Nimeshangaa sana hayo maneno kwenye huo wimbo.Siyo Mzuri!
Mungu Ibariki Afrika ndiyo wimbo unaoifaa Afrika.
Sasa huu wimbo una maneno ya mwili sijui wa jua au mwili wa anga, hiki ni kitu gani sasa? - Hakimake sense!, Tangu lini jua likawa na mwili?
Siyo Mzuri!
Mungu Ibariki Afrika ndiyo wimbo unaoifaa Afrika.
Sasa huu wimbo una maneno ya mwili sijui wa jua au mwili wa anga, hiki ni kitu gani sasa? - Hakimake sense!, Tangu lini jua likawa na mwili?