zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Usishangae Alikiba hata Zuchu atakuja kumshindaNmeshangaa et ally kiba kazidiwa followers na konde boy!!??
Usishangae Alikiba hata Zuchu atakuja kumshindaNmeshangaa et ally kiba kazidiwa followers na konde boy!!??
Kijana wa kiume ,una mambo ya kikeDaaaaaah Habarini Wana jamvi...?
Kweli Kuna ule msemo unaosema kila zama na mda wake, leo ndio nimekubali huu msemo.
Nimejaribu kusikia wimbo wa huyu mzee wetu Alikiba nimeona kaishiwa kabisa na anatafuta back up ya kurudi kupitia Diamond the G.O.A.T.
Unajua, kutokana na hivi Karibuni harmonize kuvuma sana na kuanza kumshindanisha na Diamond the G.O.AT. watanzania walikuwa wamemsahau huyu mzee wetu Alikiba
So kwa huu wimbo Mediocre kweli Kama amemaanisha Basi kweli ni mediocre yenyewe.
Namuomba Diamond the G.O.A.T. akae kimya ili alone aibu mwenyewe maana Diamond alisema hatatoa tena KIKI ko nione tunavyo msahau kwa utopolo huu plus utumbo.
Namalizia kwa kusema ameshazeeka na asitaafu mziki,ameachiwa Diamond the G.O.A.T mwenye Bongo flavor yake.
We fala una matatizo ya akiliNinammiliki sawa
Sio siri Ali aache tu kuimbasina team lakini mediocre ni aibu ya TAIFA, narudia tena ni;
aibu
aibuu
aibuuu
aibuuuu
aibuuuuu
aibuuuuuu
aibuuuuuuu
aibuuuuuuuu
aibuuuuuuuuu
aibuuuuuuuuuu
aibuuuuuuuuuuu
ya taifa
U will be dissapointedOkey Ali Kiba kaishiwa kabisa hana jipya (ingawa bado sijasikiliza hiyo nyimbo)
Vipi umekula chakula cha mchana kweli?
Bora umesema mammieU will be dissapointed
huyu bwana kapuyanga sana, nadhani anatafuta kiki kwa nguvuSio siri Ali aache tu kuimba
Wimbo hauvutii hauna beat hauchezeki full majungu mwanzo mwisho hivi unaulinganishaje na Cheche ya Dai na Zuchu.,?.
Fact zuchu wa Moto sanaUsishangae Alikiba hata Zuchu atakuja kumshinda
Sasa wewe kijana wa kiume una Mambo ya kike square njoo Tena nikupe za uso shenzi.Kijana wa kiume ,una mambo ya kike
Duh kama kuna maisha ya pili baada ya kifo nisizaliwe Africa! Aibu sana inawezekana rangi nyeusi ni chimbuko la uchawi
Sasa nani innocent jamaaa chizi kweli, Mimi au huyo kibamia ndo aache kuwa mediocre Kama linyimbo lake libaya ebooooh.We fala una matatizo ya akili
Nimeuangalia huo wimbo Kiba kaimba vizuri tu sio kama utopolo wake wa So hot sijui na matakataka yake mengine.
Uache kuwa Mediocre sasa, sawa bwana mdogo Innocent Independent ?
Ndomana nilisha semaga tangu mwanzo Zuchu atamkimbiza sana alikibamia ndo mmeanza kuamini sio, zuchu dawa yaoSio siri Ali aache tu kuimba
Wimbo hauvutii hauna beat hauchezeki full majungu mwanzo mwisho hivi unaulinganishaje na Cheche ya Dai na Zuchu.,?.
Fact huyu ataumwa mwaka huuU will be dissapointed
Kaishiwa zamaniAli kiba ndio basi tena.....
Kuwa shabiki wa kiba yataka moyo kwa kweli
Tena mkubwaWimbo ni utopolo mtupu