Wimbo wa DESPACITO ulipataje hawa viewers zaidi ya Billioni 5?

Nautico

JF-Expert Member
Jul 28, 2017
341
780
Despacito ni wimbo wa msani raia wa Puerto Rico wa kuitwa Luis Fonsi akishirikiana na rapa wa nchi hiyo pia,wimbo huu una mahadhi ya kispain.


Kwa mujibu wa mtandao wa iTunes,Amazon music,Spotify,Youtube n.k wimbo huu umetazamwa mara bilioni 5.7+.

Turejee hapa.
Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi duniani inakadiliwa kuna wanadamu wanaoishi wapatao bilion 7+ ikiwemo watoto n.k.

Pia kwa mujibu wa taarifa mbali mbali inakadiliwa kua kati ya mwaka 2015_2020 dunia nzima itakua na watumia simu wapatao 5.4bilioni.

Pia kwa mujibu wa taarifa za mwaka 2018 dunia nzima inakadiliwa kua watu wapatao 134.1milioni wanaotumia laptops,tablets n.k.


Wakati huo takwimu zinaonesha watu 4,208,571,287 ndio wanatumia internet duniani.huku bara la ASIA wakiongoza kutumia internet kwa 44.8%,ulaya 16.8%,Africa 15.6%,latin america 10.4%,mashariki ya mbali 3.9% na zilizobaki mabara mengine.

Kwenye hili kundi la watumia internet 4.2bilioni kuna ambao hawana taarifa na wimbo huu,pia kuna wale hawana hobbie na mziki.


Pia katika jumla yote ya wanadamu hawa wapatao bilioni 8 wanaoishi katika sayari hii mpaka sasa robo yote ni watoto,huku lipo kundi la wasio jua kusoma na kuandika,pia kwenye kundi la watu wanaotumia simu wapatao 5bilioni kuna wengi wasio na smartphone.

Swali langu huu wimbo hawa views 5.7bilioni ulipataje?

Kwa watalaamu wa mambo haya naomba mnisaidie nami.

Nawasilisha.
 
Despacito ni wimbo wa msani raia wa Puerto Rico wa kuitwa Luis Fonsi akishirikiana na rapa wa nchi hiyo pia,wimbo huu una mahadhi ya kispain.


Kwa mujibu wa mtandao wa iTunes,Amazon music,Spotify,Youtube n.k wimbo huu umetazamwa mara bilioni 5.7+.

Turejee hapa.
Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi duniani inakadiliwa kuna wanadamu wanaoishi wapatao bilion 7+ ikiwemo watoto n.k.

Pia kwa mujibu wa taarifa mbali mbali inakadiliwa kua kati ya mwaka 2015_2020 dunia nzima itakua na watumia simu wapatao 5.4bilioni.

Pia kwa mujibu wa taarifa za mwaka 2018 dunia nzima inakadiliwa kua watu wapatao 134.1milioni wanaotumia laptops,tablets n.k.


Wakati huo takwimu zinaonesha watu 4,208,571,287 ndio wanatumia internet duniani.huku bara la ASIA wakiongoza kutumia internet kwa 44.8%,ulaya 16.8%,Africa 15.6%,latin america 10.4%,mashariki ya mbali 3.9% na zilizobaki mabara mengine.

Kwenye hili kundi la watumia internet 4.2bilioni kuna ambao hawana taarifa na wimbo huu,pia kuna wale hawana hobbie na mziki.


Pia katika jumla yote ya wanadamu hawa wapatao bilioni 8 wanaoishi katika sayari hii mpaka sasa robo yote ni watoto,huku lipo kundi la wasio jua kusoma na kuandika,pia kwenye kundi la watu wanaotumia simu wapatao 5bilioni kuna wengi wasio na smartphone.

Swali langu huu wimbo hawa views 5.7bilioni ulipataje?

Kwa watalaamu wa mambo haya naomba mnisaidie nami.

