Wimbo wa Adela wa Mjomba Mpoto Una maana gani?

Mtego wa Noti

JF-Expert Member
Nov 27, 2010
2,592
1,599
Kuna kibao cha muziki cha Mrisho Mpoto kinaitwa Adela, kila nikisikiapo huwa sikielewi. hivi ana maana gani huyu jamaa maana mi nashindwa kumuelewa.
Kwa mfano anasema nyoshakidole Adela..Nisaidieni!!!
 
naskia huu wimbo ni maalum tena kwa mkulu wa pale mjengoni yaani jeikei, ni kweli wanaJF?
 
tatizo la watz ni lile lile:kujifanya tuna akili sana kuliko wengine. Kwanza Mpoto ni mwoga,ajaribu kuchana wazi kama Roma ataeleweka vizuri. Mafumbo ya nini wakati ujumbe unachelewa kufika?
 
Ndio uzuri wa maswari ya kujitungia mwenyewe, unakuwa na majibu yake tayari umeshayaandaa.


Kuna kibao cha muziki cha Mrisho Mpoto kinaitwa Adela, kila nikisikiapo huwa sikielewi. hivi ana maana gani huyu jamaa maana mi nashindwa kumuelewa.
Kwa mfano anasema nyoshakidole Adela..Nisaidieni!!!

naskia huu wimbo ni maalum tena kwa mkulu wa pale mjengoni yaani jeikei, ni kweli wanaJF?

halaf kuna tetesi kuwa jamaa kila akiusikilizaumnamwumiza kicha mno

eti anataka watz tuwe watu wa kufikiri kwa umakini zaidi na wakati watu maisha yenyewe yameshatulewesha...
kazi kwelikweli

Hiyo ni nyimbo kama nyimbo nyingine tu



 
aAfadhali umemgundua BABA ,huyu jamaa msanii anaukiza swali anajijibu! .....maudhui ya wimbo anayatafuta msikilaziji,huyo jamaa ana muimba ADELA ,hizo maana nyingine ni zako
 
aAfadhali umemgundua BABA ,huyu jamaa msanii anaukiza swali anajijibu! .....maudhui ya wimbo anayatafuta msikilaziji,huyo jamaa ana muimba ADELA ,hizo maana nyingine ni zako

Nyimbo yenyewe ni hii hapa, ebu isikilize



 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom