Wimbo wa Diamond Platnumz - WAAH ndio nyimbo namba moja duniani kwa sasa!

Twende tu haraka haraka!! Kwa hiyo diamond platnumz ndiye msanii namba moja duniani!!! Wimbo wake unaoitwa sijui nini nini ndiyo wimbo namba moja duniani!!! Na wasafi classic ndiyo bendi bora duniani, dah,basi mangufuli babalao
Hayo umesema wewe 😂😂😂
 
Na ishagonga 11million views in 1 week +
E6DEEA36-E2AC-4205-A876-A541D4BC6343.png
 
Hiyo SIRI haiangalii tu views za youtube kujua nyumbo namba moja, bali inaangalia cummulative engagement ya watu katika platforms zote kama na hasahasa instagram jinsi watu wanavyo repost, kucomment na kufanya challenges mbalimbali za huo wimbo (engagement ndio hasa huketa pesa kwenye marketing); jinsi jina linavyokuwa searched kwenye search engines hasa google, jinsi inavyonunuliwa /kusikilizwa kwenye platforms kama audio mack, amazon, boomplay na nyinginenezo..., statistical dimensions zipo nyingi sana, hata hapa tunapojadili ni kwamba tumekiwa engaged na huo wimbo, Siri inaangali hivi vyote na kujua ipo ndio namba moja kwa wakati husika. Ondoa chuki na legeza ubongo.
Hata ikiwa hivyo, haiwezi kuwa kweli. Hizi system zinajibu maswali according to locality. Ingelikuwa huo wimbo unaongoza huko kwingine kama tidal, spotify, boomplay, amazon, itunes, basi angekuwa kaingiza mpunga kuliko Drake 😅 😅 😅
 
Mzungu akikosea kuandika kiswahili anasifiwa kwamba kajitahidi, ila akikosea mbongo kuandika lugha ya mkoloni haambiwi kajitahidi, utumwa huu..🤪🤣🤣🤣🤣🤣
Yani mtanzania hapendi kuambiwa hajui,penda kusema sijui ili uelimike,hii mufano yakujitetea inakupunguzia kujua mengi.
 
Kule you tube pekua pekua utaibukia korea tafuta BLACKPINK ni kikundi cha wadada wimbo sekunde una hizo views milion 11 masaa views zinakimbizana mil 80 na kitu
 
😅😅😅, hii ni sawa na kuuliza nyimbo iliyoshika namba moja billboard imeshika namba ngapi kwenye Clouds top 20 ambapo wasikilizaji ndio hupiga simu na kupiga kura ipi ishike namba moja, nani ataipigia kura Waah? Angalia jibu langu la post namba 36 kwa ufafanuzi zaidi
Kati ya billboard na clouds top 20 ipi ni worldwide?
 
Kuhusu SIRI ni strategy tu ya promotion, wimbo haujawa namba moja duniani lakini unafanya vizuri, data za juzi ulikuwa namba 51! Ni pakubwa hapa gemu gumu sana ukiona msanii anatokeza tokeza duniani mpe hongera.
 
Yaani katika dunia hii ya watu karibu takriban bilioni 8, nyimbo ya kijana wetu, mTanzania mwenzetu, Diamond Platnumz - WAAH ndio nyimbo namba moja duniani kwa sasa. Wizara ya maliasili na utalii itumie fursa hii adhimu kuiambia dunia kwamba Tanzania ina nini cha kuwapa watalii, maana kila mtu anaiulizia Tanzania sasa hivi, hata search rating za Tanzania zimepanda sana kwa sasa.
Video clips zina maelezo zaidi:

Kwa hiyo?
 
Kati ya billboard na clouds top 20 ipi ni worldwide?
Upatikanaji wa matokea ya hizo chart sio worldwide, wewe ulishawahi kuhojiwa kwamba nyinbo gani iwe ya kwanza? Au clouds waliwahi kumuhoji mtu wa matekani nyimbo gani iwe ya kwanza? Ila Siri inafanya complete commulative statistical augmentation ya platforms zote za uwasilishaji wa kazi za sanaa, hivyo iko more precise
 
Back
Top Bottom