Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,171
- 3,893
Sijausikia huo wimbo, ila kama alifanya kitu kama hicho,basi nampa hongera sana.
Sijausikia huo wimbo, ila kama alifanya kitu kama hicho,basi nampa hongera sana.
Sasa tujiulize,kwa upande wetu sisi watanzania,je,i ni sahihi mpaka leo kusherekea sikukuu ya kuzaliwa huku tukiimba wimbo huu wenye maneno ya kingereza na wakati huo huo tukijinadi kukuza lugha yetu ya kiswahili?
Kumbe upumbavu na ujinga ndio jadi yenu eeh!Hata ungesema serikali kwa kutumia aliens...bado wazo lako ni la kijuha!
Au kama vipi si umwombe Mange akutungie huo wimbo....
Stupid.
Ajabu ni kuwa hao hao wanaokubeza ndio wanao kataa tukisema mtu mwenye digrii tatu kimombo kutokijua ni aibu. Wanasema lugha ya mabeberu sio lazima.Tumetawaliwa mpaka hatujielewi kabisa!!!
Eti mnaimba birthday sijui dear nani na mnaono mko sawa tu!!!
Mkuu,hebu jiulize,Raisi wa nchi anasheherekea sikukuu yake ya kuzaliwa na anaalika viongozi wenzake na watu wengine mashuhuru pale Ikulu,then katika kusindikiza sherehe ya kuzaliwa kwake,Raisi na wageni wake wote wanaimba, "happy birthday Mr.President.......".Nilivyokiwa kijana wa form IV nilijiukiza mwenyewe kwa nini inakuwa rahisi kutongoza kwa kiingeleza kuliko kwa kiswahili...nikaenda mbali zaidi na kujaribu kutafuta maneno kwa kilugha changu cha kikabila lah nikabakia kucheka mwenyewe.
Sijui tutafanyaje kuikwepa hii lugha wapendwa!
Hawa watu wanaongozwa na chuki na si kitu kingine mkuu.Ajabu ni kuwa hao hao wanaokubeza ndio wanao kataa tukisema mtu mwenye digrii tatu kimombo kutokijua ni aibu. Wanasema lugha ya mabeberu sio lazima.
Ila kwenye mada yako kuhusu wimbo tuu kuwa wa kiswahili wanakejeli eti sio lazima! Ajabu sana hii!
Ni kwa sababu kuadhimisha siku ya kuzaliwa sio utamaduni wetu. Watu na wanaiga tu na mbaya zaidi siku hizi walivyoiga wanawashinda hata wenye asili ya hii sherehe kwa matumizi na madoido. Watu wanatumia gharama kuuuuubwa huku wakiishi kwenye ufukara uliopindukia wakati wenye utamaduni wa kusherehekea hufanya vitu simple kabisa.Tumetawaliwa mpaka hatujielewi kabisa!!!
Eti mnaimba birthday sijui dear nani na mnaono mko sawa tu!!!
Sisi si weusi katika ngozi tu,bali hata katika akili zetu!!Ni kwa sababu kuadhimisha siku ya kuzaliwa sio utamaduni wetu. Watu na wanaiga tu na mbaya zaidi siku hizi walivyoiga wanawashinda hata wenye asili ya hii sherehe kwa matumizi na madoido. Watu wanatumia gharama kuuuuubwa huku wakiishi kwenye ufukara uliopindukia wakati wenye utamaduni wa kusherehekea hufanya vitu simple kabisa.
Bora wewe ulieamua hivyo.Hua sipendelei mambo ya kuimbaimba. Siku yangu ya kuzaliwa ikifika hua naenda mahali flani kujipongeza nikiwa na watu wachache
Ndiyo hivyo mkuu hua sipendi uzungu mwingi..napenda kuenzi uafrika ndo maana namuunga mkono JPMBora wewe ulieamua hivyo.
Ulimbukeni upo kwenye bloodMkuu,hapa mpaka siku atokee kiongozi aseme jambo kama hili ndio labda watu wataelewa kuwa japo hili ni jambo dogo,ila halipendezi hata kidogo na ni bora kuacha kuimba kabisa.
Ulimbukeni wanaoKuna wajimga wananibeza hapa wakiona hii ni hoja ya kipuuzi kumbe wao ndio wapuuzi.
Kumbe kutomuunga mkono JPM ni kupenda uzungu?Ndiyo hivyo mkuu hua sipendi uzungu mwingi..napenda kuenzi uafrika ndo maana namuunga mkono JPM
Tutajuaje kama.amesoma na anajua lugha ya mabaharia?mbona huo ni mananeo yale yale ya Happy Birthday To You ya Kiingereza? au mimi ndio sijaelewa?