mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,212
- 867
Hili ni wazo tu. Kwa kuwa serikali ya CCM imetumia wasanii kadha wa kadha kuimba nyimbo za kuipamba na kuisifu serikali ya ccm kwa maendeleo makubwa imeyoleta tokea uhuru (propaganda), angalia Tbc1 kuanzia saa moja jioni na kuendelea utajionea mwdnyewe.
Kwa hiyo nashauri wasanii wanamuziki ambao ni pro-CHADEMA na wenye uchungu wa kweli na nchi yetu watufyatulie single moja inayohusu miaka 50 ya uhuru na kuelezea hali halisi ilivyo na machungu yanayowasotesha watanzania kila uchao kutokana na uzembe wa serikali inayoongozwa na CCM...
Naomba tuwaorodheshe hapa chini halafu tuwa notify kuhusu hii project sio tukae tu kimya huku tukishuhudia sisiemu ikipotosha bure umma wa watanzania, endelezeni sasa..
Kwa hiyo nashauri wasanii wanamuziki ambao ni pro-CHADEMA na wenye uchungu wa kweli na nchi yetu watufyatulie single moja inayohusu miaka 50 ya uhuru na kuelezea hali halisi ilivyo na machungu yanayowasotesha watanzania kila uchao kutokana na uzembe wa serikali inayoongozwa na CCM...
Naomba tuwaorodheshe hapa chini halafu tuwa notify kuhusu hii project sio tukae tu kimya huku tukishuhudia sisiemu ikipotosha bure umma wa watanzania, endelezeni sasa..