Magazine Fire
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 1,365
- 1,462
Mwenye lyrics atuwekee hapa.NDIO TUMEFIKIA HUKU KWELI? HUO WIMBO ULIKUWA NA LYRICS MBAYA AU?
Mwenye lyrics atuwekee hapa.NDIO TUMEFIKIA HUKU KWELI? HUO WIMBO ULIKUWA NA LYRICS MBAYA AU?
HATA MI NASUBIRIMwenye lyrics atuwekee hapa.
Nimeisikiliza maudhi yake ndiyo hivyoUsikute alikuwa kaimba kuwa mama ni raisi ila anapakiwa mkongo.Hivi mnamjua Ney wa mitego wewe.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Usikute alikuwa kaimba kuwa mama ni raisi ila anapakiwa mkongo.Hivi mnamjua Ney wa mitego wewe.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Wala hauna ubaya wowote nimeulisikiliza.... Sema watu wenye itikadi za mwendazake wana nongwa tu
Hajaimba hvyo hata kidogo wimbo nimeutazama kwa kigog hauna tofauti sana na Rapcha. Na wala hakumtaja jina yani ni kama anamwimbia mama yake awe makini na akina baba mdogo hakuna matusi kabsaUsikute alikuwa kaimba kuwa mama ni raisi ila anapakiwa mkongo.Hivi mnamjua Ney wa mitego wewe.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Me sijausikia bado ngoja nikaone kwann wamemfungia?Usikute alikuwa kaimba kuwa mama ni raisi ila anapakiwa mkongo.Hivi mnamjua Ney wa mitego wewe.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Kwenye wimbo wa Nay kuna mstari unaosema:Hii ndio barua inatozuia wimbo mpya wa Nay wa Mitego ujulikano kama mama. Ameambiwa asiupeleke kwenye vyombo vya habari.
View attachment 1773435
Wewe ukiwa kama mdau wa sanaa una neno gani kwa BASATA?
Hope umeupata, nilikuwa offline kidogoAISEE, UNAO? NIFORWADIE PM