Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaaaa Nampenda Demu wangu Latifa,Nam..ma vizuri nina Bonge la mb.. Ku....ke!!! Haaaaaaaaa enzi hizo bado hajatoka!! Ni kama Kalapina na Dogo Hasheem,JCB,Chindo walikua na freestyle za kutukana......"Nashangaa watu wanasema mie mweusi kma mkaa Ku..m.ke"..........
ndo maana zinaitwa freestyli na ndio maana hazipelekwi redioni....alafu msanii ndio kioo cha jamii kama anatukana basi ujue hiyo jamii imejengwa kwenye matusi....kuna nyimbo za miduara taarabu zinapigwa redioni "rasmi" na zinamatusi ambayo mtu yoyote mwenye hekima hawezi sikiliza na jamii inaserebuka nazo tu!...hiki ni kizazi cha nyoka!...:hatari:
Juzi (jumatano 20/8)nilisikia wimbo wa chid redioni unamatu*si yote unayoyaskia mtaani.wase**e, kum***e, n.k nikajua hapo DJ atakuwa ajisahau au alikuwa hajawahi kuusikia cha ajabu wimbo ulipigwa mpaka mwisho.Yule DJ lazima atakuwa kashafukuzwa kazi na radio kufungiwa au kupigwa faini.sikufanikiwa kujua ni redio gani kwsbbu walipiga muziki bila mtu kuongea wala tangazo.KUNA ALIYEWAHI KUSIKIA WIMBO HUO HAPA?
Matumizi ya dawa za kulevya ni hatari sana.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Juzi (jumatano 20/8)nilisikia wimbo wa chid redioni unamatu*si yote unayoyaskia mtaani.wase**e, kum***e, n.k nikajua hapo DJ atakuwa ajisahau au alikuwa hajawahi kuusikia cha ajabu wimbo ulipigwa mpaka mwisho.Yule DJ lazima atakuwa kashafukuzwa kazi na radio kufungiwa au kupigwa faini.sikufanikiwa kujua ni redio gani kwsbbu walipiga muziki bila mtu kuongea wala tangazo.KUNA ALIYEWAHI KUSIKIA WIMBO HUO HAPA?