Wimbo mpya wa Alikiba aliomshirikisha Cabo Snoop

ZionTZ

JF-Expert Member
Oct 6, 2009
1,283
538
hatimae alikiba atoa wimbo wake mpya, kamshirikisha cabo snoop...upate hapa.

 
Cabo Snoop ndio huyo mzungu? Anyway, huu wimbo Diamond atasubiri sana.
 
Kiba ana sauti moja matata sana, personally sijaupenda labda nikiusikiliza sana napenda zaidi akiimba style za aje.
 
Unamaanisha muda gani?
Miaka mitatu nyuma au minne sina kumbukumbu ya exactly ni muda gani but kipindi cobbo snoop katoka na windek alipata show bongo ndio muda huohuo wakaifyatua hyo nyimbo... Pia hata ukiingia google utaona hyo nyimbo sio official
7d75e563fab200a6e9a0cef51acc2878.jpg


Ila ingia youtube
IMG-20170615-WA0017.jpg

Unamaanisha muda gani?
Miaka mitatu nyuma au minne sina kumbukumbu ya exactly ni muda gani but kipindi cobbo snoop katoka na windek alipata show bongo ndio muda huohuo wakaifyatua hyo nyimbo... Pia hata ukiingia google utaona hyo nyimbo sio official
7d75e563fab200a6e9a0cef51acc2878.jpg


Ila ingia youtube
 
Yakitambo sana hata kipindi Tv one inaanza kulusha matangazo yake washatumia baazi ya vipande vya hiyo nyimbo mbaya.
 
Wimbo huo.wa kitambo sana na demo yake ninayo toka enzi zile za prakatumba
 
Kwa mond atasubili sana mi nilikuwa naona vip angeacha tu kuimba akafanya mambo mengne yaan astaafu tu music maana saiv kiba ndo anaharibu kabisa her kipnd kile,acha bro tunza heshima yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom