Wimbo wa Inama waweka rekodi Afrika Mashariki kwa kuwa na views milioni 2 kwa siku mbili tu

Mshauri aumize kichwa asitembelee nyota za watu watampausha kwa copyright.
Ametembelea nyota gani, The one ya king cheba imetengenezwa chini ya WCB studio na producer laizer, baada ya kuona King hasomeki watu wakaiwekea Melody zingine na kuiboresha zaidi Simba akainvgiza verse.

King hakuwa na uwezo wa kushitaki kokote
 
Ametembelea nyota gani, The one ya king cheba imetengenezwa chini ya WCB studio na producer laizer, baada ya kuona King hasomeki watu wakaiwekea Melody zingine na kuiboresha zaidi Simba akainvgiza verse.

King hakuwa na uwezo wa kushitaki kokote
Ushasema wakaweka melody nyingine na kuboresha zaidi halafu bado unasema hujaona nafasi ya king kuahitaki?

Ku sample wimbo sio fraud kama ikitokea sintofahamu na mwenye wimbo orijino?
 
Ushasema wakaweka melody nyingine na kuboresha zaidi halafu bado unasema hujaona nafasi ya king kuahitaki?

Ku sample wimbo sio fraud kama ikitokea sintofahamu na mwenye wimbo orijino?
Sio udanganyifu hata kidogo, King sheba hana hakimiliki ya wimbo wa The one.

Alifanyiwa hisani pale Simba alipoenda Namibia kuwa kuna beats ya laizer wako nayo haina mastering wanaweza ingiza vocal kisha aje Tz kuimalizia dogo akafeli hakuja bongo.

Diamond kama unamfahamu anapenda beats kali akamwambia laizer tuingize piano na guitars sound kwenye hii beats si tumalize mchezo ndicho kilichofanyika ndio maana King hajashtaki kokote zaidi ya kubwata mitandaoni kwa kifupi King ni underground nchini kwao
 
Sio udanganyifu hata kidogo, King sheba hana hakimiliki ya wimbo wa The one.

Alifanyiwa hisani pale Simba alipoenda Namibia kuwa kuna beats ya laizer wako nayo haina mastering wanaweza ingiza vocal kisha aje Tz kuimalizia dogo akafeli hakuja bongo.

Diamond kama unamfahamu anapenda beats kali akamwambia laizer tuingize piano na guitars sound kwenye hii beats si tumalize mchezo ndicho kilichofanyika ndio maana King hajashtaki kokote zaidi ya kubwata mitandaoni kwa kifupi King ni underground nchini kwao
Hahahaah aisee.... And vice versa can be true too.
 
kwa Vyvyte vile huwez fananish msanii (comedian) marufu wa marekani na Msanii wa bongo/africa

Ungemlinganisha na kina davido.
Hizo akili anazitoa wapi?

Ndio hao unamkuta anamlinganisha Ali Kiba na Chris Breezy.
 
kWA MARA NYINGINE TENA SIMBA KAUNGURUMA
DIA.jpg

DIAM.png
 
Back
Top Bottom