Charity begin at home, ni msemo wa kiingereza uliozoeleka kwamba jambo lolote zuri lianzie kwako kwanza kabla ya kulipeleka kwa jirani/mwenzio.
Sasa turudi kwenye mada yangu ili mnielewe. Wimbo wetu wa Taifa sina tatizo nao hasa kwa vionjo vilivyo ndani yake ni vizuri na vinaeleweka na kukubalika vizuri bila ya kujali asili ya wimbo wenyewe.
Tatizo langu kwenye huu wimbo ni ile beti ya kwanza inayosema MUNGU ibariki Afrika, badala ya kuanza kwa kusema MUNGU ibariki Tanzania. Hapa namaanisha Tanzania ingeanza kwanza kwenye beti ya kwanza halafu beti ya pili itaje Africa na si vice versa.
Unawezaje kumuomba MUNGU awabariki wengine kwanza kabla ya kumuomba MUNGU akubariki wewe kwanza, hii haijakaa sawa. Jiombee wewe kwanza ndipo uwaangalie wenzako na sio kuacha kwako kukiteketea huku ukienda kuokoa kwingine. Mambo mengine tunayaona kama madogo vile lakini impact yake ni kubwa katika maisha ya kila siku na ndio watanzania tunajiuliza kila siku nani katuroga kumbe tunajiroga wenyewe.
MUNGU huyu ataanza kubariki wengine kwanza (kwa kuwa sisi wenyewe tumetaka hivyo) ndipo atugeukie sisi, sasa hapa sijui huyu MUNGU atamaliza lini kuwabariki hawa wenzetu kabla yetu, hapa inabidi tubadilishe jamani.
Nawasilisha.
Sasa turudi kwenye mada yangu ili mnielewe. Wimbo wetu wa Taifa sina tatizo nao hasa kwa vionjo vilivyo ndani yake ni vizuri na vinaeleweka na kukubalika vizuri bila ya kujali asili ya wimbo wenyewe.
Tatizo langu kwenye huu wimbo ni ile beti ya kwanza inayosema MUNGU ibariki Afrika, badala ya kuanza kwa kusema MUNGU ibariki Tanzania. Hapa namaanisha Tanzania ingeanza kwanza kwenye beti ya kwanza halafu beti ya pili itaje Africa na si vice versa.
Unawezaje kumuomba MUNGU awabariki wengine kwanza kabla ya kumuomba MUNGU akubariki wewe kwanza, hii haijakaa sawa. Jiombee wewe kwanza ndipo uwaangalie wenzako na sio kuacha kwako kukiteketea huku ukienda kuokoa kwingine. Mambo mengine tunayaona kama madogo vile lakini impact yake ni kubwa katika maisha ya kila siku na ndio watanzania tunajiuliza kila siku nani katuroga kumbe tunajiroga wenyewe.
MUNGU huyu ataanza kubariki wengine kwanza (kwa kuwa sisi wenyewe tumetaka hivyo) ndipo atugeukie sisi, sasa hapa sijui huyu MUNGU atamaliza lini kuwabariki hawa wenzetu kabla yetu, hapa inabidi tubadilishe jamani.
Nawasilisha.