Tunaanza na Africa kwanza kwani mtazamo wetu ni Africa moja halafu mataifa baadaye. Ndio wigo wa mwanzilishi wetu ulivyokuwa mpana
Mtazamo wenu wa kwanza ni Afrika moja?
Kama mnapenda sana umoja kwa nini basi isiwe mtazamo wa dunia moja?
Semeni Mungu Ibariki duniaaa...
Tujue kweli mnapenda umoja