Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ndo king wa mziki wa bongo Fleva hatabiliki Hit baada ya hit, hakuna kucopy copy ma idea yamejaa
Tem Mziki mzuri dude hili hapa
Yanii mwanaume unaandikaa andikaa vitu kama ambaruty hafu chukiii kama mdada asee ...hafu mbna unapoteza sifa za kigentle mzee utapelekwa Mombasa mende wengiHivi tim kiba ni mashabiki au wajumbe??? haiwezekani kabisa nyimbo ya dodo inapitwa views na karatini waliokuwa wanaiponda. Anyways,ngoja ntulie niweke akiba ya maneno usikute nyimbo zake zote zipo kwenye traffic na jamaa hasemi kwa sababu hapendi show off, siku YouTube wakitoa data kamili unakuta mwana imeipita views hadi despacito
Hivi tim kiba ni mashabiki au wajumbe??? haiwezekani kabisa nyimbo ya dodo inapitwa views na karatini waliokuwa wanaiponda. Anyways,ngoja ntulie niweke akiba ya maneno usikute nyimbo zake zote zipo kwenye traffic na jamaa hasemi kwa sababu hapendi show off, siku YouTube wakitoa data kamili unakuta mwana imeipita views hadi despacito
Yanii mwanaume unaandikaa andikaa vitu kama ambaruty hafu chukiii kama mdada asee ...hafu mbna unapoteza sifa za kigentle mzee utapelekwa Mombasa mende wengi
Huyu dogo angekuwa anaweza kujibrand vizuri, hakuna msanii wa east africa angemkuta kwa mafanikio,sema huo ndio udhaifu wake anashindwa hata na wanaoimba kikawaida tu
Akina nani hao wanaimba kawaida na wanamshinda?
Huyu dogo angekuwa anaweza kujibrand vizuri, hakuna msanii wa east africa angemkuta kwa mafanikio,sema huo ndio udhaifu wake anashindwa hata na wanaoimba kikawaida tu
NdiyoKwahiyo views zinapima ubora wa wimbo, watoto wa siku hizi sijui mmekuwaje dah!