtt hapati hata mda wa kujichanganya na wqtoto wa st kayumba kwan anaspecial room ya msomi wake akifunga Shule anajifungia akitoka Tuition! ¡! Haya mungu anajalia mtoto anaenda chuo kikuu.... Tukumbuke ule mda wa likizo hata hapiki kwani kuna mfanya kazi wa ndani!!!! Na hata kama ni wa kiume hajui shida zozote koz kila kitu kipo sana Sana anafundwa kuendesha gari akiwa uwanjan. Anafundwa namna wazungu walivyonatamduni zao!!!! Huyu kijana hana na hawezi ata kushika jembe.... Mbaya Zaidi lugha ni ile ya malkia akiwa na wanafamilia..... Sasa binti huyu anaingia chuo kikuu hajui kuosha vyombo wala kupika!!! Bad mzazi na hata mtoto haoni madhara yake.... Miaka inasonga anaolewa mbaya zaidi na mhitim wa St kayumba toka mkoa Fulani.... Kazi anapangiwa kijijn.... Sasa hapa ndo ataanza kuona madhara yake!!!! Matokeo yake hawa wanatarajiwa ati Kuja kuongoza nchi wakat hawana ata chembe ya uzalendo na nchi zao


Ila ndo maisha..... Lakn mie kama ulivyosema hii syo nzuri..... Na madhara yake ni makubwa mno... Sjui watu wanchukia nn shule za kina Magufuli???? Mbona wao walikomaa na leo wako hapaaaa... Hebu tufatilie historia ya watu walofanikiwa na wenye udhubutu wa kusaidia utajikuta weng ni wale walopitia shiiiida!!!!

Niseme tu hongera umenipa funzo pia!!!
 
Umeongea point kabisa, kuna siku mtu aliniacha hoi eti hajui kama Tanga kuna bahari na akauliza wanayo bahari kama ya Dar au wao wana bahari yao? ni zao la Green acres nilibaki mdomo wazi.

Hivyo vitu vya asili ndio kabisaaa sasa hivi ukionekana unafatilia sana asili yenu wanakuita mzee sijui una mambo ya kikoloni lol.
Hapo kwenye wimbo wa taifa walishashindwa kitaaambo.
Maisha yangu huwa nakomaa sana kujua tamaduni za kabila langu la kihehe hasa lugha na ngoma zetu. Na kwa kuwa ni mtoto wa mjini wakati wa utoto wangu kila likizo nilienda kwa g.parents maana ndo walikuwa wananiongelesha kilugha na kusimuliwa hadithi kwa lugha mama ya kabila letu.

Na hata nikipata mtoto Mungu akijalia basi nitahakikisha watoto wangu wajue lugha ya kabila lao na sehemu ya tamaduni za kihehe
 
Naamini waandishi wa habari wangehusika katika kuandika historia za watu hao ambao walipigana kwa maneno yaani nyimbo na vitendo katika kutangaza taifa hili hakika tungejua mengi sana.

Mbaya zaidi Tanzania waandishi wa habari hawana uelewa wa kutafuta wasomaji wa magazeti kwa kuwa hucheza na currently issues tu.

Nashauri kama kuna waandishi wa habari humu anzeni kuleta historia za hao watu hakika mtabarikiwa sana na zenu kazi. Na hata mwenye nchi atawaona mnajua kazi.
 
Back
Top Bottom