MBEGU YA BINADAMU
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 375
- 314
Dunia yaTundu Lissu.Namba 1 dunia gani?
Maswali mengine yanaudhi sana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia yaTundu Lissu.Namba 1 dunia gani?
Yawezekana hata hajui alichoandika.“Nyimbo namba duniani“ maana yake nini? Kwenye heading nilijua umekosea, ila uliporudia ndani ya post nimehisi umemaanisha hivyo!
NishamalizaKajinyonge
unazungumzia nin huu mchezo auitaji hasiraEndelea kubishana na SIRI, achana na mimi
Sasa kama mtu ana followers milioni karibu 12 instagram na subscribers karibu milion 5 youtube, obviously watu wataanza kuisikia kwenye social plarforms za mitandao kabla hata hajaisikia kwenye TV au Redio, angalia vizuri social media presence ya diamond utaona kwanini shazam haina maana sana kwake, maana hao followers wake tu wakishapata hiyo link wanaishare kwa wenzao wengi ambao si followers, nadhani unaelewaMkuu nawasiwasi na uwezo wako wakufikiria mambo rahisi kama haya.. kama hujui cha kwanza wimbo utausikia maybe kwenye redio bar au popote then ukinogewa unautafuta...na hapo ndio kazi ya shazam inapokuja
Sawa lakini Siri anaunganisha data za mitandao yote, iwe locally based au international based, inaunganisha zote, na ndio tunaipta number one, bila kigugumuziUnaamini AI kwenye kila kitu unashindwa kuchanganya na zakwako pole sana.
Jf watumiaji wake wengi ni wa hapa hapa bongo ukizid sana nchi jirani.
Followers fake AKA inactive....Sasa kama mtu ana followers milioni karibu 12 instagram na subscribers karibu milion 5 youtube, obviously watu wataanza kuisikia kwenye social plarforms za mitandao kabla hata hajaisikia kwenye TV au Redio, angalia vizuri social media presence ya diamond utaona kwanini shazam haina maana sana kwake, maana hao followers wake tu wakishapata hiyo link wanaishare kwa wenzao wengi ambao si followers, nadhani unaelewa
Ndio, nilishawahi kujigeuza software nikaingia kwenye Pc na kuona utendaji kazi wake kiundani sanaunajua jinsi SIRI inavyofanya kazi??
Nyimbo zinaingia vipi kwenye chartz za clouds?Nyimbo inaingia vipi kwenye charts za Billboard?
Jinyonge tena hadi wivu ukuisheNishamaliza
Wewe wa kwako fake/ inactive unao milioni ngapi?milioni Kumi wamefika?Followers fake AKA inactive....
Sina hela za kununuaWewe wa kwako fake/ inactive unao milioni ngapi?milioni Kumi wamefika?
Mkuu Siri ni kama google inaanza kutuo feedback taarifa ambazo ni locally hii inatokana kama ume allow location.Sawa lakini Siri anaunganisha data za mitandao yote, iwe locally based au international based, inaunganisha zote, na ndio tunaipta number one, bila kigugumuzi
wewe utakua unamdangia zari...kila uzi wa diamond unapost hivi,,unataka warudiane ili pesa za kuhongwa ziongezeke?When zarithebosslady is Tanzania this diamond shines and his music performances is well.
Nyota ya dai ni zari, she shines him.
Sema tu jamaa haelewi hilo.
hivi smartfone ya kwanza(touch screen) haikuwa iphone?Mambo mengine si kushushana chini ni kuset facts straight tu maana otherwise itakuwa kichekesho mbele ya watu kuwa watu wanadanganywa. Haiwezekani wimbo huko kwa wenzetu juzi mpaka jana uwe na views milion 8 ndani ya saa 24, halafu Waah imepata views milion 10 ndani ya wiki iwe ya kwanza.
Ni kuset facts straight. Diamond strategically ni mjanja yani ni kama kampuni ya Apple, Apple walikuwa na tabia ya kusema wao ndiyo bidhaa zao za kwanza kufanya hiki za kwanza kuwa na kile hata kama si kweli. Utaskia the first smart phone, the slimmest phone ever built, the fastest chip. Ni njia ya kujibrand na kibiashara zaidi na kama ina work ni nzuri. Lakini sasa ikifika kwa watu wanaotaka kuset facts straight lazima wajadili siyo kukubali tu.
hivi smartfone(touch screen) ya kwanza haikuwa iphone?Mambo mengine si kushushana chini ni kuset facts straight tu maana otherwise itakuwa kichekesho mbele ya watu kuwa watu wanadanganywa. Haiwezekani wimbo huko kwa wenzetu juzi mpaka jana uwe na views milion 8 ndani ya saa 24, halafu Waah imepata views milion 10 ndani ya wiki iwe ya kwanza.
Ni kuset facts straight. Diamond strategically ni mjanja yani ni kama kampuni ya Apple, Apple walikuwa na tabia ya kusema wao ndiyo bidhaa zao za kwanza kufanya hiki za kwanza kuwa na kile hata kama si kweli. Utaskia the first smart phone, the slimmest phone ever built, the fastest chip. Ni njia ya kujibrand na kibiashara zaidi na kama ina work ni nzuri. Lakini sasa ikifika kwa watu wanaotaka kuset facts straight lazima wajadili siyo kukubali tu.
ungekuwa na elimu ndogo tu ya Deep Network Algorithm usingeandika huu uziNdio, nilishawahi kujigeuza software nikaingia kwenye Pc na kuona utendaji kazi wake kiundani sana
Hapana haikuwa iphonehivi smartfone ya kwanza(touch screen) haikuwa iphone?
Nimekuuliza wew maana jinsi ulivyofananisha charts za Clouds na Billbroad ni kama mfumo wao wa nyimbo kuingia kwenye charts unafanana kitu ambacho si kweliNyimbo zinaingia vipi kwenye chartz za clouds?
Mzee fanya yakoYaani katika dunia hii ya watu karibu takriban bilioni 8, nyimbo ya kijana wetu, mTanzania mwenzetu, Diamond Platnumz - WAAH ndio nyimbo namba moja duniani kwa sasa.
Wizara ya maliasili na utalii itumie fursa hii adhimu kuiambia dunia kwamba Tanzania ina nini cha kuwapa watalii, maana kila mtu anaiulizia Tanzania sasa hivi, hata search rating za Tanzania zimepanda sana kwa sasa.
Video clips zina maelezo zaidi: