Wimbo wa CHADEMA ni upi? I wish to sing it out loud!

sem2708

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
5,204
4,211
Ndugu wana JF na hasa wana CHADEMA,napenda kuwapongeza sana kwa matokeo mazuri na ya kutia moyo ya uchaguzi mdogo wa igunga.
binafsi naamini kuwa CHADEMA ndio walioshinda na hii ni kutokana na historia ya CCM kuchakachua kura na hivyo ninaamini kabisa kuwa hiyo tofauti ndogo ilipo kati ya kura za mgombea wa ccm na wa CHADEMA huenda imetokana na uchakachuaji kwa namna moja ama nyingine,mathalan kuweka masanduku feki ya kura,kununua shahada za wapiga kura wasiojua thamani ya kura zao n.k.

matokeo hayo yameniongezea mapenzi yangu kwa chadema na sasa natamani kuujua wimbo wa chadema na niweze kuwa nauimba mara kwa mara ninapojisikia...
kama wimbo huu haupo
,naomba utungwe tena kwa umahiri mkubwa na tuwe tunauimba kwenye kampeni zetu..
nawasilisha.
chadema oyeeeee! mageuzi daima.
 
Ahaa kumbe wauliza wimbo tu? mboni rahisi sana? Imba hivi:
Tigo tumerudia tean kukupa muda mara mbili *2
CCM tumerudia tena kupeleka kilio kwa chama fulani
Ale dushelleele wagweo
 
Uongozi wa CHADEMA umekosa ubunifu, wao wanafikiri kushinda vita ni kupigana upande mmoja tu. Imekuwa ni kawaida yao kila siku kutujazia habari kuwa vigogo wa CCM wahamia CDM.

Sie wenye akili zetu tumewagundua kuwa wao ni waongo wa kuogopwa kama UKOMA, tangu lini viongozi wa matawi wakawa VIGOGO???

Pia kila kukicha wanasema wamechota viongozi toka kanda moja; Huyo Lema anafanya MRADI wa kuchota pesa za walipa kodi "RUZUKU" kwa ksingizio kujenga chama ETI kuwaingiza CDM vigogo toka CCM. CDM poleni sana!

TAFAKARINI KABLA HAMJALIWA SANA RUZUKU
 
Uongozi wa CHADEMA umekosa ubunifu, wao wanafikiri kushinda vita ni kupigana upande mmoja tu. Imekuwa ni kawaida yao kila siku kutujazia habari kuwa vigogo wa CCM wahamia CDM.

Sie wenye akili zetu tumewagundua kuwa wao ni waongo wa kuogopwa kama UKOMA, tangu lini viongozi wa matawi wakawa VIGOGO???

Pia kila kukicha wanasema wamechota viongozi toka kanda moja; Huyo Lema anafanya MRADI wa kuchota pesa za walipa kodi "RUZUKU" kwa ksingizio kujenga chama ETI kuwaingiza CDM vigogo toka CCM. CDM poleni sana!

TAFAKARINI KABLA HAMJALIWA SANA RUZUKU

Pumba zingine hizi,kaza buti mshahara mnene utaongezewa.
 
Uongozi wa CHADEMA umekosa ubunifu, wao wanafikiri kushinda vita ni kupigana upande mmoja tu. Imekuwa ni kawaida yao kila siku kutujazia habari kuwa vigogo wa CCM wahamia CDM.

Sie wenye akili zetu tumewagundua kuwa wao ni waongo wa kuogopwa kama UKOMA, tangu lini viongozi wa matawi wakawa VIGOGO???

Pia kila kukicha wanasema wamechota viongozi toka kanda moja; Huyo Lema anafanya MRADI wa kuchota pesa za walipa kodi "RUZUKU" kwa ksingizio kujenga chama ETI kuwaingiza CDM vigogo toka CCM. CDM poleni sana!

TAFAKARINI KABLA HAMJALIWA SANA RUZUKU

Kweli wewe ni mufilisi haujakosea kujiita hvyo.
 
Uongozi wa CHADEMA umekosa ubunifu, wao wanafikiri kushinda vita ni kupigana upande mmoja tu. Imekuwa ni kawaida yao kila siku kutujazia habari kuwa vigogo wa CCM wahamia CDM.

Sie wenye akili zetu tumewagundua kuwa wao ni waongo wa kuogopwa kama UKOMA, tangu lini viongozi wa matawi wakawa VIGOGO???

Pia kila kukicha wanasema wamechota viongozi toka kanda moja; Huyo Lema anafanya MRADI wa kuchota pesa za walipa kodi "RUZUKU" kwa ksingizio kujenga chama ETI kuwaingiza CDM vigogo toka CCM. CDM poleni sana!

TAFAKARINI KABLA HAMJALIWA SANA RUZUKU

yaani wewe unafikiri u.s.e.n.ge wako wa kule mgambani na chadema upo,! Hatuna muda wa kuwapa waandishi hela ili waripoti hayo matukio.wala kuhonga wanachama kama mlivyo mhonga Nakaaya miss polititian,huku wagumu wazalendo tu.nyambaf
 
Ndugu wana JF na hasa wana CHADEMA,napenda kuwapongeza sana kwa matokeo mazuri na ya kutia moyo ya uchaguzi mdogo wa igunga.
binafsi naamini kuwa CHADEMA ndio walioshinda na hii ni kutokana na historia ya CCM kuchakachua kura na hivyo ninaamini kabisa kuwa hiyo tofauti ndogo ilipo kati ya kura za mgombea wa ccm na wa CHADEMA huenda imetokana na uchakachuaji kwa namna moja ama nyingine,mathalan kuweka masanduku feki ya kura,kununua shahada za wapiga kura wasiojua thamani ya kura zao n.k.

matokeo hayo yameniongezea mapenzi yangu kwa chadema na sasa natamani kuujua wimbo wa chadema na niweze kuwa nauimba mara kwa mara ninapojisikia...
kama wimbo huu haupo
,naomba utungwe tena kwa umahiri mkubwa na tuwe tunauimba kwenye kampeni zetu..
nawasilisha.
chadema oyeeeee! mageuzi daima.
Mbona easy tu imba hivi
CHADEMA X2 PEOPLEOOOOZ POWER
MOVEMENT 4 CHANGE HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE!
 
i guess ulikuwa hujasikia wimbo wa operation sangara. Una ujumbe mzito juu ya kutokomeza mafisadi ili kuiokoa tanzania yetu.
 
Back
Top Bottom