STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,205
Ngoja tuupe muda huu wimbo huenda nikauelewa,
ila kwasasa nadhani umeimbwa chini ya kiwango,
vilevile producer ameboronga sana kwenye masuala ya beat
Yaani Diamond kwasasa hapaswi kumtegemea Laizer kama kama producer wake wa kumpeleka kimataifa zaidi,
Yaani bora ile beat ya Harmonize(niambie) ni nzuri kuliko hii(nazungumzia upekee)
...
Anyway hayo ni maoni yangu tu,
wacha tujipe muda, Tutajua mbele kwa mbele
===============================================
ila kwasasa nadhani umeimbwa chini ya kiwango,
vilevile producer ameboronga sana kwenye masuala ya beat
Yaani Diamond kwasasa hapaswi kumtegemea Laizer kama kama producer wake wa kumpeleka kimataifa zaidi,
Yaani bora ile beat ya Harmonize(niambie) ni nzuri kuliko hii(nazungumzia upekee)
...
Anyway hayo ni maoni yangu tu,
wacha tujipe muda, Tutajua mbele kwa mbele
===============================================