Nawasilisha.
Huu wimbo unazidi pia kupata namba kubwa ya viewers kutokana na watu wengi kutaka kujua kwamba huo wimbo ulioangaliwa mara 5B ukoje? Hata mimi nilisikia ikabidi niuangalie youtube kwamba ukoje
 
Taki taki
Taki taki rumpaaaa
Si te pido un beso, ven, dámelo
Yo sé que estás pensándolo
Llevo tiempo intentándolo
Mami, esto es dando y dándolo
Sabes que tu corazón conmigo te hace "bam-bam"
Sabes que esa beba está buscando de mi "bam-bam"
Ven, prueba de mi boca para ver cómo te sabe
Quiero, quiero, quiero ver cuánto amor a ti te cabe
Yo no tengo prisa, yo me quiero dar el viaje
Empezamos lento, después salvaje
Pasito a pasito, suave, suavecito
Nos vamos pegando poquito a poquito
Cuando tú me besas con esa destreza
Veo que eres malicia con delicadeza
Pasito a pasito, suave, suavecito
Nos vamos pegando poquito a poquito
Y es que esa belleza es un rompecabezas
Pero pa' montarlo, aquí tengo la pieza, oye
 
Mm huo wimbo naushangaa sioni cha maana juu yake.
BTW mm binafsi nakokotoa hio billion7
Youtube haiwezi kufunguka bila Email,Hivyo hivyo nahisi kila viewer mmoja ana connection ya moja kwa moja na email yake.
Sasa basi mm tangu mwaka 2015 nna email zaidi ya 10 na zote nmeingia nazo utube, hivi nikiangalia huo wimbo sintauongezea viewers10 mm mtu mmoja.
Hapo hapo kuna wale mtu mmoja ana simu zaidi ya moja

Ni mawazo yangu tu lakini binafsi

Wako katika ukokotoaji wa bil5
Vi rendra
Si kweli youtube inafunguka bila email,
youtube inafunguka hata usipo log in lakini hautaweza ku like,ku comment,ku subscribe,etc.)
utaangalia video tu...
 
youtube inahesabu views kila unapoiangalia hiyo video
tu assume umeiangalia hiyo video zaidi ya mara 100,then views 100 kwenye ili video itakuwa ni wewe.
pia kumbuka huu wimbo ni popular na umetrend dunia nzima
so kila mtu atataka kuona bila kusahau wale tunaoangalia na kureplay kila saa...
 
Despacito ni wimbo wa msani raia wa Puerto Rico wa kuitwa Luis Fonsi akishirikiana na rapa wa nchi hiyo pia,wimbo huu una mahadhi ya kispain.


Kwa mujibu wa mtandao wa iTunes,Amazon music,Spotify,Youtube n.k wimbo huu umetazamwa mara bilioni 5.7+.

Turejee hapa.
Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi duniani inakadiliwa kuna wanadamu wanaoishi wapatao bilion 7+ ikiwemo watoto n.k.

Pia kwa mujibu wa taarifa mbali mbali inakadiliwa kua kati ya mwaka 2015_2020 dunia nzima itakua na watumia simu wapatao 5.4bilioni.

Pia kwa mujibu wa taarifa za mwaka 2018 dunia nzima inakadiliwa kua watu wapatao 134.1milioni wanaotumia laptops,tablets n.k.


Wakati huo takwimu zinaonesha watu 4,208,571,287 ndio wanatumia internet duniani.huku bara la ASIA wakiongoza kutumia internet kwa 44.8%,ulaya 16.8%,Africa 15.6%,latin america 10.4%,mashariki ya mbali 3.9% na zilizobaki mabara mengine.

Kwenye hili kundi la watumia internet 4.2bilioni kuna ambao hawana taarifa na wimbo huu,pia kuna wale hawana hobbie na mziki.


Pia katika jumla yote ya wanadamu hawa wapatao bilioni 8 wanaoishi katika sayari hii mpaka sasa robo yote ni watoto,huku lipo kundi la wasio jua kusoma na kuandika,pia kwenye kundi la watu wanaotumia simu wapatao 5bilioni kuna wengi wasio na smartphone.

Swali langu huu wimbo hawa views 5.7bilioni ulipataje?

Kwa watalaamu wa mambo haya naomba mnisaidie nami.

Nawasilisha.
Frequency ilipatikana kwa viewer mmoja kuangalia zaidi ya mara moja
 
Viewers B5 Ni kwamba ukiangalia halafu ukiangalia Tena inahesabu, huko mbele intaneti Ni mtelezo tu halafu ni spidi ya jet
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom